Hawa mashabiki wa Putin ni hovyo kabisa.Dah jf ina watu wajinga sn siku hz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa mashabiki wa Putin ni hovyo kabisa.Dah jf ina watu wajinga sn siku hz
ninachojiuliza siku zote, wanasubiri nini ili tusisikie tena vita ya ukrain? maliza vita kwanza inatuletea garama za maisha.Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.
Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.
Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.
View attachment 2680157
Kama sio Malaria, basi yupo matumizi ya ARV.Unaumwa malaria kali sana, sorry
Yeye anayetaka kuitumia ina maana haiogopi kwani nyuklia inafahamu Russia. Watu mna akili finyu sana.Wee sijui ni nani ambaye huogopi nyuklia.
Wazo la kuwa na bomu chafu lilikuwa la hitler!Silaha za Nyuklia zilitengenezwa kwa mara ya kwanza na Marekani. USSR wakaiba michoro hiyo na kuikopi. Ila leo Urusi huzungumzia silaha za Nyuklia kama vile wao ndo wanazo tu. Director wa CIA alikwenda Urusi akawaambia wazi kuwa wakiytumia Nyuklia Ukraine basi hata NATO watatoa Nyuklia kwa Ukraine kuipiga Urusi.
Ikirushwa nyuklia hakuna kisingizio kwamba yamedondoka mabaki ndiyo yaliyounguza majengo.Mabaki ya nyuklia bado ni nyuklia tu na balaa kubwa.
Kwanza nikuulize akili inspimwa kwa mashine gani ? Pia kuna Akili katika makundi mawiliBraza ulishawah kupimwa akili???
Ulipimwa hospital gani na majibu yalitoka kwa kiwango gani???
Tatizo malengo ...njia ngumu ndiyo itafanikisha malengo mengi sana ya urussi ...mfano urusi ingetumia nuke mwanzoni mwa vita basi nchi za NATO ikiwemo marekani zinge singizia kuwa urusi ni dhaifu kijeshi na silaha zake ni duni ndiyo maana katumia nuke ila kwa sasa urussi kazichapa silaha za nato yote na kuzigeuza chuma chakavu hivyo imemuongezea heshima na soko la silaha zake kuja kuwa kubwa ...pia kuna lengo la BRICS pia kuna lengo la KUIBOMOA DOLA haya malengo ndiyo yanasababisha mrusi hatumie njia ndefu.Kwann jina lako la MJINGA unaligawa hovyo ? Putin atumie njia ngumu ya kuua watu wake vitan wkt ipo njia nyepes ya nyuklia na NATO wakanywea ? Putin mpole kwa kulipua makaz ya watu wasio husika na upuuz wake?
[emoji1787][emoji1787] Ngoja nikuulize swali kama kungekuwa na mashine haswa ya kutambua watu wenye miakili mikubwa na mingi una dhani waajiri wangeangaika na makaratasi ya vyeti vya vyuoni ...si wangefunga tu hizo mashine maofisini ili kila wanapo taka kuajiri basi wanatumia hizo mashine kupata watu bora ...hata vyama vya siasa vingetumiaUsipanik braza
Lengo la kuuliza ni kwa sabab ulimwambia mshkaj kuwa wew noma una miakil km yote tena umempita kwa mbali mno km tofaut ya DP world na tics ndio maana nikataman kujua umempita kwa kiwango gani na ulipimwa wap
Kuhusu swala la mashine za kupimwa akili mim sijui hata km zipo au zinafananaje ila kwa vile wew unamiakil mingi naomba unijuze ikiwezekana tupia na vpicha vya hizo mashine
Sijaongelea akili timamu na ugonjwa wa akili hapa nimeongelea akili timamu kwa timamu yaani kupata watu wenye akili kubwa kati ya watu wenye akili timamu ....yaani wakija kuomba kazi watu wenye akili timamu 100 na wewe unataka watu 4 kati yao kwanini wasitumie hiyo mashine kujua mwenye akili nyingi zaidi ili kupata 4 walio bestTatizo la kwenye ajira hawaishii tu kwenye kuwa na akili timam bali wanatakaga na kaujuz na ujuz unapimwa na taarifa za kwenye makaratas ndio uitwe kwenye test
amin nakwambia akili hunaKwanza acha utani kwani wewe hunizidi akili; hiyo nina uhakika kabisa kuwa wewe hunizidi akili.
Kuhusu bomu la Nyuklia ni Marekani ndiyo nchi ya kwanza kutengeza bomu hilo na kulitumia vitani; kama unabisha ukweli huo leta ushahidi.
Waliohusika kutengeza bomu hilo ni wamarekani wenye aslili ya nchi mbalimbali kama nilivyonyesha kwenye post hapo juu. Watu wa asili Marekani ni Wahindi wekundu tu, lakini hilo ni taifa ambalo lina watu wa kutokeasehemu zote za dunia. Hata Rais Biden asili yake ni Ireland, Rais Trump yeye asili yake ni Ujerumani, wakati Rais Obama yeyre asili yake ni Kenya. Kusema kuwa waliohusika na utengenezaji wa bomu hilo ni wamarekani walitokea sehemu tofauti za dunia haina maana kuwa bomu halitengenezwa na wamarekani.
Kwa akili zako; usishindane na miamba.amin nakwambia akili huna
Cc StuxnetUmesahau kirusi cha stuxnetworm ambacho wamesha ki-Update...
Ajaribu Aone