Urusi itamaliza vita kwa kutumia nyuklia kwa siku chache tu-Medvedev

Urusi itamaliza vita kwa kutumia nyuklia kwa siku chache tu-Medvedev

Lakini ukichanganya nyuklia za nchi za NATO unapata idadi ya nuclear ya urusi.hakuna nchi ambayo inaweza kuthubutu kurusha nuclear urusi.
You must be high on something like vodka the theory of mutual destruction is simple and clear let Russia try their bull shit and you will see what will happen,bye the way are you sure their nuke will work and they are not fake?? Some oligarchs took the money and the nukes and sold them somewhere god knows where???!!!
 
NATO banaaa

Eti wanatumia mbinu za zamani, wanataka watumie mbinu za kisasa ili iweje?

kila mtu apambane na hali yake

wao jukumu lao ni kumtoa Russia ndani ya Ukraine na la Ukraine ni kuendelea kuikalia Ukraine
 
Ajaribu aone kama hayakumlipukia nchini mwake!
Wajinga nchi hii mpo wengi sana ...ukweli ndiyo huu urusi akitumia hat bomu moja tu la nuke basi nato yote itanywea....na kubaki wanalialia tu... kamwe marekani hawezi kuthubutu kuingia kwenye mziki wa nuke na urusi ...tena sikuhiyo ndiyo mtajua kuwa urusi inatisha kuliko nchi yoyote duniani ...sema putini ni mpole tu kama angekuwa kichaa hata nato wasinge thubutu kumchokoza. Wewe cheki kiduku anavyo ogopwa na marekani
 
You must be high on something like vodka the theory of mutual destruction is simple and clear let Russia try their bull shit and you will see what will happen,bye the way are you sure their nuke will work and they are not fake?? Some oligarchs took the money and the nukes and sold them somewhere god knows where???!!!
Nonsense
 
[emoji16][emoji16]hapo kwa kiduku hapo... Kiduku hanaga cha kupoteza, ni kichaa kwelikweli, usipojiongeza ukamuepuka inakula kwako, maana yeye haoni shida hata kwake kukiharibika, hana hata uchungu na watu wake.
[emoji16]watu wanamuona kiduku mjinga kwa kuto kuijenga sana nchi yake ..kumbe wana akili kubwa sana ya kugundua kuwa vita ya 2 ya dunia bado aikwisha kikamilifu hivyo unapojenga sana jua tu ule mwendelezo wa vita ya pili utakapo kuja ambao utaitwa vita ya 3 ya dunia wajue migorofa mikubwa unayo jenga nayo yanageuka silaha dhidi yako maana bomu moja tu wanakufa maelfu kwenye gorofa kwa kuangukiwa na hilo jengo tuliona ndege zilivyo fanya magorofa makubwa mawili ya marekani ......na amini kabisa kuwa kiduku ana amini vita vya tatu aviepukiki ndiyo maana hakuna ujenzi wa anasa nchini kwake bali nchi imejengwa kijeshi
 
Medvedev anaropokaga sasa anamtishia nani nuklia? Si watumie
Silaha za Nyuklia zilitengenezwa kwa mara ya kwanza na Marekani. USSR wakaiba michoro hiyo na kuikopi. Ila leo Urusi huzungumzia silaha za Nyuklia kama vile wao ndo wanazo tu. Director wa CIA alikwenda Urusi akawaambia wazi kuwa wakiytumia Nyuklia Ukraine basi hata NATO watatoa Nyuklia kwa Ukraine kuipiga Urusi.
 
Marekani na South Korea hufanya mazoezi ya kijeshi mpakani mwa north Korea kitu ambacho kiduku hapendi kabisa, lakin kiduku Hana Cha kufanya sana sana hasira zake humalizia kuishambulia bahari badala ya kuwashambulia wanaomchokoza[emoji2][emoji2]
Marekani anaogopa sana vita na jamii ya watu kama wajapani ambao ni wachina korea vietinam nk hivyo anapo taka kupambana nao ana tengeneza mpasuko wa jamii hiyo hiyo na kukaa upande mmoja ili iwe salama yake kama vita vikitokea ....kiduku adui yake mkubwa ni marekani hivyo marekani katengeneza ngao ya wajapani na korea ya kusini ili kujilinda moja kwa moja na hizo jamii...majuzi kiduku katuma drone ...pia kiduku anashambulia sana tu hiyo nchi kuna wakati alizamisha meli
 
Silaha za Nyuklia zilitengenezwa kwa mara ya kwanza na Marekani. USSR wakaiba michoro hiyo na kuikopi. Ila leo Urusi huzungumzia silaha za Nyuklia kama vile wao ndo wanazo tu. Director wa CIA alikwenda Urusi akawaambia wazi kuwa wakiytumia Nyuklia Ukraine basi hata NATO watatoa Nyuklia kwa Ukraine kuipiga Urusi.
Pia marekani siyo mgunduzi wa hiyo siraha wagunduzi walitokea kwenye nchi za kikomunist ujerumani..... urussi na ujerumani kipindi hicho zilikuwa marafiki ....kwenye bomu ilo wakomunist ndiyo wagunduzi soma historia utajua ninacho kuambia ...pia akili hauna urusi ikitumia nuke ukren inakwisha
 
Labda hujui Manhattan Project ni nini. Ingawa wanasayansi waliotumika kwenye project hiyo walikuwa na asili ya nchi mbalimbali za Ulaya kama walivyo raia wengi wa Marekani leo kuwa wana asili ya kutokea nchi mbalimbali za dunia yote, ugunduzi wa Silaha za Nyuklia ulifanywa na Marekani. Wanasayansi wakubwa waliotumika ni pamoja na akina Enrico Fermi (asili yake Italia), Leo Szilard (asili yake Ujerumani), Eugene Wagner (asili yake Hungary) na Jorn Dunning (asili yake haijulikani kwa vile alizaliwa na kukulia Marekani). Albert Einstein yeye alibariki kazi za hao jamaa na kutoa msukumo serikalini kuwasaidia.

View attachment 2680552
Acha kubishana na watu walio kuzidi akili jomba ...mbona hata mlima kilimanjalo wapo wazungu wanasema wao ndiyo wagunduzi wakati babu zetu walikuwa hapo wanaishi.... tumia akili sipendi watu wasio tumia akili bomu la kwanza la nuclear ndiyo liliundwa marekani ila wagunduzi ni wakomunist wajerumani ..tatizo ujui tofauti ya kugundua na kuunda
 
Kwanza acha utani kwani wewe hunizidi akili; hiyo nina uhakika kabisa kuwa wewe hunizidi akili.

Kuhusu bomu la Nyuklia ni Marekani ndiyo nchi ya kwanza kutengeza bomu hilo na kulitumia vitani; kama unabisha ukweli huo leta ushahidi.

Waliohusika kutengeza bomu hilo ni wamarekani wenye aslili ya nchi mbalimbali kama nilivyonyesha kwenye post hapo juu. Watu wa asili Marekani ni Wahindi wekundu tu, lakini hilo ni taifa ambalo lina watu wa kutokeasehemu zote za dunia. Hata Rais Biden asili yake ni Ireland, Rais Trump yeye asili yake ni Ujerumani, wakati Rais Obama yeyre asili yake ni Kenya. Kusema kuwa waliohusika na utengenezaji wa bomu hilo ni wamarekani walitokea sehemu tofauti za dunia haina maana kuwa bomu halitengenezwa na wamarekani.
Thubutu ...kuhusu akili nimekuacha mbali sana siyo wewe tu. Sema unijui ...ninao uwezo wa ku solve matatizo magumu sana ndiyo maana nawadharau wanao sema ni vigumu kuiondoa ccm madarakani ..kwa kuwa kuiondoa ccm ni rahisi sana tatizo akili
Pia wewe ujui tofauti ya kugundua na kutengeneza na kutumia ...mimi nimekuambia kuwa marekani ni kweli yeye alikuwa wa kwanza kulitengeneza siyo kuligundua na alikuwa wa kwanza kulijaribu na alikuwa wa kwanza kulitumia hayo yote najua ila wagunduzi ni wakominist baada ya kuikimbia ujerumani walipeleka siri ya ilo bomu marekani na kuwaambia kama watachelewa basi ujerumani itskuwa ya kwanza kuliunda hivyo itashinda vita yoyote
 
Watu wagumu sana kuelewa; msomeni vizuri alichosema msikurupuke!
 
Marekani na South Korea hufanya mazoezi ya kijeshi mpakani mwa north Korea kitu ambacho kiduku hapendi kabisa, lakin kiduku Hana Cha kufanya sana sana hasira zake humalizia kuishambulia bahari badala ya kuwashambulia wanaomchokoza[emoji2][emoji2]
Na ili aishambulie bahar anapitisha mizinga yake juu ya anga la japan ambaye ni chawa wa us bila kuomba ridhaa ya mwenye anga
 
Hawewezi tumia nyuklia kwa Ukraine kwa kuwa hata wao watapata athari...
 
Kwanza acha utani kwani wewe hunizidi akili; hiyo nina uhakika kabisa kuwa wewe hunizidi akili.

Kuhusu bomu la Nyuklia ni Marekani ndiyo nchi ya kwanza kutengeza bomu hilo na kulitumia vitani; kama unabisha ukweli huo leta ushahidi.

Waliohusika kutengeza bomu hilo ni wamarekani wenye aslili ya nchi mbalimbali kama nilivyonyesha kwenye post hapo juu. Watu wa asili Marekani ni Wahindi wekundu tu, lakini hilo ni taifa ambalo lina watu wa kutokeasehemu zote za dunia. Hata Rais Biden asili yake ni Ireland, Rais Trump yeye asili yake ni Ujerumani, wakati Rais Obama yeyre asili yake ni Kenya. Kusema kuwa waliohusika na utengenezaji wa bomu hilo ni wamarekani walitokea sehemu tofauti za dunia haina maana kuwa bomu halitengenezwa na wamarekani.
Braza ulishawah kupimwa akili???


Ulipimwa hospital gani na majibu yalitoka kwa kiwango gani???
 
Back
Top Bottom