Nilichoandika nina uhakika nacho 100%, na wakati ukifika kitakapotokea haijalisha wewe utakuwa bado duniani, kuzimu au kwa neema ya Yesu peponi habari zitakufikia.Muweke na mchina, north Korea then upime tena tafakuri yako. Kisha uamini kua nchi itakayotaka kushindwa kama itabonyeza nuclear au la.
Achana na habari za kusadikika mkuu.Nilichoandika nina uhakika nacho 100%, na wakati ukifika kitakapotokea haijalisha wewe utakuwa bado duniani, kuzimu au kwa neema ya Yesu peponi habari zitakufikia.
Tujiandae nq mafuta kupanda bei!Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.
Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Si Bora hata hayo mafuta yawepo. Hivyo visima vyote vitakula motoTujiandae nq mafuta kupanda bei!
Wanamuondoa toka mwaka 2022 ilikua ndio ngano yenu mpaka sasa ishaanza kugeuka sembePutin is purely arrogant, sasa i will support kupigwa sana Putin, his downfall is inevitable, kama huwajui wayahudi, subiri uone mambo ya Putin, inside Moscow wanamuondoa, najua huamini, Putin jinga kabisa
MSM na chachi kumewafanya hao jamaa wafikirie kama wamekatwa vichwa aseeeGaza ni occupied territory isiyo na ulinzi wa anga wala wa ardhi na wala isiyo na jeshi kamili.
Usifananishe Gaza na Iran ambayo ina airdefence system zaidi ya nne,ina ndege vita,ina makombora ya kufika popote na ina jeshi kamili.
Weeeh usifananishe.
Shida mnapenda kuropoka bila kufatilia majamboHuyo mwehu putin aliwahi kusema marekani kinamsukuma nini kuingia ukraine badala ya kufanya yaliyo nchini kwake ajabu hicho hicho alichojifanya kukishangaa ndicho anataka kukifanya huko iran.
Kama mafuta kukosekana na visima kutiwa moto vitapelekea mazayuni kufutwa na Palestine kuwa huru basi acha iweSi Bora hata hayo mafuta yawepo. Hivyo visima vyote vitakula moto
Inaonekana hujui kabisa kinachofanyika. Hiyo "GPS Jamming" inafanywa na Israel wenyewe kwa sababu zao za kimkakati lakini nyie watu wa kijiweni hilo hamuwezi kulifahamu. πFattah-2 zishawashwa huko, GPS siku ya 3 imekuwa jammed Tel Aviv
Vibaraka wa USA pale Arabuni wafgekwe woteHili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.
Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
punguza mahaba kijana, yaani kila taarifa tu ikionesha imetokea Israel unasema amefanya Kwa mkakati na ikitokea nchi hasimu unasema Kuna mkono wa Israel, unakuwa km umekatwa kichwa vileInaonekana hujui kabisa kinachofanyika. Hiyo "GPS Jamming" inafanywa na Israel wenyewe kwa sababu zao za kimkakati lakini nyie watu wa kijiweni hilo hamuwezi kulifahamu. π
ππ aya matango pori huwa mna nywesha mkiwa wapi .Russia sio UVCCM mada za wanaume ,mvulana usi kimbilia kucomment Hao CIA unazani hawajawahi kujaribu ? Una hisi FSB imekaa kama pambo la BongoPutin is purely arrogant, sasa i will support kupigwa sana Putin, his downfall is inevitable, kama huwajui wayahudi, subiri uone mambo ya Putin, inside Moscow wanamuondoa, najua huamini, Putin jinga kabisa
Wakati ukifika utaelewa japo utakuwa umechelewa saaaaanaAchana na habari za kusadikika mkuu.
Nimewapa chanzo cha taarifa ukiachana na imani ya kijinga za kidini utaweza kuelewa.punguza mahaba kijana, yaani kila taarifa tu ikionesha imetokea Israel unasema amefanya Kwa mkakati na ikitokea nchi hasimu unasema Kuna mkono wa Israel, unakuwa km umekatwa kichwa vile
Eti Putin atamalizwa.. πππ Watu weusi ni shida sanaNaamini sbb Putin kaweka wazi vita vyake na wayahudi kupitia Iran, kwa asilimia 100, Putin atamalizwa sio muda mrefu, tutaona mengi mno ndani ya miezi 2 ijayo
Mzee wa Roman empire kufufuka.Achana na habari za kusadikika mkuu.