Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Na wiki iliyopita mchina nae kapitisha madege ya kivita ya kutosha taiwan.........hii kitu ikilipuka Mmarekani atakua na kazi kubwa sana na vibaraka wake......huku amlinde taiwan upande wa huku kuna Ukraine na bado Iran anakula chabo tuKiduku yuko bize kusuka makombora ya masafa marefu zaidi