ngajapo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 1,782
- 3,525
Rais mzee baba Vladimir Putin ameonya vikosi vya nje dhidi ya kuingilia mzozo wa Ukraine, na kuahidi jibu la "kasi ya umeme" kwa vitendo kama hivyo, huku akiahidi kutumia siraha zenye matumizi ya juu zaidi za Moscow. "Iwapo mtu ataamua kuingilia kati matukio yanayoendelea kutoka nje na kuunda vitisho vya kimkakati visivyokubalika kwetu, wanapaswa kujua kwamba majibu yetu kwa mapigo yanayokuja yatakuwa ya haraka sana,"
Putin aliyasema hayo akiwa anatoa hotuba kwa wabunge leo Jumatano.
"Tuna zana zote za kufanya hivi. Zana ambazo hakuna mtu (taifa) aliye nazo isipokuwa sisi na tunaweza kujivunia lakini hatutajisifu. Tutazitumia ikiwa hitaji kama hilo litatokea, "rais alisema, bila kutaja ni zana gani zinaweza kutumwa.
source: al jazeera na RT
Russia will respond swiftly to any ‘interference’ in Ukraine: Putin
Putin has warned that any countries attempting to “interfere” in Ukraine will be faced with a swift response from Moscow.
Addressing lawmakers in St Petersburg, Putin said all decisions on how the Kremlin would react in the event of a threat to Russia’s “strategic security” have already been taken.
“If anyone would want to interfere with what’s happening in Ukraine now, from the outside, they have to know Russia’s response will be swift and fast,” he said.
“We have all sorts of tools that the West cannot obtain, and we will not boast of our weapons but we will use them if need be and I want everyone to know that.
Putin aliyasema hayo akiwa anatoa hotuba kwa wabunge leo Jumatano.
"Tuna zana zote za kufanya hivi. Zana ambazo hakuna mtu (taifa) aliye nazo isipokuwa sisi na tunaweza kujivunia lakini hatutajisifu. Tutazitumia ikiwa hitaji kama hilo litatokea, "rais alisema, bila kutaja ni zana gani zinaweza kutumwa.
source: al jazeera na RT
Russia will respond swiftly to any ‘interference’ in Ukraine: Putin
Putin has warned that any countries attempting to “interfere” in Ukraine will be faced with a swift response from Moscow.
Addressing lawmakers in St Petersburg, Putin said all decisions on how the Kremlin would react in the event of a threat to Russia’s “strategic security” have already been taken.
“If anyone would want to interfere with what’s happening in Ukraine now, from the outside, they have to know Russia’s response will be swift and fast,” he said.
“We have all sorts of tools that the West cannot obtain, and we will not boast of our weapons but we will use them if need be and I want everyone to know that.