Urusi kwa mara nyingine yatoa onyo kwa Mataifa makubwa kutoingilia mipango yake Ukraine

Urusi kwa mara nyingine yatoa onyo kwa Mataifa makubwa kutoingilia mipango yake Ukraine

Akijaribi kushambukia bila sababu simtamuona ni kichaa kama mnavyosema.?
Namimi nasema NATO mojawapo aingize jeshi mazima bila kificho Ukraine muone mziki wake.
Hakuna haja ya kuua Mende kwa nyundo, unapiga na ndala Mende chalii, Ukraine pekee atosha, kamasi zinamtoka urusi bila hata NATO.
 
Hapo zamani kulikuwa na mji unaitwa Washington DC.

Ulizama wote mwaka 2022 baada ya kupigwa na bonus la nuklia aina ya Iskanda.


Haya yatasimuliwa mwaka 2122.
 
ANGALIZO 🔞🔞🔞🔞🔞🔞
JAMAA ZENU HAO pengine na wewe upo hapo kambini US
Ndo akili zako zilipoishia....mzazi wako nae anadai anamtoto na mtoto mwenyewe ndo wewe....aisee
 
Ajaribu kushambulia mwanachama yeyote wa NATO aone kitakachotokea kwasababu hayo mataifa yanaishi kwenye viapo vyao vya mutual military assistance daima.
Tafuta humu guugo utaona MOLDOVAN imegongwa na kitu kizito...
 
Brother una umri gani, sio lazima nato wapeleke jeshi ndio effect zake zionekane, dunia imeshabadilika sana wenzetu wako mbali sana tu, putin ndio maana analalamika mipango yake inahujumiwa na mabeberu, Germany anapeleka silaha, na Russia hawezi kumfanya chochote. Kwa beberu mkuu ndio hagusi kabisa, ukraine yenyewe jirani yake imemshinda mbona mambo yakowazi tu
Dunia imebadilika kivipi kama ni hivo kila mtu abakie nchini kwake afu ndo watume hizo silaha .... Marekani kaeka wanajeshi wengi german poland hapo ndo usiseme wanafanya nini hapo kwa watu si wakae makwao ......utruki hapo marekan kaweka kambi .......alafu unasema sio lazima wapeleke jeshi wakati majeshi yao yamejazana kwenye mipaka ya nchi za watu kumzingira mrusi........alalfu kumbe nilichoona wewe ndo ilitakiwa tukuulize una umri gani ............warudi makwao ndo watume hizo silaha kenge wale
 
Hao vijana wasamehe tu mkuu

Anataka NATO wapeleke jeshi, muda huohuo wanasahau kuwa putin alitoa onyo kuangamiza nchi itakayosaidia Ukraine. Sasa je nchi zinazosaidia Ukraine hazipeleki silaha zake hadharani Ukraine? Kuna walichofanywa?
Wacheni uoga ingizeni jeshi huko ukrine mazima mazima tukutane FACE TO FACE ..huko uwanjani ....huo ndo uanaume ......haya mambobya kujificha mgongoni kwa zellensk ni ya kishamba bhanan............na juzi mwamba kawaambia wapeleke silaha za kisasa yaani kawapa ruksa na kweli wameanza kupeleka .......mwisho wa siku ataawaamrisha wapeleke jeshi na watapeleka .........

Sasa hapo ni nani mwanaume ....wacheji woga .....wapuuuzi nyie
 
Marekani nuclear war heard iko enriched mara mia tano ya hiroshima, idadi sio tatizo.
Kuna hydrogen bomb
Kwamba unataka kusema RUSSIAN hana hayo ma hydrogen ...au [emoji849][emoji849][emoji849]
 
ANGALIZO [emoji725][emoji725][emoji725][emoji725][emoji725][emoji725]
JAMAA ZENU HAO pengine na wewe upo hapo kambini US
Duhh mkuu hapa umeua kabisa .......usiweke tena hii kitu aisee dahh [emoji23][emoji23]
 
Ndo akili zako zilipoishia....mzazi wako nae anadai anamtoto na mtoto mwenyewe ndo wewe....aisee
Kwani tatizo likuwa anakuonesha hayo mashoga unayoyashabikia jinsi yalivo ....alafu ndo mnasema yakapigane na miamba kutoka russia ......hiiii keeli wewe unakichwa cha kuku
 
Marekani nuclear war heard iko enriched mara mia tano ya hiroshima, idadi sio tatizo.
Kuna hydrogen bomb
Mkuu Russia wana Tsar bomba hilo dude ni kubwa mara 3,333 ya little boy la usa alilopiga hiroshima.
 
kelele nyingii sana na watu bado wanatuma silaha, piga tukio moja tuone kama kweli yeye mbabe apige nchi moja kombora asiwe anatisha tisha tu watu mwezi mzima na bado hawasikii. Ukweli ni kwamba yeye mwenyewe anatisha lakini anaogopa moyoni.
Wanajua madhara ya nuclear ndio maana wote wanaogopa.
Vita ya tatu ya dunia ikitokea basi vita ya 4 ya dunia vitapiganwa kwa vijiti na mawe.
 
Dunia imebadilika kivipi kama ni hivo kila mtu abakie nchini kwake afu ndo watume hizo silaha .... Marekani kaeka wanajeshi wengi german poland hapo ndo usiseme wanafanya nini hapo kwa watu si wakae makwao ......utruki hapo marekan kaweka kambi .......alafu unasema sio lazima wapeleke jeshi wakati majeshi yao yamejazana kwenye mipaka ya nchi za watu kumzingira mrusi........alalfu kumbe nilichoona wewe ndo ilitakiwa tukuulize una umri gani ............warudi makwao ndo watume hizo silaha kenge wale
Shule na umri wako ni mdogo sana huo ndo ukweli kwanza umeongea kwa mihemko bila hata logic, kama huna exposure na baadhi ya vitu bora ukae pembeni kuliko kuleta makasiriko ambayo hayana maana. In modern welfare mambo yamebadilika mengi, military design thinking inalenga kupunguza casualties kwa kutumia mbinu mpya za kumbana adui yako bila kutumia vikundi vikubwa vya askari, currently kinachomatter sana na logistics na propaganda. My point was, mabeberu yanaingilia vita kwa namna nyingi na hatari Sana kama kupika propaganda na hujuma dhidi ya serikali na vikosi vya Russia. Sasa hivi vifaru vya Russia vinaonekana kuwa na tatizo namely ( jack in the box flaw ) silaha kama St jevelin vinakwamisha operation ya Russia. Harafu deployment ya askari wa marekani kwenye mataifa wanachama wa nato ni jambo la kawaida. If you have got any point of departure prove me wrong
 
Kwa mtu mwenye akili timamu kabisa hawwwzi kusema eti putin hii vita atashinda hiyo ni Big No .Kumbukeni mshindi wa vita Huwa ni yule mwenye uchumi mkubwa na shida zaidi Putin anashindana na mataifa makubwa chini ya mwamvuli wa NATO na mbaya zaidi mataifa ya NATO yakiongozwa na kaka yao mkuu USA ndiyo yenye mifumo ya kuongoza uchumi wa DUNIA Sasa hapo Rusia atashindaje hii vita? Tusubili muda ufike Kila mtu atajua USA ni nani hapa Duniani.Jambo la mhimu jueni kwamba huu ndiyo mwisho 2a Putin Duniani na anguko la Urusi kiuchumi na kijeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah wewe mwamba nimekuvulia kofia kwa ushabiki unashindwa kujua silaha huwa ni siri, taarifa nyingi za silaha huwa nifake, unless wakubwa wanajuana kwamba huyu anazo. Kama ungepita angalau jkt usingeongea huu ujinga. Tanzania tu huwezi kujua tuna vifaru vingapi, apc ngapi na mizinga mingapi. Ubora na idadi ya silaha ni confidential
Usibishane na watu ambao hawajui chocolate kuhusu jeshi wao Kila kitu ni ligi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom