Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kwani ndio mara ya kwanza misaada hii ya vifaa vya kijeshi kwenda Ukraine,hiyo mingine ilipitia wapi?Hivi huwa inapitia wapi ambako Urusi haipajui?
Au kuna sheria inamfunga kudungua kila ndege inayotua Ukraine kuleta msaada.
Sasa USA asipiokuwa 'machinoo' nani atakuwa? Yani mtu ana nguvu na anaongoza katika nyanja zote hapa Duniani anaachaje kuwa machinoo,hebu wakati mwingine tuwe serious kidogoTatizo USA akikubali kushindwa ataonekanaje? Maana ameshajimwambafai kuwa yeye ni babalao. Anajja hicho anachokjfanya hakitakuwa na impact yoyote ile ktk huu mgogoro na Russia lakini hatafanyaje ikiwa tayari alishamuahidi Ukraine ulinzi ikiwa atavamiwa na Russia
Anachokifanya USA anajua kabisha kinaweza kuleta madhala makubwa sana midunia lakini ameamua kushupaza shingo kwa umachinoo wake.
Hizi comment ndefu hazisadii sana,yeye Russia achukue hatua tu kwa hao wanaomsaidia Ukraine,siyo kila siku kuleta mipasho ile ile,si hao wanapeleka silaha kila kukicha.Aliwaonya hivohivo Ukraine... Wakachukulia mzahaa.
US na NATO wakasema haaaa wapiiiii...ni haki ya Ukraine kujiunga NATO ..blaah blaah
Jamaa akaamua kuwachapa kwelikweli
Putin huongea kidogo, ila Matendo yake ni makubwa.
Aliwaonya Georgia, hamna kujiunga na NATO , wakasema waaaa Ati nn?? Wakabisha jamaa akapiga na NATO Wakaufyata.
Endeleen kujidanganya nyie NATO , Putinnaye Jana kasema, atawapiga.
Hizo balozi zenu za Ukraine mnazozitumia very soon zitabadilishwa kua kokoto !!.
Rais wa Ukraine akili itakuja kurudi wakati Tayari Urusi keshaanzisha vi nchi Kadhaa kadhaaa ndan ya Ukraine.
Na Cha kumfanya hamna !!! Yeye alishasema, once tutakapoona Kuna kombora linakuja Upande wa Urusi, sisi hatutajua limebeba conventional weapons au Nuclear weapons, na hivo basi tutawalipiza, Kwa kurusha makombora ya nyukilia Tena Kwa kutumia Silaha ambazo hazina wakufanana naye Ndan ya US na Ulaya nzima.
Wakati US na NATO wanapambana kumiliki Hypersonic Weapons,,,, Urusi yeye saizi anazitumia , Uchina anazo!!.
Hatothubutu,hiyo jeuri hana,atabaki kutishia hivyo hivyo kwa manenoHivi huwa inapitia wapi ambako Urusi haipajui?
Au kuna sheria inamfunga kudungua kila ndege inayotua Ukraine kuleta msaada.
Putin kiande kama kiande mwingine....hizo nuke hata wenzie wanazo naona amebaki kutishia tu misaada inazidi kumiminika huko Ukraine na hali inazidi kuwa mbaya upande wake eneo la vita...ni swala la muda tuAlisikika ngedere mmoja anayekaa kiembe mbuzi ambae hata chai na andazi hawezi kununua bila kujiuliza akimuita eti Putin ni mpumbavu!!
Akijaribi kushambukia bila sababu simtamuona ni kichaa kama mnavyosema.?Ajaribu kushambulia mwanachama yeyote wa NATO aone kitakachotokea kwasababu hayo mataifa yanaishi kwenye viapo vyao vya mutual military assistance daima.
Brother una umri gani, sio lazima nato wapeleke jeshi ndio effect zake zionekane, dunia imeshabadilika sana wenzetu wako mbali sana tu, putin ndio maana analalamika mipango yake inahujumiwa na mabeberu, Germany anapeleka silaha, na Russia hawezi kumfanya chochote. Kwa beberu mkuu ndio hagusi kabisa, ukraine yenyewe jirani yake imemshinda mbona mambo yakowazi tuAkijaribi kushambukia bila sababu simtamuona ni kichaa kama mnavyosema.?
Namimi nasema NATO mojawapo aingize jeshi mazima bila kificho Ukraine muone mziki wake.
Nukes ni defense mechanism maana wamba kibao wanazo tu na hawasemiUrusi siku akichagua kuishambulia NATO, atatumia Nuclear weapons
Na Putin alishasema, "tutatumia pale ambapo uwepo wa Urusi Duniani unahararishwa, kwahivo tutazitumia wao wataenda Jehanamu , sisi tutaenda mbinguni"
Hao vijana wasamehe tu mkuuBrother una umri gani, sio lazima nato wapeleke jeshi ndio effect zake zionekane, dunia imeshabadilika sana wenzetu wako mbali sana tu, putin ndio maana analalamika mipango yake inahujumiwa na mabeberu, Germany anapeleka silaha, na Russia hawezi kumfanya chochote. Kwa beberu mkuu ndio hagusi kabisa, ukraine yenyewe jirani yake imemshinda mbona mambo yakowazi tu
Wanazo lakini Warusi wanazozenye nguvu kuliko zaoNukes ni defense mechanism maana wamba kibao wanazo tu na hawasemi
Nilikuwa natafuta habari ilotolewa na AFP News kule twitter ikisema UK ipo tayari kupeleka Nukes zake Poland endapo Russia akatumia Nukes ukraine.Nukes ni defense mechanism maana wamba kibao wanazo tu na hawasemi
Kaumbuka lini? Jamaa huwa wakisema wanatekeleza hawana blabla nyingi kama NATOMikwara yake haina tofauti na ile ya sadamu ila itafika mda ulimwengu utamshangaa kwamba ndio huyu aliyekua tishio? Mbona kaumbuka hivi
Uk wananguvu ndogo ya kinuclear ukilinganisha wa warusi.yaani waingereza hawawaiwezi urusi kinuclear.Marekani ndo ananguvu Sawa na Warusi.warusi wananuclear mara 100 yenye nguvu Zaidi ya waingereza.Nilikuwa natafuta habari ilotolewa na AFP News kule twitter ikisema UK ipo tayari kupeleka Nukes zake Poland endapo Russia akatumia Nukes ukraine.
Brother sikuwezi kwa ushabikiWanazo lakini Warusi wanazozenye nguvu kuliko zao
Uingereza ana silaha za nuclear 225 wakati warusi wanazaidi ya 6000 na silaha kubwa na zenye nguvu wamarekani ndo wanaowakaribia sanaBrother sikuwezi kwa ushabiki
Marekani nuclear war heard iko enriched mara mia tano ya hiroshima, idadi sio tatizo.Uingereza ana silaha za nuclear 225 wakati warusi wanazaidi ya 6000 na silaha kubwa na zenye nguvu wamarekani ndo wanaowakaribia sana
ANGALIZO ππππππPutin kiande kama kiande mwingine....hizo nuke hata wenzie wanazo naona amebaki kutishia tu misaada inazidi kumiminika huko Ukraine na hali inazidi kuwa mbaya upande wake eneo la vita...ni swala la muda tu
Dah wewe mwamba nimekuvulia kofia kwa ushabiki unashindwa kujua silaha huwa ni siri, taarifa nyingi za silaha huwa nifake, unless wakubwa wanajuana kwamba huyu anazo. Kama ungepita angalau jkt usingeongea huu ujinga. Tanzania tu huwezi kujua tuna vifaru vingapi, apc ngapi na mizinga mingapi. Ubora na idadi ya silaha ni confidentialUingereza ana silaha za nuclear 225 wakati warusi wanazaidi ya 6000 na silaha kubwa na zenye nguvu wamarekani ndo wanaowakaribia sana