Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Marekani anasaidiwa na vifuatavyo

Kushiriki vita nyingi, hivyo kujua uadhaifu wa jeshi, zana na silaha zake.

Logistics Marekani ana uwezo wa kutumia siku 1 kufaulisha wanajeshi 10,000 alionesha mfano alipoondoka Afghan ndani ya masaa 24 aliweza ondoa watu 10,400 kwa kutumia C17 Galaxy

Marekani ana fleet ambazo ziko deployed duniani, hivyo ni rahisi sana kufika popote au kutuma mabomu

Marekani ana Base zaidi ya 800 duniani.

Ndo maana vita ya Ukraine anatumia sana Base zake za Germany.

Kwa sasa kaweka Base ya kudumu Poland

Kingine ni angani Marekani ana uzoefu sana


China haijawahi shiriki vita yoyote kubwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
fact
 
Waambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno

Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Whatever means of war the powerful part will win
 
Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Hukusemabna uwezo wao kwenye intelligence CIA
 
Mkuu, not necessarily-what happened in VietNam.
What happened in Vietnam is different sababu

1. USA invaded vietnam ( Kuvamiwa nyumbani kwako huwa ni probability kwa mvamizi kushinda hata kama ni powerful sababu unajua mbinu za kukabiliana na adui nje ya vita, Geography ya Vietnam iliwashinda marekani.) Ndio maana nimeongelea sana case ya Russia na China kuiangusha marekani kwa maana ya invasion) but ni by then not now.

2. USA lacked support from both CIA and Public.
Bado Marekani hawakukubaliana kuivamia vietnam, Wamarekani wengi walikua against na Hata ndani ya jeshi kulikua na kutokuelewana juu ya lengo kuu la kuvamia vietnam.
 
What happened in Vietnam is different sababu

1. USA invaded vietnam ( Kuvamiwa nyumbani kwako huwa ni probability kwa mvamizi kushinda hata kama ni powerful sababu unajua mbinu za kukabiliana na adui nje ya vita, Geography ya Vietnam iliwashinda marekani.) Ndio maana nimeongelea sana case ya Russia na China kuiangusha marekani kwa maana ya invasion) but ni by then not now.

2. USA lacked support from both CIA and Public.
Bado Marekani hawakukubaliana kuivamia vietnam, Wamarekani wengi walikua against na Hata ndani ya jeshi kulikua na kutokuelewana juu ya lengo kuu la kuvamia vietnam.
Kilichosababisha ishindwe ni alikuwa anapigana guerilla war, unapigana na wasio na millitary regalia, ngumu kujua huyu na yule nani yupi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Waambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno

Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Hizo iCBM Amerika hawana?
 
Hakuna anayetaka kumuangusha mwenzake .......Kila mtu anapambana na Hali yake

NB: unaemsema kuwa ana teknolojia kubwa ya silaha .......ndiye anayemuogopa mrusi

Sasa mtoa mada wewe ni Nani pale pentagon??

View attachment 2564746
Huyu ni moja wa mavambi tu,
Kwajinsi mrusi anawatusi watu zaidi 30,nikwakua wameshazidiwa mda
 
Acha kuwa poyoyo, hakuna Taifa liko vizuri kama Marekani kwenye logistics za kijeshi, ndio maana wanaweza ku project power na kupigana popote duniani kwa muda mrefu sana. Urusi hapo mpakani kwake tu Ukraine panamtoa kamasi unaenda mwaka wa pili sasa.
Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.
 
Hii ni story Kama story zingine coz umeandika Tu na huna uhakika , unadai ni takwimu je hao walioziweka hizo takwimu ni akina Nani na hawana upendeleo au ndio propaganda
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
 
Naona mtoa mada unajitoa ufahamu pole sana
Ila kiufupi ni kuwa siku mbungi ikianza marekani na Russia au NATO na Russia aisee jua tutashuudia mengi sana

Usione wataalamu wanatabiri kuwa siku vita hii ikianza kuna hatari dunia ikaangamia yote ukaisi ni masihara au miujiza ila jua ndivyo itakavyokuwa.

Na inawezekana nchi zilizounda umoja wa NATO nyingi zikajitoa katika iyoo vita ila kunusuru maangamizi ya nchi zao.

Russia hatatumia silaha nyingine zaidi ya silaha za maangamizi Marekani vilevile pamoja na shosti yake UK sitegemei France au German kuingia na haitatokea hawa wawili wsnajua ambacho walikipata miaka ya nyuma ata nchi nyingi ambazo marekani ameweka base hawatakubali mashambulizi yaaanzie kwao kwenda kwa Russia ni kujidanganya tu kuwa ilo litafanyia rejea aliyoyafanya Irani na mkwara aliompiga Saudia kuusu Israel kufanya mashambulizi kutokea kwao.

Mtoa mada vita ya marekani na Russia hutakaa uionee abadani itakuwa mikwara ya mbuzii tu na saivi naona kila mmoja kaanzisha jeshi lake la anga za mbali ndyo ujue ni ngumu hizi nchi kupigana kuusu badget mtoa mada jifunzee sana kwanini marekani bajeti yake ya ulinzi ipo juuu sana kuliko nchi nyingine
 
Back
Top Bottom