Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Urusi na China haziwezi kuiangusha Marekani

Mkuu kwanza pole,

Kuwa na bajeti kubwa ya kivita sio lazima utakuwa na nguvu kubwa sana.

Pili naona unaipa US nguvu ambayo hana. Swali rahisi ni Vita ipi marekani kaenda mwenyewe na kushinda? Nitajie moja tu.

Pili mataifa kama China na Urusi yana zaidi ya umri wa 1,000 ndio miaka elfu soma historia. Hakuna vita aliyopigana wakashindwa ndio maana nchi zao ni kubwa sana.

Pia soma historia na majarida ya kijeshi ya majeshi makubwa duniani na imeelezwa vizuri wapi US ana nguvu kubwa na wapi Dhaifu hivyo hivyo kwa Urusi na China.

Ukraine nchi zaidi ya 30 wamepeleka silaha za kila aina lakini hakuna dalili za hata kusogea nchi moja zaidi wanapigwa, je hizo silaha kali ni zipi?

Uliwahi kusikia cha meli vita ya Marekani (5G) ilichofanyiwa na Urusi 2013 na ndio mwanzo wa kutaka Ukraine iingie NATO? Kama hujakipata kasome.

Uliwahi kusikia makombora Hypersonic (match 13-19) ambazo ni tested kwenye combat zones? Uliwahi kusikia makombora supersonic (match 3-9) tested ni real combat zones.

Je unajua Urusi hahitaji base yeyote nje ya nchi kupiga sehemu yeyote ulaya na marekani?

Je wajua the most powerful infantry na vifaru bora wanatoka nchi gani.?

Mambo ni mengi ukijua hiyo utaedit post yako. Utaipa creditUS yale anayostahili na wengine utawapa credit yao pia.

Mwisho, ukitaka kumwangusha mtu mkubwa usiache aanguke kama mgomba wenye ndizi maana kishindo na vumbi lake ni kubwa sana, hivyo mwache aanguke kidogo kidogo ili vumbi lisitapakae na aweze kuzibitiwa.
 
Unachekesha sana mkuu, kuwa na silaha nyingi ambazo sio effective zinaweza kukuangusha mapema sana vitani [emoji3][emoji3][emoji3]!

Hichi ulicholeta ni sawa na kusema kila mtu mwenye uzito mkubwa na bonge anaweza kumtandika mtu mwenye less weight na mwembamba kwenye street fight!

Kwamba sababu mwarabu fighter ni mbavu anaweza akampiga professional boxer kama Twaha Kiduku.
Mi amenichosha anapokomaa na namba utadhani namba ndio zinapigana.
.
Marekani na silaha zake zote na teknolojia lakini Afghanistan amesanda .

Sometime kushinda vita sio suala la kuwa na bajeti kubwa ya jeshi tu! Kuna vitu vingi mno ambavyo mleta mada hajavibainisha.
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Kwa hisani ya vijiwe nongwa
 
Ch
Mi amenichosha anapokomaa na namba utadhani namba ndio zinapigana.
.
Marekani na silaha zake zote na teknolojia lakini Afghanistan amesanda .

Sometime kushinda vita sio suala la kuwa na bajeti kubwa ya jeshi tu! Kuna vitu vingi mno ambavyo mleta mada hajavibainisha.


Cha kushangaza sana ni Marekani amekuwa na room ya kuionesha Russia ujuzi kupitia Russo -Ukranie war iliyoanza 2022, lakini watu wanakuja na kuonesha wanafikiria kwa kutumia matacle yao Multi-skilled
 
Mbona usa hanna silaha za hypasonic missile pamoja nakuwa base kila kona nabajeti kubwa ya kijeshi?
 
Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Hivi mnapoongelea nyuklia USA yeye Hana?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Uzuri upande ule hawana maneno mengi ni vitendo tu
 
I will speak facts only.

U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.

U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.

China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.

U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.

However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.

Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Wamteke Putin huko 'za' sasa kama wao ndio viranja wa dunia.
Ndio kashafika sasa
 
Ukiweza angusha military base za marekan kwenye mataifa 89 duniani umeipiga marekani.
Kwa siraha gani alizonazo Urusi au China mpaka azimalize hizo base bila kugusa barracks zilizokuwepo Marekani kwenyewe. USA ndiye anayeishikilia dunia na bado sana kumshusha hapo alipo. Atazidiwa kiuchumi, lakini si kijeshi
 
Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Taifa gani lenye uwezo wa kuactivate nukes zake bila naye kuguswa? Kuna kitu kinaitwa Reciprocal effect (reciprocity in warfere) naomba upitie huko then utajua kwanini hizo siraha zinaitwa prestigious weapons
 
Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.
Yaani wewe ulione kisha wao wasilione? Jamani embu tuacheni ushabiki.
 
Yaani wewe ulione kisha wao wasilione? Jamani embu tuacheni ushabiki.
Kwani wewe unaona ajabu gani? Kwa kuwa kasema mswahili basi mnaona wazungu hawawezi kufanya makosa au kujisahau au kuwa overconfident kwamba nothing can go wrong.

Unakumbuka jinsi Roketi za Sadam Hussein type ya SCUD zilivyo tie up muda mwingi wa squadron za ndege za vita kwa kuzisaka bila mafanikio - Mapilot wanatoka hiko macho mekundu kwa kukosa usingizi na SCUD zikaendelea kuuwa watu na wanajeshi huku Merikani ikizuga watu kwamba ADS za Patriot zimemudu kuzidhibiti SCUD, kumbe ulaghai mtupu.

Tuliona jinsi SCUD zilivyo kuwa zinapiga Saudi Arabia na Israel kwa mpigo mpaka Israel ikakasirika ikataka kuingia vitani kuzitafuta SCUD za Saddam lakini Merikani ikamkataza Israel kwamba Israel ikiingia vitani basi Amerika itakosa support ya Waarabu.

Nimeyasema haya kuonyesha kwamba hata wazungu ni binadamu kama sisi are not super human kuna vitu vya muhimu wanaweza kuvi overlook au kuvisahau kabisa ni kama mfano wa kujiamini kwamba wanaweza kuzishinda SCUD za Saddam lakini mwisho wa siku wakahaibika.

Nilikuwa nasema mambo kama hayo kwa kukumbuka incidents ambazo ziliwahi kulikumba jeshi la Merikani bila ya kutarajia - SCUD is one example, kusema kwangu kwamba jeshi la Merikani lime spread too thin sio jambo la kuchukulia kimzaa mzaa iwapo vita ya WW3 itahibuka ghafla - jeshibla Merikani watapata wakati mgumu kwa masuala ya logistics- hii ni kweli wala sio utani.
 
Hakuna anayetaka kumuangusha mwenzake .......Kila mtu anapambana na Hali yake

NB: unaemsema kuwa ana teknolojia kubwa ya silaha .......ndiye anayemuogopa mrusi

Sasa mtoa mada wewe ni Nani pale pentagon??

View attachment 2564746
kati ya Urusi na USA nan alisema mwenzie ana mpango wa kumvamia , tena aliongea hivyi kiongoz wa nchi kabisa halaf hapa unasema kinyume chake

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Miaka ya 2000 warusi wakifanya tathmini ndogo tu ya maeneo yatayoanza kupigwa ikitokea Vita Kati ya Russia na Marekani na ikagundulika Pwani ya California ni dhaifu sana yaani yanahitajika mabomu matano tu ya nyuklia kuufungua mlango wa bahari ya Pacific na kutengeneza mafuriko makubwa mno yataiangamiza Marekani nzima.
Sio Mimi ninayosema hayo ila ni tathmini

Naamini pana ukweli kwa sababu Nchi Kama Korea kaskazini si tishio kabisa kwa usalam wa Marekani lakini anahofia Jambo hilo. Hata Marekani amzunguke Mrusi vipi Russia haogopi kwa sababu anajua uwezo wa kumpiga na kumuangamiza mmarekani anao mkubwa sana.
MAREKAN NI STATES 54 zinazojitegemea kwab kila kitu kwa kila states , China anitahidi kuunda hiki kitu nchini mwake ila bado kwasasa hv

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Miaka ya 2000 warusi wakifanya tathmini ndogo tu ya maeneo yatayoanza kupigwa ikitokea Vita Kati ya Russia na Marekani na ikagundulika Pwani ya California ni dhaifu sana yaani yanahitajika mabomu matano tu ya nyuklia kuufungua mlango wa bahari ya Pacific na kutengeneza mafuriko makubwa mno yataiangamiza Marekani nzima.
Sio Mimi ninayosema hayo ila ni tathmini

Naamini pana ukweli kwa sababu Nchi Kama Korea kaskazini si tishio kabisa kwa usalam wa Marekani lakini anahofia Jambo hilo. Hata Marekani amzunguke Mrusi vipi Russia haogopi kwa sababu anajua uwezo wa kumpiga na kumuangamiza mmarekani anao mkubwa sana.
Mbona asimpige sasa, anasubiri nini.
 
Back
Top Bottom