Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
- Thread starter
-
- #21
factMarekani anasaidiwa na vifuatavyo
Kushiriki vita nyingi, hivyo kujua uadhaifu wa jeshi, zana na silaha zake.
Logistics Marekani ana uwezo wa kutumia siku 1 kufaulisha wanajeshi 10,000 alionesha mfano alipoondoka Afghan ndani ya masaa 24 aliweza ondoa watu 10,400 kwa kutumia C17 Galaxy
Marekani ana fleet ambazo ziko deployed duniani, hivyo ni rahisi sana kufika popote au kutuma mabomu
Marekani ana Base zaidi ya 800 duniani.
Ndo maana vita ya Ukraine anatumia sana Base zake za Germany.
Kwa sasa kaweka Base ya kudumu Poland
Kingine ni angani Marekani ana uzoefu sana
China haijawahi shiriki vita yoyote kubwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bila namba hisaidiiMsadieni huyu Brain washed
Whatever means of war the powerful part will winWaambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno
Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.Yaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Mkuu, not necessarily-what happened in VietNam.Whatever means of war the powerful part will win
Hukusemabna uwezo wao kwenye intelligence CIAI will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
What happened in Vietnam is different sababuMkuu, not necessarily-what happened in VietNam.
Nisamehe maana hiki ndio kitovu cha marekani[emoji23]Hukusemabna uwezo wao kwenye intelligence CIA
Kilichosababisha ishindwe ni alikuwa anapigana guerilla war, unapigana na wasio na millitary regalia, ngumu kujua huyu na yule nani yupiWhat happened in Vietnam is different sababu
1. USA invaded vietnam ( Kuvamiwa nyumbani kwako huwa ni probability kwa mvamizi kushinda hata kama ni powerful sababu unajua mbinu za kukabiliana na adui nje ya vita, Geography ya Vietnam iliwashinda marekani.) Ndio maana nimeongelea sana case ya Russia na China kuiangusha marekani kwa maana ya invasion) but ni by then not now.
2. USA lacked support from both CIA and Public.
Bado Marekani hawakukubaliana kuivamia vietnam, Wamarekani wengi walikua against na Hata ndani ya jeshi kulikua na kutokuelewana juu ya lengo kuu la kuvamia vietnam.
Hizo iCBM Amerika hawana?Waambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno
Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Huyu ni moja wa mavambi tu,Hakuna anayetaka kumuangusha mwenzake .......Kila mtu anapambana na Hali yake
NB: unaemsema kuwa ana teknolojia kubwa ya silaha .......ndiye anayemuogopa mrusi
Sasa mtoa mada wewe ni Nani pale pentagon??
View attachment 2564746
Naskia watabiri wanasema itakaa madarakani mpaka yesu arudi, urusi ilishatawala dunia zamu yake ikaisha
Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.
Hypersonic marekani hana unalijua hiloNaoma namba please story sitaki
I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732