Hii ndio sababu maalum. Unamkumbuka baba wa wakoloni? England huyu alikuwa na nguvu lakini nguvu zake zilipelekwa USA baada ya vita vya kwanza vya dunia. Sasa muda wa lile taifa la mashariki ya kati kuwa na nguvu za kiuchumi. Huku akilindwa na kaka zake USA/NATO, si kwenye dini ndio inavyosema hio nchi atakuja mtawala atakae iongoza dunia.However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Urusi haijawahi kutawala duniaNaskia watabiri wanasema itakaa madarakani mpaka yesu arudi, urusi ilishatawala dunia zamu yake ikaisha
Vijana wengi kama Hawa wamekua wakija na kuondoka.Msadieni huyu Brain washed
Jina lako na ulichoandika ni tofauti kabisa. Militaly base zenye nuclea zipo usa pekee, militaly base yzenye hypersonic zipo usa pekee, usidhani hii vita watatumia bunduki mkuu ni mabomu kwa kwenda mbele tena yakilenga miundo mbinu. So kaa ufikirie upyaNew york ya Tanzania
Hawaelewi wanabishana pasipo kujua yaliyo dunianiWaambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno
Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Kwa uelewa wako unaona kabisa Ukraine anazichapa na Russia? Uliza [emoji631], [emoji629], [emoji636], [emoji632] na nchi umoja wa nato wametumia madolari mangapi hadi leo ili kumsafocate huyo mrusi.Nchi ya kuiangusha Marekani hakuna kabisa,tulikuwa tunadhani Urusi angemkaribia lakini vita vya Ukraine vimemuumbua vibaya.
Hii sio sababu kwamba output itakua mara nne maana mchina anaweza kupa almost the same output ukizongatja yeye ana cheap labourKwa investment ya dollar $844 billion kwenye jeshi lote mara 4 ya china Russia ni ngumu kukamatika
Hawa jamaa tayari wana anti nuclearYaani ingekuwa hivyo US ingekuwa imeshazivamia Russia na China haraka na kuzisambaratisha kama alivyofanya Yugoslavia,Iraq,Afghanstan,Vietnam,etc
Lakini kama alikimbia Vietnam,Afganistan,Iraq,nk sidhani kama anaweza kuthubutu hata kuwaza kuyapiga mataifa hayo.
Alichochelewa,angezuia mapema mataifa haya kumilki teknolojia ya Nuklia,lakini sasa it is too late.
Mjomba usiwe unaamini kila kilichoandikwa, kwa sababu imeandikwa kwa Kiingereza na jarida maarufu na wewe unaamini..I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Unachekesha sana mkuu, kuwa na silaha nyingi ambazo sio effective zinaweza kukuangusha mapema sana vitani πππ!I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERSView attachment 2564733View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERS
Marekani anasaidiwa na vifuatavyo
Kushiriki vita nyingi, hivyo kujua uadhaifu wa jeshi, zana na silaha zake.
Logistics Marekani ana uwezo wa kutumia siku 1 kufaulisha wanajeshi 10,000 alionesha mfano alipoondoka Afghan ndani ya masaa 24 aliweza ondoa watu 10,400 kwa kutumia C17 Galaxy
Marekani ana fleet ambazo ziko deployed duniani, hivyo ni rahisi sana kufika popote au kutuma mabomu
Marekani ana Base zaidi ya 800 duniani.
Ndo maana vita ya Ukraine anatumia sana Base zake za Germany.
Kwa sasa kaweka Base ya kudumu Poland
Kingine ni angani Marekani ana uzoefu sana
China haijawahi shiriki vita yoyote kubwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hahahah nashangaa hizo MB 800 anazojinadi anazo zitamsaidia nini huyo USA akitandikwa Bomu la Tsunami π€£π€£π€£!Waambie hao watu hawajuhi kitu ,wanadhani Vita ya Marekani na Urusi itapiganwa kwenye kambi. Kwanza , Vita hiyo itakuwa fupi sana lakini yenye madhara makubwa . Pili, itahusisha ICBM na silaha za Siri mno
Wanadhani ICBM zipo kwa kutungulia maembe kwenye miti
Hizo milotary base sio ishu. Ishu ni watu wenye balls wasioogopa kufa Marekani hana. Hivyo vifaa viko tu ila jeshi la Ardhini litabaki kuwa la muhimu sana kusonga mbele kivita.Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba American Military is spread too thin, sasa hizo sio dalili nzuri wakati wa vita mfano:WW3 lets say - mambo ya logistics kufikia bases zao zote zile Duniani itakuwa kama a nightmare kwao - sina uhakika kama hilo wao wamekwisha liona au la.
Nyumbu wa USA wamekutanaupo sahihi kbsa mkuu,U.S.A Ni level nyingine kbsa.
Hao wanajifuraishaNchi yenye tekinolojia kubwa ni urusi hata nuke zao matekani hana.
We endelea kuamini Propoganda tu. Marekani ni fala tu na yeye anajijua ame capitalize kwenye kujikuza kwa bosheni. Hana huo ukubwa ndio maana ana hahaAcha kuwa poyoyo, hakuna Taifa liko vizuri kama Marekani kwenye logistics za kijeshi, ndio maana wanaweza ku project power na kupigana popote duniani kwa muda mrefu sana. Urusi hapo mpaka kwake tu Ukraine panamtoa kamasi unaenda mwaka wa pili sasa.