Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

We jamaa si tu ni muongo bali ni m'mbea yaani ukraine afanya maamuzi magumu dhidi ya urusi ni maamuzi gani hayo? Acha kula upepo wewe hautashiba! Yaani nchi imechakaa mifumo ya NATO yoote imeshindwa kumsaidia.
Mrusi katumia Strategic bomber ie TU 160 pia fighter jets like SU 35 unadhani kwanini USA hapeleki strategic bombers zake eg B 2 Lancer stratofortress na figher jets kama F 35? Unadhani kwanini ufaransa hajapeleka Rafale? Jibu ni kwamba haziwezi kufanya kitu mbele ya Urusi na wanaogopa kwamba wakizipeleka soko lake litaishia hapo.
Halafu ukumbuke hata wakubwa zako wana uelewa juu ya mziki wa urusi na wanaujua tangu kitambo
We ndio kabisa huelewi sheria za kimataifa marekani ana limiting ya kutoa silaha ,kwenda Ukraine siyo kila silaha anaruhusiwa kusaidia ,anatakiwa atoe silaha za kujihami tuu.ndio maana silaha alizompa juz ameomba ahakikishiwe kwamba ni za kijilinda siyo za kushambulia ndani ya Russia ,haya mambo yako kikanuni wewe unaleta utopolo wa kwenye kahawa ,aibu sana unatoa mada dhaifu hivi,kasome vizuri maazimio ya kimataifa kuhusu mambo ya vita ,ingekua may be Ukraine ni NATO hapo USA angeingia direct, ila kwa Ukraine hawez ingia direct wala kutoa silaha nzito za masafa,wala ndege,wala meli.
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Wewe nani kakwambia Urusi kachoka??Au wewe upo Kremlin pale??
 
Wamagharibi walijua wakimweleza vikwazo mrusi watamdhofisha, wanatahamaki mfumuko wa bei upo kwao, na vibaraka wao Afrika. Naombea hii vita mrusi ashinde ili huyu muuaji wa magharibi aliyeshindwa vita Afghanistan na kuondoa majeshi yake kwa aibu. Zama za kupiganisha watu ili auze siraha nadhani zimepitwa na wakati. Dunia tunaitaji amani na tekinolojia zenye kuleta maendeleo sio tekinolojia zenye kutuangamiza.
 
Wewe nani kakwambia Urusi kachoka??Au wewe upo Kremlin pale??
Unafikiri vita unatumia makaratasi kuna gharama mkuu marekani mwenyewe anaijua ,muulize alivyotoka kimchapa sadamu uchumi wake ulivyoyumba mpaka leo sidhani kama ana mudi ya kuzichapa na MTU
 

Attachments

  • FB_IMG_16527957613243482.jpg
    FB_IMG_16527957613243482.jpg
    59.6 KB · Views: 11
We ndio kabisa huelewi sheria za kimataifa marekani ana limiting ya kutoa silaha ,kwenda Ukraine siyo kila silaha anaruhusiwa kusaidia ,anatakiwa atoe silaha za kujihami tuu.ndio maana silaha alizompa juz ameomba ahakikishiwe kwamba ni za kijilinda siyo za kushambulia ndani ya Russia ,haya mambo yako kikanuni wewe unaleta utopolo wa kwenye kahawa ,aibu sana unatoa mada dhaifu hivi,kasome vizuri maazimio ya kimataifa kuhusu mambo ya vita ,ingekua may be Ukraine ni NATO hapo USA angeingia direct, ila kwa Ukraine hawez ingia direct wala kutoa silaha nzito za masafa,wala ndege,wala meli.
We jamaa kweli hamnazo!!!
Aliomba uhakikisho baada ya Russia kusema silaha hizo zikigusa ardhi take atahesabu huyo shoga mkuu kajiingiza kwenye hiyo OP. Na unajua ahadi ya mkuu Put in aliyoahidi kwa atakaye jiingiza
 
We jamaa si tu ni muongo bali ni m'mbea yaani ukraine afanya maamuzi magumu dhidi ya urusi ni maamuzi gani hayo? Acha kula upepo wewe hautashiba! Yaani nchi imechakaa mifumo ya NATO yoote imeshindwa kumsaidia.
Mrusi katumia Strategic bomber ie TU 160 pia fighter jets like SU 35 unadhani kwanini USA hapeleki strategic bombers zake eg B 2 Lancer stratofortress na figher jets kama F 35? Unadhani kwanini ufaransa hajapeleka Rafale? Jibu ni kwamba haziwezi kufanya kitu mbele ya Urusi na wanaogopa kwamba wakizipeleka soko lake litaishia hapo.
Halafu ukumbuke hata wakubwa zako wana uelewa juu ya mziki wa urusi na wanaujua tangu kitambo
naona mrusi wa kishmundu unajitutumua kuandika pumba
 
Kuna siku hayo madude yalidungua makopokopo baada ya ku intercept bomu la urusi ndipo hilo bomu lilipogundua linataka kudunguliwa likaachia makopokopo ndiyo yakalengwa na kisha bomu lenyewe likaingia kwenye target na kuwabomoa chezea Urusi weye raha tupuuuuu
Uhuni huu wa kuachia mazagazaga ni kiboko, tena inafaa yawe yanaelekea aliko yeye kumchomoa fuse kabisa.
 
PUTIN.....GO GO. GO!!!!!!

the world must be balanced scientifically......... technologically ....and militarily
hahaaa jiuliz hiyo balance km inamtambua mwafrika ,waafrika hatujitambuu bora kile kizaz cha akina Nyerere atleast walitambua kuwa hakuna wa kutunyanyua zaid yetu sisi , Sio Urusi wala West wamaweza kukubadilishia chochote , Urusi akikamata dunia anaangalia maslai ya warusi na sio waafrika ila kupitia siasa ataigiza kuwa upand wenu in reality ana angalia Russian interest , Mf ni what China is doing to Africa its too dangerous asee
 
Hizi ni hasira za kupigwa nchi za Kiarabu.
Unapigana na mlemavu halafu unajivunia una nguvu. Hiyo ni akili kweli?
Unapigana na Ukraine ili uchukue nini? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Katika mataifa yenye akili duniani ni Marekani, China na Uingereza. Hao ndiyo wanaishi kibepari.
Loh!
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
[emoji1][emoji3][emoji2] Makombora buku kwa saa!!!!
 
Back
Top Bottom