Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye

Kama mbinu yenu mpaka Urussi achoke bhasi kubali NATO ni dhaifu. Kwahiyo mnasubiri mtu achoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway mtasubiri mpaka yesu anarudi
 
We ndio kabisa huelewi sheria za kimataifa marekani ana limiting ya kutoa silaha ,kwenda Ukraine siyo kila silaha anaruhusiwa kusaidia ,anatakiwa atoe silaha za kujihami tuu.ndio maana silaha alizompa juz ameomba ahakikishiwe kwamba ni za kijilinda siyo za kushambulia ndani ya Russia ,haya mambo yako kikanuni wewe unaleta utopolo wa kwenye kahawa ,aibu sana unatoa mada dhaifu hivi,kasome vizuri maazimio ya kimataifa kuhusu mambo ya vita ,ingekua may be Ukraine ni NATO hapo USA angeingia direct, ila kwa Ukraine hawez ingia direct wala kutoa silaha nzito za masafa,wala ndege,wala meli.
Mbona Russia yeye aliingia direct Syria ambapo US walitaka kumtoa Assad?
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
We kenge rudi kasome darasani..ni aibu kubwa kujiita pro nato na huku hujui hata lugha yao kubwa! Shwain kabisaa..
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Kama mbinu ni kumsubiri mrusi achoke watasubiri sana

Mtu anabomoa miji anaiteka na kisha kujenga hapo hapo, huyo ni wa kuchoka leo.

Bado hawakubali tu kuwa mrusi alijipanga sana na hii vita wala hajakurupuka
 
We kenge rudi kasome darasani..ni aibu kubwa kujiita pro nato na huku hujui hata lugha yao kubwa! Shwain kabisaa..
Soma hii bwashee acha kupaniki
KIGALI (Reuters) - British Prime Minister Boris Johnson said on Saturday that he feared Ukraine could face pressure to agree a peace deal with Russia that was not in its interests, due to the economic consequences of the war in Europe.

"Too many countries are saying this is a European war that is unnecessary ... and so the pressure will grow to encourage - coerce, maybe - the Ukrainians to a bad peace," he told broadcasters in the Rwandan capital Kigali, where he is attending a Commonwealth summit.

Johnson said the consequences of Russian President Vladimir Putin being able to get his way in Ukraine would be dangerous to international security and "a long-term economic disaster".
 
Kama mbinu ni kumsubiri mrusi achoke watasubiri sana

Mtu anabomoa miji anaiteka na kisha kujenga hapo hapo, huyo ni wa kuchoka leo.

Bado hawakubali tu kuwa mrusi alijipanga sana na hii vita wala hajakurupuka
Inawezekana pia ,haya mambo huwa siri
 
Hizi ni hasira za kupigwa nchi za Kiarabu.
Unapigana na mlemavu halafu unajivunia una nguvu. Hiyo ni akili kweli?
Unapigana na Ukraine ili uchukue nini? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Katika mataifa yenye akili duniani ni Marekani, China na Uingereza. Hao ndiyo wanaishi kibepari.
Wewe ndo hujui tuendako. Hujui ukrein ni mzalishaji mkubwa wa chakula na mafuta ya alzeti duniani na ulaya inamtegemea yeye kwa mahitaji yao ya chakula, hasa eneo laliloteka Mrusi. Duniani inahitaji nini zaidi ya chakula⁉️ ukiwa na madini utakula hayo madini. Loh wewe utakuwa bado unaishi kwa shemeji
 
Soma hii bwashee acha kupaniki
KIGALI (Reuters) - British Prime Minister Boris Johnson said on Saturday that he feared Ukraine could face pressure to agree a peace deal with Russia that was not in its interests, due to the economic consequences of the war in Europe.

"Too many countries are saying this is a European war that is unnecessary ... and so the pressure will grow to encourage - coerce, maybe - the Ukrainians to a bad peace," he told broadcasters in the Rwandan capital Kigali, where he is attending a Commonwealth summit.

Johnson said the consequences of Russian President Vladimir Putin being able to get his way in Ukraine would be dangerous to international security and "a long-term economic disaster".
Si umeona mambo hayo.Wape wasome.
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Kuchoka kwa urusi ndiko kunako waogopesha USA ...Maana mrusi atatumia silaha kubwa zaidi
 
Hivi kwenye ugomvi mtu akichoka anaokota jiwe au mti kwa hiyi kwa wanaosubiri mrusi achoke yeye atanyanyua hili dude ICBM
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom