Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Taarifa za habari sasaivi zinavutia sana haijalishi ni chombo gani maana ni ngumu sana kufanya propaganda
Leo hii mzigo umeanza tena
IMG_20220626_140511_896.jpg
IMG_20220626_140549_412.jpg
kushushwa hadi Kyiv.
 
Taifa teule linatumia mabomu kuua watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna vitu nachanganya..... Kwani limeteuliwa na kina nani?
Wanaouliwa ni MAGAIDI tena wanauliwa nataifa TEULE linalopenda haki MKUU
ULIMWENGU mzima unaelewa kua RUSSIA niwateule kasoro watu wachache kama wewe
Kuua kwamabomu simbaya ikiwa unaua MIGAIDI kama ya UKRO NATO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaouliwa ni MAGAIDI tena wanauliwa nataifa TEULE linalopenda haki MKUU
ULIMWENGU mzima unaelewa kua RUSSIA niwateule kasoro watu wachache kama wewe
Kuua kwamabomu simbaya ikiwa unaua MIGAIDI kama ya UKRO NATO

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa najaribu kubadili swali langu kwa taifa teule la Israel, taifa ambalo Waislam wanalaani mauaji ya Waislam na Wakkristo wa Kipalestina lakini Wakristo wa Tanzania wanasapoti mauaji hayo bila kujali kati ya wanaouwawa na Wakristo wenzao wamo na Waisrael hao hawaipiganii Jerusalem sababu ya Wakristo au Injili bali wanapigania Uyahudi na kitabu chao kitakatifu Torah.
Pole kama utakuwa ni mmoja wao 👊.
 
Hizi ni hasira za kupigwa nchi za Kiarabu.
Unapigana na mlemavu halafu unajivunia una nguvu. Hiyo ni akili kweli?
Unapigana na Ukraine ili uchukue nini? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Katika mataifa yenye akili duniani ni Marekani, China na Uingereza. Hao ndiyo wanaishi kibepari.
Kwa hiyo Ukraine ni MLEMAVU
Akili zinaanza kurudi dozi imeupata ugonjwa vzr. Baadae naye NATO ataitwa kipofu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Imemchosha !? Kakuambia lini !? Ila tz [emoji706][emoji706][emoji28][emoji28]
 
Ndiyo ni sawa na mlemavu. Mpk sasa anakomaa kwasabb ya misaada lkn bila hivyo angekuwa ameshapigwa
Ukraine ana silaha gani ya kuweza kupigana na Urusi? Kiufupi Putin km alikuwa ana lengo la kuwatafuta Marekani na washirika wake. Basi hawawezi kuwapata.
Kasome Capitalism na Neo colonialism.
Usitumie mahaba, tumia akili yako uliyozaliwa. Kwa akili yako Ukraine anaweza kumpiga Urusi?
Kwa hiyo Ukraine ni MLEMAVU
Akili zinaanza kurudi dozi imeupata ugonjwa vzr. Baadae naye NATO ataitwa kipofu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Baada ya nchi za kiislamu kupigwa vibaya sana. Waislamu wote wakarudi kuisupport Iran na sasa Russia. Pamoja na China kuwanyanyasa sana Waislam ila wanaipenda vibaya sana.
Taifa teule ni Israel
Wanaouliwa ni MAGAIDI tena wanauliwa nataifa TEULE linalopenda haki MKUU
ULIMWENGU mzima unaelewa kua RUSSIA niwateule kasoro watu wachache kama wewe
Kuua kwamabomu simbaya ikiwa unaua MIGAIDI kama ya UKRO NATO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa najaribu kubadili swali langu kwa taifa teule la Israel, taifa ambalo Waislam wanalaani mauaji ya Waislam na Wakkristo wa Kipalestina lakini Wakristo wa Tanzania wanasapoti mauaji hayo bila kujali kati ya wanaouwawa na Wakristo wenzao wamo na Waisrael hao hawaipiganii Jerusalem sababu ya Wakristo au Injili bali wanapigania Uyahudi na kitabu chao kitakatifu Torah.
Pole kama utakuwa ni mmoja wao [emoji109].
Mie simo humo MKUU
Ingawaje huwez kunielewa ila kama ukiangalia vyema waweza nielewa
RUSSIA TAIFA TEULE


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi zenye akili hazipigani vita visivyo na faida. Masikini Putin, sasa unapigana vita na Ukraine ili upate nini?
China kavumbua Komputa yenye akili km binadamu. Miaka 40 mbele China atakuwa juu kushinda Urusi
Kwani sasa hivi mrusi kampita nini cha maana mchina? Russia ni wa kawaida tu mbele ya china.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaouliwa ni MAGAIDI tena wanauliwa nataifa TEULE linalopenda haki MKUU
ULIMWENGU mzima unaelewa kua RUSSIA niwateule kasoro watu wachache kama wewe
Kuua kwamabomu simbaya ikiwa unaua MIGAIDI kama ya UKRO NATO

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kumba Kyiv magorofa yanajaa MAGAIDI? Na supamaket inajaa MAGAIDI?
2. Ulimwengu mzima unajua Urusi ni taifa teule?
3. Kuua kwa mabomu si vibaya?

Na menginevyo huna matatizo?
naona hao wote wanaosambaza hapa hizo ndoto mbaya kuhusu "taifa teule" wahamishwa jukwaa ya dini. Labda pia ya saikolojia, kama tunayo.
Ni dhahiri wanahitaji tiba.
 
Nikisoma chanzo cha thread hii - je Taifa Teule lilianza kunyesha mvua za roketi?
Mbone mvua imekauka?
Kulikuwa na upepo fulani uliosukuma mawingu? Au maji yamekwisha kwenye mawingu?
 
Nchi zenye akili hazipigani vita visivyo na faida. Masikini Putin, sasa unapigana vita na Ukraine ili upate nini?
China kavumbua Komputa yenye akili km binadamu. Miaka 40 mbele China atakuwa juu kushinda Urusi
Mkuu aya mambo ni mapana sana, tatizo ni kwamba ulaya na marekani tangu enzi na enzi wanaona wao ndo wana haki na kila kitu duniani, fatilia mifumo yao ya biashara za kinyonyaji, ukoloni, utumwa na mengine mengi waliyofanya kwa kuona binadamu wengine hawana haki na uhuru na rasilimali zao.
Icho ndo kitu wanataka kukifanya kwene mataifa tajiri ya rasilimali kama urusi na china... huku kwetu walishatuweza, urusi analinda mipaka yake kwa maana ya rasilimali zake na watu wake, ajenda zilizo nyuma ya utanuzi wa nato sio rafiki kwa ustawi wa taifa lake, kwa nini asizuie?
 
Back
Top Bottom