Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Unaitwa nyani pekeakondio maana tunaitwa nyyann
Naona lugha zinageuka sasa 😂😂😂😂Nchi zenye akili hazipigani vita visivyo na faida. Masikini Putin, sasa unapigana vita na Ukraine ili upate nini?
China kavumbua Komputa yenye akili km binadamu. Miaka 40 mbele China atakuwa juu kushinda Urusi
Mbona Russia yeye aliingia direct Syria ambapo US walitaka kumtoa Assad?We ndio kabisa huelewi sheria za kimataifa marekani ana limiting ya kutoa silaha ,kwenda Ukraine siyo kila silaha anaruhusiwa kusaidia ,anatakiwa atoe silaha za kujihami tuu.ndio maana silaha alizompa juz ameomba ahakikishiwe kwamba ni za kijilinda siyo za kushambulia ndani ya Russia ,haya mambo yako kikanuni wewe unaleta utopolo wa kwenye kahawa ,aibu sana unatoa mada dhaifu hivi,kasome vizuri maazimio ya kimataifa kuhusu mambo ya vita ,ingekua may be Ukraine ni NATO hapo USA angeingia direct, ila kwa Ukraine hawez ingia direct wala kutoa silaha nzito za masafa,wala ndege,wala meli.
Gaykraine🤣🤣🤣🤣Urusi piga Gaykraine hao
Nalog off Z
We ni choko kweli , eti Taifa teule , pimbi weweURUSI hayupo VITANI
Ila hata kama hii OP itachukua miaka 100 basi TAIFA TEULE LA RUSSIA lipo tayari kupigana
Nahata kama itadumu miaka 1000 TAIFA TEULE LA RUSSIA lipo tayari kuwanyoosha hao UKRO NATO
RUSSIA TAIFA TEULE
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kamaliza kabisa, kwamba akiwa full mziki NATO yote haimuwezi. Sasa na kusubiri watasubiri sana.. Mrusi anabonda jamaniii alooohKama mbinu yenu mpaka Urussi achoke bhasi kubali NATO ni dhaifu. Kwahiyo mnasubiri mtu achoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787], anyway mtasubiri mpaka yesu anarudi
We kenge rudi kasome darasani..ni aibu kubwa kujiita pro nato na huku hujui hata lugha yao kubwa! Shwain kabisaa..Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Nchi zenye akili hazipigani vita visivyo na faida. Masikini Putin, sasa unapigana vita na Ukraine ili upate nini?
China kavumbua Komputa yenye akili km binadamu. Miaka 40 mbele China atakuwa juu kushinda Urusi
Kama mbinu ni kumsubiri mrusi achoke watasubiri sanaHujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
Soma hii bwashee acha kupanikiWe kenge rudi kasome darasani..ni aibu kubwa kujiita pro nato na huku hujui hata lugha yao kubwa! Shwain kabisaa..
Inawezekana pia ,haya mambo huwa siriKama mbinu ni kumsubiri mrusi achoke watasubiri sana
Mtu anabomoa miji anaiteka na kisha kujenga hapo hapo, huyo ni wa kuchoka leo.
Bado hawakubali tu kuwa mrusi alijipanga sana na hii vita wala hajakurupuka
Mkuu na wewe umetaja,We utakuwa unafIrwa wewe , si bure .Maana unataja Sana ushoga na mashoga inaonekana unatangaza biashara ,
Wewe ndo hujui tuendako. Hujui ukrein ni mzalishaji mkubwa wa chakula na mafuta ya alzeti duniani na ulaya inamtegemea yeye kwa mahitaji yao ya chakula, hasa eneo laliloteka Mrusi. Duniani inahitaji nini zaidi ya chakula⁉️ ukiwa na madini utakula hayo madini. Loh wewe utakuwa bado unaishi kwa shemejiHizi ni hasira za kupigwa nchi za Kiarabu.
Unapigana na mlemavu halafu unajivunia una nguvu. Hiyo ni akili kweli?
Unapigana na Ukraine ili uchukue nini? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Katika mataifa yenye akili duniani ni Marekani, China na Uingereza. Hao ndiyo wanaishi kibepari.
Si umeona mambo hayo.Wape wasome.Soma hii bwashee acha kupaniki
KIGALI (Reuters) - British Prime Minister Boris Johnson said on Saturday that he feared Ukraine could face pressure to agree a peace deal with Russia that was not in its interests, due to the economic consequences of the war in Europe.
"Too many countries are saying this is a European war that is unnecessary ... and so the pressure will grow to encourage - coerce, maybe - the Ukrainians to a bad peace," he told broadcasters in the Rwandan capital Kigali, where he is attending a Commonwealth summit.
Johnson said the consequences of Russian President Vladimir Putin being able to get his way in Ukraine would be dangerous to international security and "a long-term economic disaster".
Kuchoka kwa urusi ndiko kunako waogopesha USA ...Maana mrusi atatumia silaha kubwa zaidiHujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye