Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Nchi zenye akili hazipigani vita visivyo na faida. Masikini Putin, sasa unapigana vita na Ukraine ili upate nini?
China kavumbua Komputa yenye akili km binadamu. Miaka 40 mbele China atakuwa juu kushinda Urusi
Sasa na ww huju kama China na Urusi ni baba na mama ? Unapomuekea vikwazo Urusi alaf ukamiacha China ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, nasema hayo kwa sababu juzi wakuu wenu huko Marekani na umoja wa Ulaya wamesema wana wasiwasi kuwa China imeingeza uhusiano na Urusi ktk uchumi ndio maana juzi wamevumbua daraja lanmoja kwa moja kutoka Moscow mpaka Beijing [emoji16]
 
Tumia akili katika kufikiri usitumie mihemuko, nchi za kiarabu zimeingiaje ktk vita ya Ukraine? Acha michuki haitokusaidia, au ni kwasababu ya kichapo mnachochezea ndio kinawatoa akili
 
Unajua kwanini USA kaomba kuhakikishiwa hivyo ? Sababu ni moja tu USA ana ogopa vita na mrusi
 
Ishamchosha? Mkuu unahisi kwamba hii vita imetokea tu out from nowhere, sio kwamba Ni fukuto la muda mrefu na kwamba sasa mda muafaka umefika!?
 
We ni choko kweli , eti Taifa teule , pimbi wewe
Nilijua tu kama utajaa kwenye 18 kijana kaa kwakutulia
Sitakutukana sababu sina kawaida hio ila ntakugonga spana zamaana mpaka unyooke
Nahivyo huu sio ule uzi mama basi ntkugonga spana zamaana
Mpaka uzidi tokwa POVU
RUSSIA TAIF TEULE kama hutaki leta UTHIBITISHO watu tunaongea kwa fact kijana kama unayo ilete
RUSSIA TAIFA TEULE kama hutaki KUFA Mapeeema
 
Hizi ndizo habari napenda sikia wakati kama huu wa kutafuta njozi njemaa,now nafsi yangu kwatuuu
 
soma uelewe usikurupuke
 
Vita ipi Mkuu??,uliwahi kuona vita watu wanaambiwa Leo tutashambulia eneo A au B??
 
Vita ipi Mkuu??,uliwahi kuona vita watu wanaambiwa Leo tutashambulia eneo A au B??
Kuna sheria za kivita mkuu ,ndio maana kuna uhalifu wa kivita ,uhalifu ni kucheza faulu ,mfano kupiga makazi ya watu ,kama US walivyoshtakiwa kule Japan mpaka leo wanawalipa japani
 
Chanzo chako cha habar kuwa mrusi kachoka na yeye????
 
Kuna sheria za kivita mkuu ,ndio maana kuna uhalifu wa kivita ,uhalifu ni kucheza faulu ,mfano kupiga makazi ya watu ,kama US walivyoshtakiwa kule Japan mpaka leo wanawalipa japani
Basi nahao watalipwa tuuuu
 
Taifa teule linatumia mabomu kuua watu 🤣🤣🤣🤣
Kuna vitu nachanganya..... Kwani limeteuliwa na kina nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…