Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Silaha ambayo Urusi hawajatumia mpaka sasa kwenye huu uvamizi wao ni nyuklia tu.
Warusi wa buza wanaita OP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Warusi wa buza wanaita OP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urusi muda mwingine wanakera sana, hii vita watashindwa kwa ujinga wao wa kutotumia silaha nzito kumaliza hii vita.
Au Urusi hana hizo silaha nzito kama tunavyoaminishwa?