Urusi bila Nuclear ni wepesi kama walivyo CCM bila nguvu za polisi,JWTZ na bila figisu za deepState . Russia imebaki with only one alternative;using of nukes.Kwingine kote kadhibitiwa🤔HIMARS NI BALAA NA NUSU KUITOA S300 SYRIA KUILETA UKRAINE MAANA YAKE NINI ?....MAANA YAKE HIZO S300 ZILIZOKUWA UKRAINE ZILISHALIPULIWA SIKU NYINGI NA HIMARS[emoji23][emoji23]....HII VITA MRUSI KAJITIA AIBU SANA....MRUSI KAINGIA VITANI NA UKRAINE ANAJIHARISHIA NAMNA HIYO VIPI ANGEINGIA VITANI NA NCHI KAMA USA[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wapumbavu sana, yani Kwa akili za kawaida tu wanashindwa kuelewa kama siyo kichaa cha Putin Leo ugumu wa maisha usingekuwa hivi, alafu jitu na akili zake linamshabikia Putin, sijawahi kuona watu wa hovyo kama hawa.Be blessed,
Watu hawataki kuona namna Russia ilivyoleta ugumu ugumu wa Maisha?
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Yes kupewa misaada ni jambo la kawaida ajabu ni kua uyo thupapawa wa mchongo alisema yeyote atakae shirikiana na ukraine ata mfutilia mbali ila ndo kila siku wanaume wanapeleka vifurushi hapo ukraine na kingine kipo njiani iko ni baba lao andunje put in lazima auchezee mshededeeee [emoji91][emoji91][emoji952][emoji952]
Sabotage zinaendelea [emoji2][emoji2]Kumekuchaaa kwa bwana Putin
A HUGE FIRE has ripped by a barn in Russia's Far East sending blubbery plumes of smoke skywards.
Russia: Footage shows large alarm in Komsomolsk on Amur
Russia in FLAMES: Devastating blast rips through warehouse sending smoke skywardsView attachment 2337158
Hiki kifaa kilikua kinalinda Sysria dhidi ya mashambulizi ya angani, ila sasa Mrusi kwa mapigo anayopokea Ukraine ameanza harakati za kunyang'anya wadau aliokua amewapa silaha za aina tofauti, anazirejesha ili walau zimsaidie kupunguza balaa wanazopokea....
Satellite imagery confirmed Russia redeployed an S-300 surface-to-air missile (SAM) system from Syria, and observers believe the battery is already in transit through the Black Sea to support Russia’s war in Ukraine.
This battery, in particular, arrived in 2018 and was something of a gift to Syrian strongman Bashar Al Assad. It was declared a much-needed upgrade of Syria's ancient, and in some cases dangerous, air defense system. It was not located at Russia's airbase south of Latakia or its prized naval port in Tartus, multiple advanced air defense systems remain at these locations protecting Russian interests. Instead, it sat inland and was supposed to protect critical Syrian targets. While it was claimed to be a Syrian system, in the years that have passed, it became clear that Russia retained control of it. Now Moscow appears to have taken its 'gift' back and shipped it off to the Black Sea.
Bila vikwazo vya west kwa urusi maisha yangekuwa kawaidaKuna watu wapumbavu sana, yani Kwa akili za kawaida tu wanashindwa kuelewa kama siyo kichaa cha Putin Leo ugumu wa maisha usingekuwa hivi, alafu jitu na akili zake linamshabikia Putin, sijawahi kuona watu wa hovyo kama hawa.
Duk kweli Putin kabanwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kadhibitiwa na bado anashikilia ardhi ya Ukraine!!!! Vichwa mnatumia kufugia nywele tu!!!???Urusi bila Nuclear ni wepesi kama walivyo CCM bila nguvu za polisi,JWTZ na bila figisu za deepState . Russia imebaki with only one alternative;using of nukes.Kwingine kote kadhibitiwa[emoji848]
Utakuwa wapi? Tuje na kina Azovu
😂😂😂🤣 Nyie ndiyo mnafanya watu wapigane wakati hawakuwa na nia ya kupigana🤣🤣Putin: oyaaa ile mizigo niliyokupa inabidi unirudishie
Assad: why bro? Mbona nazitumia kulinda anga langu...si ulinipa kama zawadi?
Putin: I know but nazitaka
Assad: kwan tatizo nini kaka
Putin: we ms*nge nini? Nmekwambia nazitaka na staki maswali
Super power alipanga kuingia Kyiv baada ya siku 2 na viongozi waandamizi walishapanga kugawana majengo/assets.Leo ni mwezi wa sita hatujui ule msafara wa vifaru wa kilomita zaidi ya 60 uliokuwa ukienda Kyiv ulitokomea wapi?.Raisi Zelensky bado ni raisi halali wa Ukraine 🤔Kadhibitiwa na bado anashikilia ardhi ya Ukraine!!!! Vichwa mnatumia kufugia nywele tu!!!???
Huna akili.Bila vikwazo vya west kwa urusi maisha yangekuwa kawaida
Super power alipanga kuingia Kyiv baada ya siku 2 na viongozi waandamizi walishapanga kugawana majengo/assets.Leo ni mwezi wa sita hatujui ule msafara wa vifaru wa kilomita zaidi ya 60 uliokuwa ukienda Kyiv ulitokomea wapi?.Raisi Zelensky bado ni raisi halali wa Ukraine [emoji848]
Hizi si ndio kwanza wanazitengeneza? Ni wapi alipofunga hizi S 500?Russia Puts New S-500 Air Defense Missile System into Mass Production
Russia has put its next-generation version of the mobile S-500 air defense system into mass production. The announcement came from Yan Novikov, whocaspiannews.com
Nadhani Habari yako si kweli kwasababu Russia sasa kashusha mzigo S 500 ambayo ni new technology hawezi kujiangaisha na S 300 ambayo ni technology ya zamani.
View attachment 2337268
Kichapo Syria kinaendelea 🤔
In Syria, New Planet Labs satellite images (August 27) provided by AuroraIntel show heavy damage to numerous structures at the Scientific Studies and Research Center near Masyaf Syria, following an airstrike attributed to Israel on Thursday.
Israel isn't taking credit 🤣
This has been widely reported on various news sources alreadyView attachment 2337339
Na December itakua Ni majira ya Joto au Baridi?Wenye dunia Yao wamepanga vita hii ifike Hadi December ili kumchosha huyu dikteta uchwara.
wanajua mpaka kufika December mifupa yote itaonekana
Wewe hukuuona?Waulize BBC kuwa msafara ulishia wapi maana wao ndo walitoa taarifa ya kuwepo msafara
Mkuu achana na hawa "ProPutin wa Mchongo wa Buza" Wao ndio walikuwa wakishadadia kwa hivyo vifaru Ukraine hatoboi.Leo wamegeuka tena baada ya kuona mambo ni magumu 🤣Wewe hukuuona?
Kupigana wapigane wengine na kwengine kabisa nyie mlalamike njaaTunachokumbuka baada ya janga la Corona kabla hatujajiweka sawa Urusi imeamuwa kutuuwa kabisa na kuleta maisha magumu na mfumuko wa bei.
Amelaaniwa MTU yeyote aneyeisapoti Urusi iliyotuletea maisha magumu wakati hata madhara ya Corona hayajaisha.
Akili za baadhi ya Watanzania zipo matakoni, mnamlaumu Samia halafu mnamshabikia Putin ambaye ndio source ya matatizo yaliyopo Sasa, pumbavu kabisa.