Urusi yainyang'anya Syria ile zawadi ya S-300 SAM, waipeleka Ukraine maana hali noma

Urusi yainyang'anya Syria ile zawadi ya S-300 SAM, waipeleka Ukraine maana hali noma

HIMARS NI BALAA NA NUSU KUITOA S300 SYRIA KUILETA UKRAINE MAANA YAKE NINI ?....MAANA YAKE HIZO S300 ZILIZOKUWA UKRAINE ZILISHALIPULIWA SIKU NYINGI NA HIMARS[emoji23][emoji23]....HII VITA MRUSI KAJITIA AIBU SANA....MRUSI KAINGIA VITANI NA UKRAINE ANAJIHARISHIA NAMNA HIYO VIPI ANGEINGIA VITANI NA NCHI KAMA USA[emoji23][emoji23][emoji23]
Urusi bila Nuclear ni wepesi kama walivyo CCM bila nguvu za polisi,JWTZ na bila figisu za deepState . Russia imebaki with only one alternative;using of nukes.Kwingine kote kadhibitiwa🤔
 
Yes kupewa misaada ni jambo la kawaida ajabu ni kua uyo thupapawa wa mchongo alisema yeyote atakae shirikiana na ukraine ata mfutilia mbali ila ndo kila siku wanaume wanapeleka vifurushi hapo ukraine na kingine kipo njiani iko ni baba lao andunje put in lazima auchezee mshededeeee [emoji91][emoji91][emoji952][emoji952]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hiki kifaa kilikua kinalinda Sysria dhidi ya mashambulizi ya angani, ila sasa Mrusi kwa mapigo anayopokea Ukraine ameanza harakati za kunyang'anya wadau aliokua amewapa silaha za aina tofauti, anazirejesha ili walau zimsaidie kupunguza balaa wanazopokea....


AA11aRiM.img

Satellite imagery confirmed Russia redeployed an S-300 surface-to-air missile (SAM) system from Syria, and observers believe the battery is already in transit through the Black Sea to support Russia’s war in Ukraine.
This battery, in particular, arrived in 2018 and was something of a gift to Syrian strongman Bashar Al Assad. It was declared a much-needed upgrade of Syria's ancient, and in some cases dangerous, air defense system. It was not located at Russia's airbase south of Latakia or its prized naval port in Tartus, multiple advanced air defense systems remain at these locations protecting Russian interests. Instead, it sat inland and was supposed to protect critical Syrian targets. While it was claimed to be a Syrian system, in the years that have passed, it became clear that Russia retained control of it. Now Moscow appears to have taken its 'gift' back and shipped it off to the Black Sea.

Nadhani Habari yako si kweli kwasababu Russia sasa kashusha mzigo S 500 ambayo ni new technology hawezi kujiangaisha na S 300 ambayo ni technology ya zamani.

1661678549777.jpeg
 
Kuna watu wapumbavu sana, yani Kwa akili za kawaida tu wanashindwa kuelewa kama siyo kichaa cha Putin Leo ugumu wa maisha usingekuwa hivi, alafu jitu na akili zake linamshabikia Putin, sijawahi kuona watu wa hovyo kama hawa.
Bila vikwazo vya west kwa urusi maisha yangekuwa kawaida
 
Urusi bila Nuclear ni wepesi kama walivyo CCM bila nguvu za polisi,JWTZ na bila figisu za deepState . Russia imebaki with only one alternative;using of nukes.Kwingine kote kadhibitiwa[emoji848]
Kadhibitiwa na bado anashikilia ardhi ya Ukraine!!!! Vichwa mnatumia kufugia nywele tu!!!???
 
Putin: oyaaa ile mizigo niliyokupa inabidi unirudishie
Assad: why bro? Mbona nazitumia kulinda anga langu...si ulinipa kama zawadi?
Putin: I know but nazitaka
Assad: kwan tatizo nini kaka
Putin: we ms*nge nini? Nmekwambia nazitaka na staki maswali
😂😂😂🤣 Nyie ndiyo mnafanya watu wapigane wakati hawakuwa na nia ya kupigana🤣🤣
 
Kichapo Syria kinaendelea 🤔
In Syria, New Planet Labs satellite images (August 27) provided by AuroraIntel show heavy damage to numerous structures at the Scientific Studies and Research Center near Masyaf Syria, following an airstrike attributed to Israel on Thursday.

Israel isn't taking credit 🤣

This has been widely reported on various news sources already
FB_IMG_1661683187984.jpg
 
Kadhibitiwa na bado anashikilia ardhi ya Ukraine!!!! Vichwa mnatumia kufugia nywele tu!!!???
Super power alipanga kuingia Kyiv baada ya siku 2 na viongozi waandamizi walishapanga kugawana majengo/assets.Leo ni mwezi wa sita hatujui ule msafara wa vifaru wa kilomita zaidi ya 60 uliokuwa ukienda Kyiv ulitokomea wapi?.Raisi Zelensky bado ni raisi halali wa Ukraine 🤔
 
Waulize BBC kuwa msafara ulishia wapi maana wao ndo walitoa taarifa ya kuwepo msafara
Super power alipanga kuingia Kyiv baada ya siku 2 na viongozi waandamizi walishapanga kugawana majengo/assets.Leo ni mwezi wa sita hatujui ule msafara wa vifaru wa kilomita zaidi ya 60 uliokuwa ukienda Kyiv ulitokomea wapi?.Raisi Zelensky bado ni raisi halali wa Ukraine [emoji848]
 

Nadhani Habari yako si kweli kwasababu Russia sasa kashusha mzigo S 500 ambayo ni new technology hawezi kujiangaisha na S 300 ambayo ni technology ya zamani.

View attachment 2337268
Hizi si ndio kwanza wanazitengeneza? Ni wapi alipofunga hizi S 500?
 
Kichapo Syria kinaendelea 🤔
In Syria, New Planet Labs satellite images (August 27) provided by AuroraIntel show heavy damage to numerous structures at the Scientific Studies and Research Center near Masyaf Syria, following an airstrike attributed to Israel on Thursday.

Israel isn't taking credit 🤣

This has been widely reported on various news sources alreadyView attachment 2337339

Israel is taking chances after rusia redeployed her machuma chuma..
 
Tunachokumbuka baada ya janga la Corona kabla hatujajiweka sawa Urusi imeamuwa kutuuwa kabisa na kuleta maisha magumu na mfumuko wa bei.

Amelaaniwa MTU yeyote aneyeisapoti Urusi iliyotuletea maisha magumu wakati hata madhara ya Corona hayajaisha.

Akili za baadhi ya Watanzania zipo matakoni, mnamlaumu Samia halafu mnamshabikia Putin ambaye ndio source ya matatizo yaliyopo Sasa, pumbavu kabisa.
Kupigana wapigane wengine na kwengine kabisa nyie mlalamike njaa
Hii SMO imekuja mahsusi ili mjitambue mkishindwa kujitambua hapa musahau kama mutakuja kujitambua tena
Yaani hao wanaopigana hawaliilii njaa kama ninyi
Wenzenu wanapigana kwamaslahi yao nyie kelele na laana zenu hazitasaidia kitu wala hazitaleta matokeo yeyote
Mnalaumu wanaowaongoza kwakutokujua ama kutojitambua
Laana zenu hazitaifikia RUSSIA wala tunaoisapoti hizo ama hayo maneno yamfa maji tuuuu
Mwisho:-tunaunga mkono SMO ya RUSSIA kwanguvu zote na Mungu asimame nao wazidi kufanikisha malengo yao haraka iwezekano eeeh Muumba wasaidie RUSSIA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom