Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Au wewe ndo Assad nini? Mbona kama nimekugusaaa....Putin kamatia hapohapoJobless
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wewe ndo Assad nini? Mbona kama nimekugusaaa....Putin kamatia hapohapoJobless
Nchi ina vijana wa ovyo wengi sanaAu wewe ndo Assad nini? Mbona kama nimekugusaaa....Putin kamatia hapohapo
Pole assad... Hakuna namna acha zibebwe tu maana kaka ako anapata challenge kule Ukraine kwaiyo anataka kuongeza speed ya operation we kaa kwa kutuliaaNchi ina vijana wa ovyo wengi sana
Ngoja waje warusi wa namtumboHIMARS NI BALAA NA NUSU KUITOA S300 SYRIA KUILETA UKRAINE MAANA YAKE NINI ?....MAANA YAKE HIZO S300 ZILIZOKUWA UKRAINE ZILISHALIPULIWA SIKU NYINGI NA HIMARS[emoji23][emoji23]....HII VITA MRUSI KAJITIA AIBU SANA....MRUSI KAINGIA VITANI NA UKRAINE ANAJIHARISHIA NAMNA HIYO VIPI ANGEINGIA VITANI NA NCHI KAMA USA[emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa wapi? Tuje na kina AzovuUKRAINE iyo mikoa nane ikiendelea kuwa kwenye nchi yake pasipo kuomba poo kwa WARUSI njooni mnikate kichwa.
*CRIMEA- [emoji818]
*KHERSON- [emoji818]
*LUHANSK-[emoji818]
*ZAPORIZHIA (Bado 5%)
*DONERSK (Bado 25%)
*KHARKIV (Bado 50%)
*MYKOLAYIV (Bado 60%)
*ODESSA (100%)
View attachment 2337061
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji2][emoji2]Putin: oyaaa ile mizigo niliyokupa inabidi unirudishie
Assad: why bro? Mbona nazitumia kulinda anga langu...si ulinipa kama zawadi?
Putin: I know but nazitaka
Assad: kwan tatizo nini kaka
Putin: we ms*nge nini? Nmekwambia nazitaka na staki maswali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Putin: oyaaa ile mizigo niliyokupa inabidi unirudishie
Assad: why bro? Mbona nazitumia kulinda anga langu...si ulinipa kama zawadi?
Putin: I know but nazitaka
Assad: kwan tatizo nini kaka
Putin: we ms*nge nini? Nmekwambia nazitaka na staki maswali
Ila Urusi si alipigwa na Afghanistan lkn,Kila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
Ila si ni wananchi wake ndo wanapiganaNi akili hauna au? Ukraine Hana uwezo wake kupigana na Russia ..inamaana huoni misaada ya wazi wazi anayopewa
Kama inadaka mchele mbona imeshindwa kudaka vitu vikubwa vya HIMARSUsichokijua ni kuwa kwenye base za za russia nchini syria kuna S400 na kama unavyoijua iyo air defence inadaka adi mchele sasa iyo s300 tumeitoa apo syria kwakuwa tayari mission completed hakuna tena tishio la kutolewa assad madarakani
Be blessed,Tunachokumbuka baada ya janga la Corona kabla hatujajiweka sawa Urusi imeamuwa kutuuwa kabisa na kuleta maisha magumu na mfumuko wa bei.
Amelaaniwa MTU yeyote aneyeisapoti Urusi iliyotuletea maisha magumu wakati hata madhara ya Corona hayajaisha.
Akili za baadhi ya Watanzania zipo matakoni, mnamlaumu Samia halafu mnamshabikia Putin ambaye ndio source ya matatizo yaliyopo Sasa, pumbavu kabisa.
Yes kupewa misaada ni jambo la kawaida ajabu ni kua uyo thupapawa wa mchongo alisema yeyote atakae shirikiana na ukraine ata mfutilia mbali ila ndo kila siku wanaume wanapeleka vifurushi hapo ukraine na kingine kipo njiani iko ni baba lao andunje put in lazima auchezee mshededeeee [emoji91][emoji91][emoji952][emoji952]Ni akili hauna au? Ukraine Hana uwezo wake kupigana na Russia ..inamaana huoni misaada ya wazi wazi anayopewa
Wewe unaekumbuka inatosha watu wanayasasahivi kwanza.Kila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
kama ni misaad western inatoa mingi sana kuliko urusi, kwenye budget support kila mwaka western countries zinasaidia Africa na nchi zingine za dunia, budget ya afya ya Tz kwa zaidi ya 60% inafadhiliwa na wahisani halaf urusi wakati wa vita ya idd amin na Tz si ilikuwa ikimsupport idd amin?Kila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
Putin: oyaaa ile mizigo niliyokupa inabidi unirudishie
Assad: why bro? Mbona nazitumia kulinda anga langu...si ulinipa kama zawadi?
Putin: I know but nazitaka
Assad: kwan tatizo nini kaka
Putin: we ms*nge nini? Nmekwambia nazitaka na staki maswali