startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Soma kwanza ili kuficha ujinga wako Russia aliponea chupu chupu kubakwa mazima na Hitler ila ndo ivo wavivu Kama nyie wa kutafuta data ndiyo mmejaa jf siku hiziKwani umewahi sikia kuna taifa li.ewahi tupa hata unyoya Urusi? Ukiacha matendo machache ya kigaidi yanayoendelea saivi.
Wewe unahisi Urusi anampiga mkwara Marekani,Marekani mwenyewe anajitetea.
Ila bongo.