Urusi yapeleka Manowari zake za kivita Cuba. Wamarekani wachanganyikiwa

Kwani umewahi sikia kuna taifa li.ewahi tupa hata unyoya Urusi? Ukiacha matendo machache ya kigaidi yanayoendelea saivi.
Wewe unahisi Urusi anampiga mkwara Marekani,Marekani mwenyewe anajitetea.
Ila bongo.
Soma kwanza ili kuficha ujinga wako Russia aliponea chupu chupu kubakwa mazima na Hitler ila ndo ivo wavivu Kama nyie wa kutafuta data ndiyo mmejaa jf siku hizi
 
Kama yamepelekwa, sioni yakitumiwa. Watayahifadhi tu.
Russia alibugi kuivamia Ukraine.
Tatizo mnakurupuka sana kukoment kabla ya kufikiri kwa kina nini kinachoendele. Hakuna kitu USA hakitaki kama kuwekewa silaha za naangamizi karbu na mipaka yake.

Kitu anachokifanya marekani cha kutaka Urusi azingiwe na NATO pande zote na Putin anapita humo humo kwa kupeleja silaha za maangamizi karibu na mipaka ya marekani.

Hapo anachofanya Putin ni kwamba wewe mwaga mboga na mimi namwaga ugali

Putin ni mselamavi. USA kazi wanayo
 
Putin mnyama kweliiiiii!
 
wewe mwenye umeanza kusifia Marekani. akili zimezama huko. hayo mengine ya afrika umeyaleta kufurahisha baraza tu. Lakini mapenzi yako yapo huko marekani , hii inathibisha katika sentence ya mwanzo tu
 
Hii vita ni Rohoni, sababu kubwa ni mambo ya LGBTQ, Mungu hawezi vumilia ujinga wao. Wakicheza watapigwa kweli. Africa ndio risasi ya mwisho
 
Biden aamke, la sivyo ataiangamiza nchi yake. Suala la ushoga ni chukizo kwa Mungu.
 
Soviet na Afghanistan vimepigwa Russia!?.. Chechen navyo vimepigwa Russia?!..unajua tofauti ya Soviet na Russia!?
 
Narrow minded!
Dunia ndio inabadilika hivyo acha kushupaza shingo.
Mataifa yamechoka kuonewa.
 
Ulishawahi kuona kuna Taifa kamili lilishawahi kurusha hata jiwe Tel aviv likabaki salama,?? Iran ameweza mwaka huu mkuu usiishi kwa kukariri dunia inaenda kasi sana....
 
Oya, unaishi Cuba mzee?
 
Japan alipiga bandari ya marekani ndio kisa cha kutumia nyuklia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…