startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Soma kwanza ili kuficha ujinga wako Russia aliponea chupu chupu kubakwa mazima na Hitler ila ndo ivo wavivu Kama nyie wa kutafuta data ndiyo mmejaa jf siku hiziKwani umewahi sikia kuna taifa li.ewahi tupa hata unyoya Urusi? Ukiacha matendo machache ya kigaidi yanayoendelea saivi.
Wewe unahisi Urusi anampiga mkwara Marekani,Marekani mwenyewe anajitetea.
Ila bongo.
Tatizo mnakurupuka sana kukoment kabla ya kufikiri kwa kina nini kinachoendele. Hakuna kitu USA hakitaki kama kuwekewa silaha za naangamizi karbu na mipaka yake.Kama yamepelekwa, sioni yakitumiwa. Watayahifadhi tu.
Russia alibugi kuivamia Ukraine.
marekani na yeye atasomwa historiaUtakua umesahau au ni mtoto mdogo. Kiranja wa dunia alikua mrumi , akaja mwingereza akaitawala dunia lakini leo hayupo. Times count my friend
Anaefurahia haya hajitambui. Wars means death cause you either kill or get killed.Kumekucha
Bricks imeanzishwa ili kuidhibiti silaha kubwa liyokuwa anatamba nayo marekani ya vikwazo. Dogo acha kukariri mambo yanabadilika kwa kasi sanaKama yamepelekwa, sioni yakitumiwa. Watayahifadhi tu.
Russia alibugi kuivamia Ukraine
Japan
Sioni cha ziada zaidi ya kuirjesha Cuba kwenye vikwazo vilivyoondolewa na Obama.
Putin mnyama kweliiiiii!Serikali ya Cuba imethibitisha uwepo wa nyambizi tatu za nyuklia Nchi humo hii inafuatia kauli ya Rais dhaifu wa Marekani Joe Biden kutaka Ukraine ishambulie Russia kwa silaha za Marekani. Ikumbukwe CUBA Hadi US mailand ni kilometers 400 tu.. ⚠️🚨#BREAKING : Cuba confirms the arrival of three Russian ships and a nuclear submarine in a week.
wewe mwenye umeanza kusifia Marekani. akili zimezama huko. hayo mengine ya afrika umeyaleta kufurahisha baraza tu. Lakini mapenzi yako yapo huko marekani , hii inathibisha katika sentence ya mwanzo tuUmewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.
Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Hoja ya msingi;
Tafuteni amani ya wenzetu weusi wa Sudan, Somalia, Dr Congo, Central Africa na kwingine kwenye shida ndani ya Africa maana hao ndio ndugu zetu, hao "red nose" mnaohangaika nao wala hawawatambui kama nyie ni binadamu kamili.
Hii vita ni Rohoni, sababu kubwa ni mambo ya LGBTQ, Mungu hawezi vumilia ujinga wao. Wakicheza watapigwa kweli. Africa ndio risasi ya mwishoKatika hali inayoelekea kuwachanganya wamarekani Urusi imetuma manowari zake zaidi ya 8 katika pwani ya marekani nchini Cuba sababu ikitajwq ni maandalizi ya mazoezi ya pamoja.
Hii ni mara ya kwanza kwa urusi kupeleka meli za kivita kwa kiwango hiki katika nchi ya Cuba. Wakati huo huo rais Putin anasema Urusi itaanza kutoa silaha za maangamizi kwa nchi zote ambazo ni maadui wa marekani hasa nchi za America ya kusini, North Africa , Iran na Far east.
Kwa mtazamo wa kiuchambuzi haya maandalizi ya Vita ya dunia ambayo kama marekani atalazimisha itokee basi safari hii tutashuhudia mabomu yakidondoka katika ardhi ya marekani.
Biden aamke, la sivyo ataiangamiza nchi yake. Suala la ushoga ni chukizo kwa Mungu.Haya mambo yanakwenda kimkakati Buda unajua Biden anajiandaa na uchaguzi na pia huu mkakati wa kumkwamisha Biden na sera zake akose kura..kumbuka raia wengi wa US wanaogopa sana vita sasa wamefikishiwa ujumbe Cuba Crisis kwa mara nyingine toka mwaka 1962 kutokana na sera mbovu za Rais wao mwenye mrengo wa kishoga
Soviet na Afghanistan vimepigwa Russia!?.. Chechen navyo vimepigwa Russia?!..unajua tofauti ya Soviet na Russia!?Kuna vita nyingi zimepigwa hapo kwake.
Ngoja nikutajie chache.
Vita Russia na Japani,
Vita vya Uhuru vya Kilatvia, Vita vya Uhuru vya Estonia, Vita vya Kilithuania-Soviet, Vita vya Kijojiajia-Ossetian, Vita vya Russia na Poland, Vita vya Soviet-Afghanistan, Vita vya Kwanza vya Chechen, Vita na Ujerumani mwaka 1941 n.k
Vita zote hizo ziliachia mabomu, risasi n.k ndani ya ardhi ya Urusi.
Narrow minded!Sasa Cuba naye ana nini kwa sasa?.
Wananchi wake wanaishi kwa dhiki mno kisa kukumbatia maslahi ya viongozi wao badala ya Nchi.
Mifumo yote ya kibenki na fedha kwa ujumla imekufa na watu fedha zao zimebebwa, hatukusikia Russia wala China wakipeleka misaada ya hali na mali ikiwemo teknolojia ya kisasa.
Badala yake tunaona akitengenezewa mazingira ya kutaka Taifa lake ligeuke shimo la tewa kwa kutumika kama sehemu ya mauaji ya halaiki.
Cuba kwa sasa haina maisha, ni nchi ya ulimwengu wa tatu, vikwazo alivyowekewa na USA vimewafanya wananchi kuishi kama "mashetani" na ningewaona watu wa maana kama wangetafuta kutatua shida zao kuliko kutaka shali kwa Taifa ambalo hata jimbo lake moja tu linatosha kuwafuta.
Hayo yote uliyoyataja ndio anayofanya Marekanirussia shida yake sio kusaidia nchi kiuchumi ni kuona mnapigana kwa kutumia mikono yake
Huyo jamaa analeta mambo ya mwaka 47Narrow minded!
Dunia ndio inabadilika hivyo acha kushupaza shingo.
Mataifa yamechoka kuonewa.
Ulishawahi kuona kuna Taifa kamili lilishawahi kurusha hata jiwe Tel aviv likabaki salama,?? Iran ameweza mwaka huu mkuu usiishi kwa kukariri dunia inaenda kasi sana....Umewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.
Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Hoja ya msingi;
Tafuteni amani ya wenzetu weusi wa Sudan, Somalia, Dr Congo, Central Africa na kwingine kwenye shida ndani ya Africa maana hao ndio ndugu zetu, hao "red nose" mnaohangaika nao wala hawawatambui kama nyie ni binadamu kamili.
Oya, unaishi Cuba mzee?Sasa Cuba naye ana nini kwa sasa?.
Wananchi wake wanaishi kwa dhiki mno kisa kukumbatia maslahi ya viongozi wao badala ya Nchi.
Mifumo yote ya kibenki na fedha kwa ujumla imekufa na watu fedha zao zimebebwa, hatukusikia Russia wala China wakipeleka misaada ya hali na mali ikiwemo teknolojia ya kisasa.
Badala yake tunaona akitengenezewa mazingira ya kutaka Taifa lake ligeuke shimo la tewa kwa kutumika kama sehemu ya mauaji ya halaiki.
Cuba kwa sasa haina maisha, ni nchi ya ulimwengu wa tatu, vikwazo alivyowekewa na USA vimewafanya wananchi kuishi kama "mashetani" na ningewaona watu wa maana kama wangetafuta kutatua shida zao kuliko kutaka shali kwa Taifa ambalo hata jimbo lake moja tu linatosha kuwafuta.
Marekani angekuwa anayafanya leo usingeona TAIWAN IMEPIGA HATUA,SOUTH KOREA,VETNAM,JAPAN,CHINA NA N.K NCHI AMBAZO YUPO NAYE ILA KWA URUSI TWENDE KWA WAKINA MUJAIDINI HUKO UNAKUMBUKA ILIHayo yote uliyoyataja ndio anayofanya Marekani
Japan alipiga bandari ya marekani ndio kisa cha kutumia nyukliaUmewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.
Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Hoja ya msingi;
Tafuteni amani ya wenzetu weusi wa Sudan, Somalia, Dr Congo, Central Africa na kwingine kwenye shida ndani ya Africa maana hao ndio ndugu zetu, hao "red nose" mnaohangaika nao wala hawawatambui kama nyie ni binadamu kamili.