Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mabepari wakitandikwa ndo amani ya hapo Congo itapatikanaUmewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.
Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Hoja ya msingi;
Tafuteni amani ya wenzetu weusi wa Sudan, Somalia, Dr Congo, Central Africa na kwingine kwenye shida ndani ya Africa maana hao ndio ndugu zetu, hao "red nose" mnaohangaika nao wala hawawatambui kama nyie ni binadamu kamili.
Kabugi ukraine...mbona hawajamtoa bado ,,,na mlisema kaishiwa silaha wakati ndo kwanza anataka kuzigawa......Kama yamepelekwa, sioni yakitumiwa. Watayahifadhi tu.
Russia alibugi kuivamia Ukraine
Japan
Sioni cha ziada zaidi ya kuirjesha Cuba kwenye vikwazo vilivyoondolewa na Obama.
Na pesa yake ya dolaBricks imeanzishwa ili kuidhibiti silaha kubwa liyokuwa anatamba nayo marekani ya vikwazo. Dogo acha kukariri mambo yanabadilika kwa kasi sana
Kwa hiyo AK47 haziwezi kuwadhuru warusi kwasababu aliyeigundua ni mrusi!?Unajua mgunduzi wa NUKE ni nani hapa duniani?, unafahamu nani amewahi itumia hiyo NUKE kwenye vita?.
Tutafute amani na uhuru wa watu wetu wa Afrika kwanza.
Ndugu zetu huko Mozambique wanachinjwa kama kuku halafu dua na sala eti zinaelekezwa kwa wakoloni badala ya ndugu zetu halisia.
Huu ni ujuha tulio nao WaAfrica ambao tumekumbatia utumwa wa wakoloni wa Ulaya na Asia
Marekani hupigana kwenye nchi za wenzake. Sio kwakeHiyo taarifa ya uongo?.
Alikuwa anapigana na jeshi analoligundisha!?USA kakaa miaka 20,bila bughudha akatekeleza kilichompeleka (kumuua Osama bin laden),kawapa mafunzo wanajeshi wa Afghanistan ili wajitegemee akiondoka,ndio kaondoka.Wewe ndio unasema kakimbia,loo jamani akili hizi!.
So badala ya Putin kuingilia mfumo wa kupigia kura now anaingia kwa njia ya kushtua kivita!.Wapiga kura wa Marekani wanayo nafasi ya kuinusuru Dunia dhidi ya vita vya maangamizi. Uchaguzi wa USA ni Vita dhidi ya Amani.
Ukraine alipiga mpka ikuluKwani umewahi sikia kuna taifa li.ewahi tupa hata unyoya Urusi? Ukiacha matendo machache ya kigaidi yanayoendelea saivi.
Wewe unahisi Urusi anampiga mkwara Marekani,Marekani mwenyewe anajitetea.
Ila bongo.
urusi ana haki ya kujilinda na maadui,mazafaka USA akae mbaliKatika hali inayoelekea kuwachanganya wamarekani Urusi imetuma manowari zake zaidi ya 8 katika pwani ya marekani nchini Cuba sababu ikitajwq ni maandalizi ya mazoezi ya pamoja.
Hii ni mara ya kwanza kwa urusi kupeleka meli za kivita kwa kiwango hiki katika nchi ya Cuba. Wakati huo huo rais Putin anasema Urusi itaanza kutoa silaha za maangamizi kwa nchi zote ambazo ni maadui wa marekani hasa nchi za America ya kusini, North Africa , Iran na Far east.
Kwa mtazamo wa kiuchambuzi haya maandalizi ya Vita ya dunia ambayo kama marekani atalazimisha itokee basi safari hii tutashuhudia mabomu yakidondoka katika ardhi ya marekani.
LEO NI USA πΊπΈ Ndio Kiranja wa DuniaUtakua umesahau au ni mtoto mdogo. Kiranja wa dunia alikua mrumi , akaja mwingereza akaitawala dunia lakini leo hayupo. Times count my friend
Kuna njia moja tu ya kujua kuwa ni mikwara ya mbuzi au la!Umewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.
Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Hakuna atakayegusa mwenzake hapoKuna njia moja tu ya kujua kuwa ni mikwara ya mbuzi au la!
Biden afanye kweli ili mimi na wewe tujue zipi mbivu na zipi mbichi, au unasemaje mzee wa kazi!?
Eeeeh!Hakuna atakayegusa mwenzake hapo
Vita na mkubwa mwenzio sio chai kila mmoja aililie.Eeeeh!
Kumbe!?
Kwahiyo wanaogopana, sio Russia anaiogopa USA!?
Tulisema mimi na nani?. Badoo naamini kuwa Russia angepata akitakacho pasipo vita.Kabugi ukraine...mbona hawajamtoa bado ,,,na mlisema kaishiwa silaha wakati ndo kwanza anataka kuzigawa......
Umewahi sikia kuna Taifa limewahi tupa hata unyoya ndani ya ardhi ya USA?.Hicho kinachofanywa na Russia kinaitwa mikwala mbuzi.
Vita na mkubwa mwenzio sio chai kila mmoja aililie.
Kwenye vita ktk dunia ya sasa, huwa hakuna mshindi, wote mnapoteza.
Inafikia hatua mnaamua kuridhiana mnashusha silaha chini maisha yanaendelea.
Hata kama umemzidi mabavu kidogo ukaamua kumkalia kinguvu mwenzio, tukifanya tathimini tutakuta pande zote zimedhurika pakubwa sana ikiwemo kupoteza raslimali watu, vitu, uchumi na miundombinu.
Kwa sasa hizo pande mbili lazima zizingatie ile kanuni isemayo "Njia bora ya kupigana vita, ni kuimaliza vita kabla ya kupigana".
Na Biden.........fita ni fira mraaaa acha wapasuane tujue mbeleni panakuajeTulisema mimi na nani?. Badoo naamini kuwa Russia angepata akitakacho pasipo vita.
Ukweli unabakia palepale, wote wanafanya mikwara tu lakini hakuna atakayerusha jiwe kwa mwenzake.Kauli yako hii ππ½ππ½ inapishana kabisa na kauli yako hii ππ½ππ½