Urusi yapendekeza makao makuu ya UN yaondolewe Marekani na kuhamishiwa nchi nyingine

Ww unajielewa? Russia ni mbwa koko hapa duniani na yeye amebanwa tu anatafuta huruma ya mbwa koko wenzake but USA is another level bro!
Mbwa koko wenu ameshindwa kuondoa dollar kwenye ramani/biashara duniani ataweza kuhamisha UN?
dada usiku umeingia chukua kopo la mkojo weka ndani kojoa alafu panda kitandani ulale...sawa
 
nchi yoyote ambayo ipo tayar kuchangia 60% ya bajeti ya UN. anakaribishwa kutuma maombi ahamishiwe nchini kwake.

kama mnaona rahisi kuchangia kiasi hiko. nmekaa pale.
 
nchi yoyote ambayo ipo tayar kuchangia 60% ya bajeti ya UN. anakaribishwa kutuma maombi ahamishiwe nchini kwake.

kama mnaona rahisi kuchangia kiasi hiko. nmekaa pale.
Wote hao ni apeche alolo hiyo jeuri ya kuchangia wanayo basi.UN HQ itabaki NY daima dumu
 
Ndo maana UN wanashindwa kua fair dhidi ya udhalimu wa USA kwa wapinzani wake

Kumbe maamuz yanaamuliwa sebleni TU pale new York[emoji848]
 
Naona hauna uelewa wowote wa sheria zinazowalinda wanaoenda huko UN hata puttin akiamua kwenda UN usa hatakiwi kumzuia hata hao waandishi wa habari km wapo sehemu ya msafara wa waziri wa mambo ya nje hawapaswi kuzuiwa haijalishi wanaoingia una uhasama nao kiasi gn inimladi wanakuja kwa issue za un ugomvi wako na wao weka pembeni
 
China
 
Uwe na Akili WTO ipo Geneva? Kwaio Twin Towers ni branch?
 
Huyu Lavrov baada ya kunyimwa visa kuingia US sasa anaona siku za mbele hatakanyaga tena US ndio hofu yake sasa si walisema wao Urusi ni superpower? waanzishe basi umoja wao wa mataifa waeke makao makuu yao kule kwa Museven Uganda ama India
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…