T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Urusi ndio nchi ilikuwa inajaza raia wake pale Zanzibar tangu corona ianze. Hapa naona uwanja wa ndege Zenji unaenda kupungua sana shughuli zake na wageni watapungua mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahh wapi. Mimi sielewi kwanini chanjo ya corona imekuwa nongwa... chanjo zipo kibao tanzania na watu wanachanjwa bila kelele.Na hii ni mfano wa ile 666 ambayo wanasema huwezi kuuza wala kununua kama hauna chapa, alama au utambulisho.
Poleni sana mkuu...nilikua huko juzi juzi nikaona warusi walivyojaanSahihi kaka, tuliopo zanzibar tutaumia zaidi maana tunategemea hao 98%
Kenya? Kuna mwamba mmoja hapa kitaa..ana miaka 36...amezaliwa dar..ameoa dar..na hajawahi kutoka nje ya mkoa wa dar. Hata hapo kibaha au bmoyo hajafikahapo Kenya Tu sijawahi kufika.
Kwakweli elimu..elimu..elimu.
1. Mimi sio mzanzibari...ila natambua athari ya huu uamuzi kwa zanzibar.
2. Inakua vipi usifahamu kwamba usafiri wa anga ni jambo la muungano? Russia wakisema wanazuia ndege kuja tanzania inamaana zanzibar hazitaenda.
Homa ya manjano unachanjwa? Utofauti ni kuwa homa ya manjano ukipima ukakutwa hauna unapewa certificate.Chanjo lazma itakuja tu. Itakuwa kama homa ya manjano..bila kuchanjwa husafiri
Homa ya manjano ni chanjo mkuu..sio kipimo. Maana homa ya manjano ukipata haitibiki.Homa ya manjano unachanjwa? Utofauti ni kuwa homa ya manjano ukipima ukakutwa hauna unapewa certificate.
Ila corona uwe nayo Usiwe nayo unapigwa chanjo
Huwaga kuna busara kubwa sana mtu unapokaa kimya ili uendelee kupata maarifa. Hakuna sababu ya kuchangia jambo usilolijua.Watu aina yako ni hasara kwa taifa. Mnatishia wazenji wazenji mbona omani na kule kwenye kuhiji wametoa yao hatujaona kelele za wazenji walalamika kufa njaa
MATAGA hawajui hilo wanajua tu nchi hii ni tajiri.Urusi ndio nchi ilikuwa inajaza raia wake pale Zanzibar tangu corona ianze. Hapa naona uwanja wa ndege Zenji unaenda kupungua sana shughuli zake na wageni watapungua mno.
Jitahidi ufike tinde au chato.hapo Kenya Tu sijawahi kufika.
Ni tatu kwa siku...Bara huku haziji. Zanzibar zinatua sio chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii
Chanjo hatutaki. Na kama ikija iwe kama dawa za malaria tu. Ukitaka ukanunue. Sisi wengine hata hapo Nairobi hatujawahi kufika. Chanjo ya nini? Tumeshajizoelea kuishi Na corona Sisi! !Kwahiyo wamesitisha kwa ajili ya Corona? Mama atuharakishie Chanjo ya Pfizer.
Wanajamvi habari ya muda huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba kwa mtu anaeenda Arusha kutokea Dar na gari binafsi siku ya tarehe 24/12/2020 anipe lift, tutachangia wese kidogo. Kama yupo tafadhali sana aje chemba tuyajenge chap.
Huwaga kuna busara kubwa sana mtu unapokaa kimya ili uendelee kupata maarifa. Hakuna sababu ya kuchangia jambo usilolijua.
Kuna ndege za 'charter' kama 3 au 4 zilikuwa zikitua Zanzibar kutoka Urusi moja kwa moja na nyingine 2 kutoka Ukraine tangu mwezi wa 10 mwaka jana.Kusema kweli mimi sijaiona ndege ya urusi ikija tanzania,
Nordwind na azul ni kampuni za kirusi babu . Na zote zilikua zinatua Dar hivi karibuni.Bara huku haziji. Zanzibar zinatua sio chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii
Utake usitake utachanjwa tu.Chanjo hatutaki. Na kama ikija iwe kama dawa za malaria tu. Ukitaka ukanunue. Sisi wengine hata hapo Nairobi hatujawahi kufika. Chanjo ya nini? Tumeshajizoelea kuishi Na corona Sisi! !
Ni kweli huenda zilikua zinapita dar. Ila 90% ya abiria kama sio zaidi walikua wanashukia zanzibarNordwind na azul ni kampuni za kirusi babu . Na zote zilikua zinatua Dar hivi karibuni.