Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

Utake usitake utachanjwa tu.
Kunaoona daktari mmoja nilikua naongea nae juzi alikua ananiambia side effects ambazo hazitajiwi ni hormones changes na nguvu za kiume. Ndio maana sasa hivi wananchange narrative nakurecomend hiyo astra-zeneca kwa watu was miaka 60 na zaidi tu. Maana huezi jua kama nguvu zako zimeisha au la katika miaka hiyo

Isitoshe nina familia Kenya. Tumeshapoteza jamaa wawili baada ya chanjo. Na bibi yangu mmoja kaumwa sana baada baada ya kupata chanjo, ingawa sahivi anaendelea vizuri kidogo

Tuweni waangalifu sana na hizi chanjo. Tusikurupuke tu jamani.
 
Kunaoona daktari mmoja nilikua naongea nae juzi alikua ananiambia side effects ambazo hazitajiwi ni hormones changes na nguvu za kiume. Ndio maana sasa hivi wananchange narrative nakurecomend hiyo astra-zeneca kwa watu was miaka 60 na zaidi tu. Maana huezi jua kama nguvu zako zimeisha au la katika miaka hiyo

Isitoshe nina familia Kenya. Tumeshapoteza jamaa wawili baada ya chanjo. Na bibi yangu mmoja kaumwa sana baada baada ya kupata chanjo, ingawa sahivi anaendelea vizuri kidogo

Tuweni waangalifu sana na hizi chanjo. Tusikurupuke tu jamani.
Acha Propaganda Raisi Samia Suluhu kashaongea na mpango wa Covax tudungwe tena kwa haraka
 
Punguza jazba kidogo. Sijamtisha mtu. Nasema wewe ni mnafiki kujimwambafai wakati hatua hii haikuathiri moja kwa moja. Kwa mtu yoyote aliyefika zanzibar kipindi hiki cha corona anajua kabisa warusi ndio walikua wanasapoti sana sekta ya utalii visiwani.

kulikua na ndege za kukodi si chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii....warusi walijaa pale unguja mpaka hata vijana wa zenji wakaanza kuongea kirusi. Hatua hii inaenda kuathiri mifuko yao moja kwa moja. Sisi huku bara wala hatutaathirika

Mfuko wa mtalii wa Zanzibar uathirike then mamlaka ya utalii Tanzania bara ibaki bila doa, hata la kusingiziwa???

Too funny!!! Almost unbelievable!!
 
Na zanzibar ndio wanaenda kuathirika na huu uamuzi. Warusi ndio wamesapoti sana utalii wa znz kipindi hiki cha corona..walijaa sana pale unguja

Binafsi naomba location ya waitaliano na wafaransa katika nyakati hizi pia.....na sio mbaya hata wale wakazi wa scandinavistiek, sio mbaya ikawekwa hapa!
 
Punguza jazba kidogo. Sijamtisha mtu. Nasema wewe ni mnafiki kujimwambafai wakati hatua hii haikuathiri moja kwa moja. Kwa mtu yoyote aliyefika zanzibar kipindi hiki cha corona anajua kabisa warusi ndio walikua wanasapoti sana sekta ya utalii visiwani.

kulikua na ndege za kukodi si chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii....warusi walijaa pale unguja mpaka hata vijana wa zenji wakaanza kuongea kirusi. Hatua hii inaenda kuathiri mifuko yao moja kwa moja. Sisi huku bara wala hatutaathirika
Unabishana na uyo sukuma gang Numbisa
 
Rais mpya bado anaendeleza sera za kukataa chanjo na barakoa?
 
Naivety? So there's no countries that require a yellow fever vaccination before you visit them?

And people really do undergo such ‘operations’?!

Unless you truly mean hujui “yellow fever cards”zinapatikanaje hapa Tz.

Otherwise, wamesema “kazi ziendelee!”
 
Mkuu umechambua vizuri naona kama umesomea utalii
Big up
Kuna ndege za 'charter' kama 3 au 4 zilikuwa zikitua Zanzibar kutoka Urusi moja kwa moja na nyingine 2 kutoka Ukraine tangu mwezi wa 10 mwaka jana.

Na kama wanavyosema wengi humu, ni kweli utalii wa Tanzania utapata athari kdg kwa kipindi chote ambacho ndege hizo zitakuwa hazifanyi safari zake nchini, sababu zaidi ya 80% ya watalii waliokuwa wanaingia nchini tangu mwezi wa 10 mwaka jana ni kutoka eneo hilo, na imesaidia kwa kiasi kikubwa mno kutatua mdororo wa kipato kwa watu wa sekta hiyo.

Ingawa athari haitokuwa kubwa sana, sababu ndege hizi zimesitishwa kipindi cha 'low season' ambayo kila mwaka kuanza mwezi wa April mpk mwezi May mwishoni.
 
Acha Propaganda Raisi Samia Suluhu kashaongea na mpango wa Covax tudungwe tena kwa haraka
Hakuna kitu kama hicho. Wewe ndio Acha propaganda. Kujaribu kuaminisha watu kwamba eti tutakubali.

Mama yuko vizuri sana. Hawezi kutuuza kirahisi. Hiyo chanjo yenyewe tunakubali tu kwa sababu hatutaki kutengwa sio sababu tunaumwa.
 
Back
Top Bottom