Fibanochi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 476
- 1,018
Zilikuwa zikitua Zanzibar na si Dar wala KIANordwind na azul ni kampuni za kirusi babu . Na zote zilikua zinatua Dar hivi karibuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilikuwa zikitua Zanzibar na si Dar wala KIANordwind na azul ni kampuni za kirusi babu . Na zote zilikua zinatua Dar hivi karibuni.
Chanjo lazma itakuja tu. Itakuwa kama homa ya manjano..bila kuchanjwa husafiri
Kunaoona daktari mmoja nilikua naongea nae juzi alikua ananiambia side effects ambazo hazitajiwi ni hormones changes na nguvu za kiume. Ndio maana sasa hivi wananchange narrative nakurecomend hiyo astra-zeneca kwa watu was miaka 60 na zaidi tu. Maana huezi jua kama nguvu zako zimeisha au la katika miaka hiyoUtake usitake utachanjwa tu.
Watu aina yako ni hasara kwa taifa. Mnatishia wazenji wazenji mbona omani na kule kwenye kuhiji wametoa yao hatujaona kelele za wazenji walalamika kufa njaa
Acha Propaganda Raisi Samia Suluhu kashaongea na mpango wa Covax tudungwe tena kwa harakaKunaoona daktari mmoja nilikua naongea nae juzi alikua ananiambia side effects ambazo hazitajiwi ni hormones changes na nguvu za kiume. Ndio maana sasa hivi wananchange narrative nakurecomend hiyo astra-zeneca kwa watu was miaka 60 na zaidi tu. Maana huezi jua kama nguvu zako zimeisha au la katika miaka hiyo
Isitoshe nina familia Kenya. Tumeshapoteza jamaa wawili baada ya chanjo. Na bibi yangu mmoja kaumwa sana baada baada ya kupata chanjo, ingawa sahivi anaendelea vizuri kidogo
Tuweni waangalifu sana na hizi chanjo. Tusikurupuke tu jamani.
Punguza jazba kidogo. Sijamtisha mtu. Nasema wewe ni mnafiki kujimwambafai wakati hatua hii haikuathiri moja kwa moja. Kwa mtu yoyote aliyefika zanzibar kipindi hiki cha corona anajua kabisa warusi ndio walikua wanasapoti sana sekta ya utalii visiwani.
kulikua na ndege za kukodi si chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii....warusi walijaa pale unguja mpaka hata vijana wa zenji wakaanza kuongea kirusi. Hatua hii inaenda kuathiri mifuko yao moja kwa moja. Sisi huku bara wala hatutaathirika
Naivety? So there's no countries that require a yellow fever vaccination before you visit them?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
The naivety in your statement made my ribs chuckle!
Na zanzibar ndio wanaenda kuathirika na huu uamuzi. Warusi ndio wamesapoti sana utalii wa znz kipindi hiki cha corona..walijaa sana pale unguja
Unabishana na uyo sukuma gang NumbisaPunguza jazba kidogo. Sijamtisha mtu. Nasema wewe ni mnafiki kujimwambafai wakati hatua hii haikuathiri moja kwa moja. Kwa mtu yoyote aliyefika zanzibar kipindi hiki cha corona anajua kabisa warusi ndio walikua wanasapoti sana sekta ya utalii visiwani.
kulikua na ndege za kukodi si chini ya 3 kila wiki zinaleta watalii....warusi walijaa pale unguja mpaka hata vijana wa zenji wakaanza kuongea kirusi. Hatua hii inaenda kuathiri mifuko yao moja kwa moja. Sisi huku bara wala hatutaathirika
we upo uko burigi ndege ya urusi utaiona wapi,Kusema kweli mimi sijaiona ndege ya urusi ikija tanzania,
Ni tatu kwa siku...
Naivety? So there's no countries that require a yellow fever vaccination before you visit them?
We umekatazwa kuvaa barakoa ? Lini hilo katazo limetolewa? Nenda Kenya ukachanjweRais mpya bado anaendeleza sera za kukataa chanjo na barakoa?
Kuna ndege za 'charter' kama 3 au 4 zilikuwa zikitua Zanzibar kutoka Urusi moja kwa moja na nyingine 2 kutoka Ukraine tangu mwezi wa 10 mwaka jana.
Na kama wanavyosema wengi humu, ni kweli utalii wa Tanzania utapata athari kdg kwa kipindi chote ambacho ndege hizo zitakuwa hazifanyi safari zake nchini, sababu zaidi ya 80% ya watalii waliokuwa wanaingia nchini tangu mwezi wa 10 mwaka jana ni kutoka eneo hilo, na imesaidia kwa kiasi kikubwa mno kutatua mdororo wa kipato kwa watu wa sekta hiyo.
Ingawa athari haitokuwa kubwa sana, sababu ndege hizi zimesitishwa kipindi cha 'low season' ambayo kila mwaka kuanza mwezi wa April mpk mwezi May mwishoni.
Tushasema, hatuna pesa za mchezo, mbona hamuelewi?Kwahiyo wamesitisha kwa ajili ya Corona? Mama atuharakishie Chanjo ya Pfizer.
Hakuna kitu kama hicho. Wewe ndio Acha propaganda. Kujaribu kuaminisha watu kwamba eti tutakubali.Acha Propaganda Raisi Samia Suluhu kashaongea na mpango wa Covax tudungwe tena kwa haraka
Tena wapewe wanaotaka kwenda urusi ..Kwahiyo wamesitisha kwa ajili ya Corona? Mama atuharakishie Chanjo ya Pfizer.
Ndani ya mpango wa WHO dunia nzima itachanjwaTena wapewe wanaotaka kwenda urusi ..