Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

Pigo kubwa kwa Zanzibar, watalii kutoka urusi ndio wamebeba sekta ya utalii kipindi kigumu cha covid.

IMG_8932.jpg

IMG_8929.jpg

Kabla ya corona Zanzibar zilkua zinakuja hizo mbili kila weekend zinabeba na kurudsha wa Russia [emoji635]
IMG_8925.jpg

Saiv inakuja hiyo tu
 
Msimamo wake utatokana na kamati iliyoundwa, hilo unajua, sasa sijui unauliza nini.Rais Samia hajawahi kubeza wanaovaa Mask, sasa sijui Tz ina marais wangapi kwa sasa.
Nimeuliza swali. Huna jibu. Sema hujui. Waache wanaoweza kujibu wajibu.

Zaidi ya hapo ni speculation.

Hiyo kamati iliyoundwa hawezi kui overrule?
 
Kama kungekuwa kuna chanjo za bure basi wangepewa Kenya jinsi wanavuojua kijipendekeza kwa wazungu Lakini badala yake Kenya chanjo wamenunua
COVAX wanapata funding kutoka phulanthropic sources.

Pia kuna vaccines nyingi tu katika the so called "vaccine diplomacy" zinagawiwa.India imegawa vaccines kwa nchi 80 ambazo hazikuwa na uwezo wa kununua au kutengeneza vaccines.


 
Pigo kubwa kwa Zanzibar, watalii kutoka urusi ndio wamebeba sekta ya utalii kipindi kigumu cha covid.

KWANI ZANZIBAR SIO SEHEMU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA? KWA MAMBO MABAYA MNAITENGA ZANZIBAR LAKINI YAKIWA MEMA [ MISAADA TOKA NJE] MNASEMA MKO NA ZANZIBAR!!!
 
Ila Tanzania ikinunua ndege inakuwa nongwa

Hao ni utamaduni wao kutalii sehem mbali mbali dunian na ndege ndio usafiri wao na wana pesa zao mfano hizo ndege zao ni warusi ndio walokua wanaenda Zanzibar ila sisi watanzania tunaenda wapi[emoji16] ushawah ona ndege yyte inatoka Tanzania imebeba raia wa Tanzania tu kwenda Europe kutalii Labda wanaokwenda hijja Saudi Arabia na Jerusalem
 
Shirika gani la ndege toka urusi linatua dar
 
Hao ni utamaduni wao kutalii sehem mbali mbali dunian na ndege ndio usafiri wao na wana pesa zao mfano hizo ndege zao ni warusi ndio walokua wanaenda Zanzibar ila sisi watanzania tunaenda wapi[emoji16] ushawah ona ndege yyte inatoka Tanzania imebeba raia wa Tanzania tu kwenda Europe kutalii Labda wanaokwenda hijja Saudi Arabia na Jerusalem
Masikiniiiii, daaaah, ndio ukomo wa akili zako hapo...? Niambie, wa- Ethiopia (Ethiopian airlines) ,wanatalii nchi gani kwa wingi?
 
Bado unavaa barakoa hata baada ya kupata chanjo?
Nikiwa nje navaa.

Unaweza kusikia kesho kwamba kuna variant mpya ya Undengereko wasikotaka chanjo wala kupima imeingia miezi kadhaa iliyopita, haisikii chanjo yoyote.

Ukivaa barakoa unajikinga kwa layer nyingine.

Ni sawa na kujilinda kwa kufunga mlango na madirisha.

Huwezi kusema niko sehemu yenye wezi wengi, nifunge mlango tu, madirisha niache wazi, kwa sababu nishafunga mlango.

Watakuibia kwa kupitia kwenye madirisha.

Security in layers.

Unaweka firewall, halafu unaweka password, halafu unaweka multi-factor authentication, halafu hardware encryption, halafu una install updates, halafu unabadilisha passwords, halafu unakuwa na backups...

Ukifunga geti hiyo si sababu ya kuacha mlango wa mbele wazi.
 
Nikiwa nje navaa.

Unaweza kusikia kesho kwamba kuna variant mpya ya Undengereko wasikotaka chanjo wala kupima imeingia miezi kadhaa iliyopita, haisikii chanjo yoyote.

Ukivaa barakoa unajikinga kwa layer nyingine.

Ni sawa na kujilinda kwa kufunga mlango na madirisha.

Huwezi kusema niko sehemu yenye wezi wengi, nifunge mlango tu, madirisha niache wazi, kwa sababu nishafunga mlango.

Watakuibia kwa kupitia kwenye madirisha.

Security in layers.

Unaweka firewall, halafu unaweka password, halafu unaweka multi-factor authentication, halafu hardware encryption, halafu una install updates, halafu unabadilisha passwords, halafu unakuwa na backups...

Ukifunga geti hiyo si sababu ya kuacha mlango wa mbele wazi.
Kwa hiyo kwa maisha yako yote yaliyobakia hapa duniani, ukitoka nje ya nyumba yako utakuwa unavaa barakoa?
 
Kwa hiyo kwa maisha yako yote yaliyobakia hapa duniani, ukitoka nje ya nyumba yako utakuwa unavaa barakoa?
Hapana, hii ni kwa muda huu wa pandemic tu, likipita tutavua barakoa.

Mbona hata kwenye Spanish Influenza ya mwaka 1918 watu walivaa sana barakoa, ikapita, wakaacha kuvaa barakoa?

Protective measures must be consummated with the relevant risk.

Otherwise utaacha kupumua kwa kuogopa kuingiza virusi ndani ya mwili wako, halafu ukafa kwa kukosa hewa!
 
Hapana, hii ni kwa muda huu wa pandemic tu, likipita tutavua barakoa.

Mbona hata kwenye Spanish Influenza ya mwaka 1918 watu walivaa sana barakoa, ikapita, wakaacha kuvaa barakoa?

Protective measures must be consummated with the relevant risk.

Otherwise utaacha kupumua kwa kuogopa kuingiza virusi ndani ya mwili wako, halafu ukafa kwa kukosa hewa!
But the virus is here to stay. It ain’t going anywhere.

And since it’s a virus, it will always mutate.

Na hata wakitangaza kwamba sasa pandemic imeisha [sijui hata ni akina nani...WHO?], hiyo haina maana kirusi nacho ndo kimekufa na kuzikwa.

Hivyo, hata ikitangazwa kwamba pandemic imeisha, hiyo haina maana huwezi kukipata hicho kirusi. Na ukikipata, huwezi jua, kinaweza kuwa ni variant ya Nagorno Karabakh huko na chanjo zako zinaweza zisifue dafu.

Sioni haja ya kuvaa barakoa na kujifungia ndani na kuishi kwa woga wakati tayari nishachanjwa.

Lengo la kuchanjwa ni ili tuweze kurudi kwenye maisha ya kawaida. Siyo kuwa kwenye lockdown mode milele.

But, to each his own. Wanaotaka kuvaa barakoa milele, rukhsa.

Heck, kuna watu hadi wanalala nazo usiku zikiwa zimeziba pua na midomo yao.
 
But the virus is here to stay. It ain’t going anywhere.

And since it’s a virus, it will always mutate.

Na hata wakitangaza kwamba sasa pandemic imeisha [sijui hata ni akina nani...WHO?], hiyo haina maana kirusi nacho ndo kimekufa na kuzikwa.

Hivyo, hata ikitangazwa kwamba pandemic imeisha, hiyo haina maana huwezi kukipata hicho kirusi. Na ukikipata, huwezi jua, kinaweza kuwa ni variant ya Nagorno Karabakh huko na chanjo zako zinaweza zisifue dafu.

Sioni haja ya kuvaa barakoa na kujifungia ndani na kuishi kwa woga wakati tayari nishachanjwa.

Lengo la kuchanjwa ni ili tuweze kurudi kwenye maisha ya kawaida. Siyo kuwa kwenye lockdown mode milele.

But, to each his own. Wanaotaka kuvaa barakoa milele, rukhsa.

Heck, kuna watu hadi wanalala nazo usiku zikiwa zimeziba pua na midomo yao.
Niliasa kwa kusema "Protective measures must be consummated with the relevant risk."

I reserve the right to judge which risk is relevant, using a reasonable sense of awareness guided by sensible science.

Kuna sehemu bado zina Ebola duniani. Do I worry about that right now?

Nah, there are people my tax dollars pay to do that.
 
Tunaofanya biashara ya utalii, itatuathiri saana sababu ni Warusi pekee ndio waliendesha uchumi wa utalii wa Zanzibar.

Weekly nlikuwa natengeneza million leo hii weekly nimetengeza elfu 70 tu. Loh! Will truly miss you Warusi.
 
Watu aina yako ni hasara kwa taifa. Mnatishia wazenji wazenji mbona omani na kule kwenye kuhiji wametoa yao hatujaona kelele za wazenji walalamika kufa njaa
Uchumi wa zenji na Saudi Ni mbingu na ardhi, wale wa kuhiji Ni lazma ila zenji Ni recreation.

Wazenji labda Kama wangesema pale zenji Kuna holy site unless wiki moja tu bila utalii Zanzibar. Utawaonea huruma wakazi wengi. Pesa ya utalii ndo inaendesha Zanzibar.
 
Back
Top Bottom