EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #121
Endelea kulalama wenzako wanapiga kura kujiunga na URUSIuyu mzee kaanza kuchanganyikiwa kadri siku zinavo kwenda anakuja na kituko kipya kipigo alicho kipata kime mfanya awe mpuuzi 100times
Unajua maana 20% ya ukubwa wa taifaKwa taarifa tu Ukraine kuna mikoa na vitongoji
Au wao wenyewe ndani ya Ukraine wangelianzisha dhidi ya Serikali yao.Achga kuleta mawazo Mgando hapa; hakuna eneo la asili ya watu fulani katika dunia ya leo. Kuna mipaka ya kimataifa inayojulikana halafu watu wanaweza kuhamia popote wanapotaka wao wenyewe. Kama hao watu wa asili ya Urusi hawataki kuwa kwenye himaya ya Ukraine basi wahamie urusi, siyo kulazimisha kumega mipaka ya ukraine.
Huyu Putin kaishiwa sasa anaanza kutapatapa. Ngoja tusubiri ataishiwa wapi. Kutoka special military operation sasa sijui anakwenda wapi.
Wndelea kujikuna 😅😅😅 na wanaopiga kura ni akina nani?Watu wameanza kimbia Urusi na majirani wamewakataa Warusi
Labda kwenda chooniIna maana direct provocation anataka ifanywe mara ngapi..,wakati Leo hii majeshi ya Ukraine yanazidi ku-advance kwenye hayo maeneo hambayo yameshapiga kura[emoji848]
Watoto wa shule hakuna kitu wanajua zaidi ya kufuatilia BBC/Swahili.com wanapolishwa matangoporihayo maeneo yamepiga kura lini?
mkuu nadhani ni sahihi kuchambua haya mambo bila kuwa na ushabiki, jipe muda urejee historia namna gorgia na crimea alivofanya,....huu ndio mtindo mrusi huutumia,
umejiuliza ni kwanini crimea haijashambuliwa licha ya zele kudai ni eneo lake?,
nikupe tu kitu cha kukufikirisha, kuanzia sasa, na baada ya kura kupigwa na hatimaye matokeo kutolewa, naomba uanze kufuatilia mienendo ya ujerumani na ufaransa......... crimea ilikua hivi hivi, labda kama hukufuatilia kipindi hicho
Mkuu; we humjui Mrussi? Ni mtu wa vurugu, ni mtu wa kufitinisha jamii, ni mtu mpenda migogoro na ni mtu anayependa kuonesha Ubabe na majigambo.Ina maana direct provocation anataka ifanywe mara ngapi..,wakati Leo hii majeshi ya Ukraine yanazidi ku-advance kwenye hayo maeneo hambayo yameshapiga kura[emoji848]
Inaonesha uchanga wa akili yako eti hakuna eneo la asili ya watu flaniAchga kuleta mawazo Mgando hapa; hakuna eneo la asili ya watu fulani katika dunia ya leo. Kuna mipaka ya kimataifa inayojulikana halafu watu wanaweza kuhamia popote wanapotaka wao wenyewe. Kama hao watu wa asili ya Urusi hawataki kuwa kwenye himaya ya Ukraine basi wahamie urusi, siyo kulazimisha kumega mipaka ya ukraine.
Huyu Putin kaishiwa sasa anaanza kutapatapa. Ngoja tusubiri ataishiwa wapi. Kutoka special military operation sasa sijui anakwenda wapi.
Jitekenye tu hayo maeneo aliyoyachukua huko Ukraine yarudisheni kama mnawezaAnatilisha huruma Putin hakutegemea kumkuta yoote haya., jeshi la Ukrean linasonga mbele na watamaliza na Cremea
Tena matangopori sawa na ya enzi Fulani🏃🏃Watoto wa shule hakuna kitu wanajua zaidi ya kufuatilia BBC/Swahili.com wanapolishwa matangopori
Sifa zoooote ulizozitaja ni za US na NATO. Urusi kafitinisha nchi gani zaidi ya kulinda maslahi yake tena kwa majirani zake ambao mwanzo walikuwa chini ya USSR. NATO kule Syria, Afghan, Iraq, Libya, Congo, Liberia, Somalia orodha ni ndeeefu wamefitinisha na kuanzisha vita kwa maslahi yao.Mkuu; we humjui Mrussi? Ni mtu wa vurugu, ni mtu wa kufitinisha jamii, ni mtu mpenda migogoro na ni mtu anayependa kuonesha Ubabe na majigambo.
Hiyo kura "Referendum" ameilazimisha kwa mashinikizo mengi iwe sasa wakati Jamii haipo kwenye Utulivu na Uhuru wa mawazo kutokana na vita inayoendelea. Kwa nini asisubiri kuwe shwari na Amani halafu ndipo raia Waulizwe/Wapige kura wanajihamulia wawe ni wa nchi/taifa gani?? Yeye keshakurupuka na mavifaru, mindege-vita na ma nini cjui ...halafu anataka watu wapige kura.
Basi una akili pungufu sana. Kwa akili yako hiyo ya kutoheshimu mipaka ya kimataifa unataka kusema mpaka wa Tanzania na Kenya nau uhame ili ardhi yote inayokaliwa ni wamasai kiasili iwe ama ya Kenya au Tanzania lakini wamasai wasiwe katika nchi mbili zinazopakana, ama sivyo nchi mbili hizi zipshambuliane kuhamisha mpaka.Hii
Inaonesha uchanga wa akili yako eti hakuna eneo la asili ya watu flani
Kwaio mi mtoto kutokuelewa %age?Unajua maana 20% ya ukubwa wa taifa
Kharkiv sasa bendera za Ukrean zinapepea kila kona Urusi iliuchukua huu mji ikiwemo na miji midogo Izyum tangia March na kuweka base zake sasa ni kweupe, kazi inaendelea jana Wanaume wamenza Luhansky na tayari kuna vijiji ni vyeupe wamesafisa, muda utaongea ifikapo december mwaka huuJitekenye tu hayo maeneo aliyoyachukua huko Ukraine yarudisheni kama mnaweza
Yupo aliye sema mrusi kapotezaKwaio mi mtoto kutokuelewa %age?
Kule Libya, Afghanistan, Syria NK ni mipaka ya NATO? au unajitoa ufahamu kwa kuwa your brainwashed na westernersBasi una akili pungufu sana. Kwa akili yako hiyo ya kutoheshimu mipaka ya kimataifa unataka kusema mpaka wa Tanzania na Kenya nau uhame ili ardhi yote inayokaliwa ni wamasai kiasili iwe ama ya Kenya au Tanzania lakini wamasai wasiwe katika nchi mbili zinazopakana, ama sivyo nchi mbili hizi zipshambuliane kuhamisha mpaka.
Nimesema ni kazi nzito hapo juu. Je, kazi ikiwa nzito ina maana umeburuzwa? Hao "wakuletwa" na waliowaleta wanatekwa, wanauawa, wanaacha silaha wanakimbia, n.k. yote hayo yanahitaji yaangaliwe kwa umakini. e.g. huwezi kuacha mzigo wa silaha uliotelekezwa porini - lakini kumbuka hujaja hapo kwa ajili ya usombaji mizigo ya silaha.Sasa kama hawajui chochote inakuwaje wanawaburuza NATO
Huto ni tuvijiji na hakuka mali za maana hukoKharkiv sasa bendera za Ukrean zinapepea kila kona Urusi iliuchukua huu mji ikiwemo na miji midogo Izyum tangia March na kuweka base zake sasa ni kweupe, kazi inaendelea jana Wanaume wamenza Luhansky na tayari kuna vijiji ni vyeupe wamesafisa, muda utaongea ifikapo december mwaka huu
Pumba tupu. Kuna sehemu ya Libya iliyomegwa kuwa ni sehemu ya asili ya NATOKule Libya, Afghanistan, Syria NK ni mipaka ya NATO? au unajitoa ufahamu kwa kuwa your brainwashed na westerners