US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Msomi gani hajui kufatilia habari mpaka awekewe ref? Hakuna mtu atashindwa ikiwa atawekewa kila kitu

Juzi tumeona wasomi walivyokesha πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Usomi mchezo
Nabishana na sigara kali.
 
Hakuna kitu upumbavu mtupu tu ww unasifia kuporomoka Akili zimo kweli,Hv hapo ndipo alikuta Shilingi yetu ipo hadi usifie,Mijitu mieusi basi mtu anapiga hatua hapo hapo wala haendi mbele unamsifu kwa na ww umepofuka wala huoni kama watu wanaenda mbele au wanarudi nyuma.
Kwamba huoni au ni chuki?,
Ameirudsha chini ya alipoikuta

Mama anatisha bwashee
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Kwani wakati anaingia madarakani huyo Bi Urojo change ya dollar ilikuwaje? Tuanzie hapo kwanza kabla hatujaenda kuangalia factors zilizopelekea change ya dollar kuwa hivi ilivyo.
 
Safari hii Vita ya Ukraine na Urusi sio sababu?? πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ™ŒπŸ’”

Maana ni moja ya sababu zilizotolewa hapo kati,baada ya mambo kuharibika! Ujinga ni janga kwa taifa letu tuna safari ndefu mno.
 
Kenyabna uganda pia na nchi 70% dunia nzima mataifa makubwa yote yameshusha intrest rate ila usa imezidisha .hii ni kukabiliana na madhara ya mavita yanayoendelea yamedororesha uchumi.
Kaka Tanzania huwa sio hata 1% ya uchumi wa dunia ni katone baharini na hukana chochote cha maana cha kustaajabu kwenye uchumi wa tanzania nje ya kuongezek utalii.ambapo sasa ni mil 2.8 .wakati sisi tuna vivutio kuliko morroco na kanchi kao ni sawa na tabora lakini wana watalii mil 12?? Msichezewe akili na wanasiasa yaan mseme mpeleke kina mwijaku ndo watangaz we utalii ?? Asilimia 90% ya wazungu wote hawajawahi sikia neno tanzania ?
Fikiria zile hela za kuzurura wasanii wetu wa la saba bil kama 5.wawapa offa kuja bure ma super sta wenye followers wengi mitandaoni kama beckam,mamodel wa kimataifa .tuka sponsor kama wenzetu maligi ya maana kama superbowl .ambapo 60% ya wazungu wanaangalia tungepiga utalii kiasi gani??? Tatizo unaweka kina kigwangala toka azaliwe hajawhi ishi hata kenya low exposure wanatumia mandumba na makafara kupata uwaziri.

Pale body ya utalii mmejaza magraduate wa udsm waliokulia njombe wakasoma tourism iringa tumaini mkawaajiri.sikatai ila njooni na sera tangazeni kazi international jobs za experts wa marketing levels za dunia kama 10 hadi 20 walipeni packages za kimataifa wawekeni pale bodi ya utalii wekezeni hata 50mil usd bajeti waifanyie promotion nchi.hawa wenu ongeeni na mabalozi wakawaombee field atachments kwenye body kubwa za utalii kama za usa china spain etc.warudi nchini na connection na uzoefu sio mbaya mkapeleka vijana 100 kila mwaka in 10 yeaars hatushikiki

Mnayoyatamabia yanawezekana ila sio kwa hawa mawaziri kasomea accontanncy unampa uwaziri wa utalii.

Nenda angalia baraza la mawaziri la china .ukikuta wizara ya technology anakaa eng ict na historia amekuwwa director kampuni za technology kibao.
Ukikuta sanaa unakuta yeye tu ashakuwa msanii.big up kwa mwana fa japo na yeye anachekeahaga kuwa bado ana uteam alikiba and diamond
Ila sioni anavchofanya maana proffessionally narecognise kama financial expert sio msanii perse

Mama kwa kwel nampongeza anajitahidi kiasi sio cha kuita kaupiga mwingi ila tuendelee kupush na kushauriana sio kumsifu sifu kila siku matamasha yasiyo na tija kwa taifa kizimkazi huko
Mambo hayo yote yanatakiwa katiba mpya. Kwa Sasa bado wenzetu hawataki tupongeze hata hapa tipofikia
 
Back
Top Bottom