US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

NYAMAZA WE KAFIRI.
hizo Vita ni mambo yao kisiasa sio Imani.
the same Iran na Iraq walivyopigana.

So,,far Leo nimetembelea Muskiti wa Buserese.
huu ndiyo msikiti kanda ya Ziwa uliowataka Waislamu kuwanchija wakristo kwasababu wakristo wamekataa kuchinjiwa vitoweo vyao,mchungaji mmoja wa haya makanisa ya kiroho akachinjwa in cold blood. sun and stars were witnessing when that Poor mchungaji was behead by your fellow jihadists.

Mita 200 toka hapa upande wa kusini Kuna msikiti wa Katoro,nimekutana(si mara ya kwanza) na Sheikh wa huo msikiti(Muhammad) ni mtu poa saba ila uwa naweza ilikuwaje kuwaje akajingiza uko.
 

Attachments

  • 20231130_121408.jpg
    1.2 MB · Views: 1
Hii unahusiano gani na Palestina?
 
because your sickness is wired with your jihadists brothers.
Churches with the genocide. As a consequence, the Church has faced numerous criticisms from diverse fronts, and has been repeatedly blamed of culpability in the violence that occurred during those obscure months (Longman, 2010). However, it was only in 2017 that Pope Francis, upon meeting the Rwandan President Paul Kagame, officially asked for forgiveness for the Catholic Church’s role in the 1994 genocide, stating that, in Rwanda, the β€œsins and failings of the Church and its members had ultimately disfigured the face of Catholicism”.
 
Sawa kwa taarifa tu Hamas pia walipoanza walibebwa sana na Israael na kupewa mkwanja ili kumdhibiti YASSEER ARAFAT na PFLP yake. yaani wallikuwa na maelewano fulani Hamas akiwa mnafiki akimzunguka Yaser Arafat ambaye alikufa kifo chenye Utata, kabla ya Arafat kufariki Hamas walikuwa silolote . Hamas walipopata ummarufu wakawappiga kibuti Israell na kutafuta wafadhili wengine Hawa PFLP waliisaidia sana kufundisha makomandoo wa ANC ya MANDELA. Hamas pia ana maadui wengi ambao ni wapalestina wenzao ambao wanaamua kutoa Siri zao kwa Israel. Mmoja ambae alichoshwa na vitendo vya Hamas na baadaya kuona Hamas wakiua wapalestina kule jella iisrael ni mtoto wa mwanziliishii wahilo kundii la hamas Mosab Hassan Yousef akaachana na kundi hilo aliloanzisha baba yake. Waliwi fungwa jela moja baba na mtoto. Mosab Hassan Yousef sasa ni mlokole anaitwa Joseph. Taarifa hizi ziipo google zote
 

unajizungusha sana,baada ya hapa utaniletea ya akina kibwetele ama makenzi as long as to console yourself kuwa hata Dini/iman zingine wanafanya huo uzombi wenu.
katka ukristo kuna wauaji,vibaka,cultists,walozi,mashoga etc...na wote hao hawana verse hata moja toka kwenye Bible inayo supot matendo yao.
Ila katika Uislam kuna Magaidi yana verse zao za ugaidi.
mashirikina yana verse zao ndani ya Quran.
gayism.
 
Abdel Aziz Ali Abdul Majid al-Rantisi aliyepewa jina la utani la "Simba wa Palestina" alikuwa kiongozi wa kisiasa wa Palestina na mwanzilishi mwenza wa Hamas, pamoja na Sheikh Ahmed Yassin.

baba yake Yousef ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa shughuli za Hamas siyo muanzilishi wa Hamas acha uongo… alikuwa msaidizi tu wa Hamas

Yousef alikuwa kibaraka wa Israel alibadili dini na kuwa Mkristo kutoka Uislamu, alifanya siri lakini hakufichua ukweli huu kwa umma hadi 2008, na kusababisha hofu kwamba wanafamilia wake huko Ramallah wangemtenga Mwaka 2007, aliondoka Ukingo wa Magharibi na kuhamia Marekani; alikuwa ametuma ombi la hifadhi ya kisiasa akapewa uraia wa Marekani.

Mnamo 1987, baada ya kuzuka kwa Intifadha ya Kwanza dhidi ya Israeli, Hamas ilianzishwa na imamu wa Kipalestina na mwanaharakati Ahmed Yassin. Iliibuka kutoka kwa Mujama al-Islamiya (Kituo cha Kiislamu), ambacho kilikuwa kimeanzishwa huko Gaza mwaka wa 1973 kama shirika la kutoa misaada la Kiislamu lililohusishwa na Muslim Brotherhood yenye makao yake Misri. Hamas ilizidi kujihusisha na mzozo wa Israel na Palestina mwishoni mwa miaka ya 1990 ilipinga Barua za Israel-PLO za Kutambuana pamoja na Mkataba wa Oslo, ambao awali ulishuhudia Fatah ikiacha "matumizi ya mapambano na vitendo vingine." ya vurugu na kuitambua Israeli katika kutafuta suluhisho la serikali mbili. Hamas iliendelea kutetea upinzani wa Wapalestina wenye silaha, ilishinda uchaguzi wa wabunge wa Palestina wa 2006, na kupata wengi zaidi 60 katika Baraza la Wabunge la Palestina, na kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza kutoka Fatah mwaka wa 2007. Hii ndiyo Hamas. Wamepigiwa kura hawajajiweka hapo walipo.

Usiipende kuokota data bila kuchuja kwanza kabla ya kuleta JF
 
dont panic hamas haina mwanzilishii mmoja tulia huyo kjana mpaka leo yupo na ametoa hotuba kuhusu unafiki wa Hamas acha story za kijiwenj kwa hiyo huyomtoto anawadanganya Hamas kwamba baba yake ni mmoja wapo wa waanzilishi wa hamas na pia waplestina wote anawadanganya ila wewe nduo naua ukweli maana aluhutubia UN kuhusu unafiki wa Hamas muda sio mrefu check pia mada ya waarabu "wenzako"pitia mada ya MK254ipo ubaoni
 
Usipangaie cha kuandika naelezea mauwaji waliofanya Wakirsto unajitoa ufahamuπŸ˜‚ hataki kusikia maiaji ya Wakirsto ambayo ni makubwa mno unaleta mipasho chukua hii…

Vita vya Kwanza vya Ulimwengu vilipiganwa kati ya Washirika na Nguvu kuu. Vita vilidumu kwa miaka 4 - kutoka 1914 hadi 1918 - lakini vilihusika na vifo karibu milioni 18. Kati ya vifo milioni 18, karibu milioni 11 walikuwa wanajeshi na karibu milioni 7 walikuwa raia. Haya mauiji yamefanywa na Wakirsto dini yako huwezi kuongea chochote ukutegemea kama takuletea hizi habari dini yako ya mauji na ushoga pia.

Maaskofu wa Kanisa Katoliki duniani wamekutana katika makao makuu ya Kanisa hilo mjini Vatican na kuafikiana kuwatambua watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja.
Maaskofu hao wamesema, watu hao wana vipaji wanavyoweza kutumia kulisaidia Kanisa na hivyo hawawezi kutengwa na Kanisa hilo.
 
Mkuu bado unahangaikia mambo ua waarabu na wayahudi baada ya kutafuta hela.
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Mkuu bado unahangaikia mambo ua waarabu na wayahudi baada ya kutafuta hela.
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Pesa ninazo muulize Bi mkubwa wako anajua anakula, anakunywa na wewe unakulaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pesa ninazo muulize Bi mkubwa wako anajua anakula, anakunywa na wewe unakulaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mdogo wangu mimi nipo serious maana ukiona wadau kama sisi,,,tutafuteni tuwape fursa..
Wakati ndio huu.....kuna leo na kesho
 
hiyo ni vita ya maisha, haitaisha leo wala kesho. si umeona juzi Qatar wameingia kwenye makubaliano na israel wasimuua Ismail Haniyah bilionea anayeishi Qatar huku akiwaongoza hamas na kukusanya pesa za operations. mmoja baada ya mwingine watakuwa eliminated tu.
 
makristo ya Ulaya yanaipata pata toka kwa mafuasi ya mnyazi mungu.
huwezi let in mafuasi ya mnyazi mungu in drove alafu utegemee kulala macho yote yamefunika.
let me laugh in Hausa😁
dont panic hamas haina mwanzilishii mmoja tulia huyo kjana mpaka leo yupo na ametoa hotuba kuhusu unafiki wa Hamas acha story za kijiwenj kwa hiyo huyomtoto anawadanganya Hamas kwamba baba yake ni mmoja wapo wa waanzilishi wa hamas na pia waplestina wote anawadanganya ila wewe nduo naua ukweli maana aluhutubia UN kuhusu unafiki wa Hamas muda sio mrefu check pia mada ya waarabu "wenzako"pitia mada ya MK254ipo ubaoni
 
dont panic hamas haina mwanzilishii mmoja tulia huyo kjana mpaka leo yupo na ametoa hotuba kuhusu unafiki wa Hamas acha story za kijiwenj
Wewe punguani kweli

Mosab Hassan Yousef πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚​


Muanzilishi wa Hamas
Mosab Hassan Yousef kazaliwa 1978 Hamas imeanzishwa 1987πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo kaanzisha Hamas akiwa na miaka 7πŸ˜‚
 
Wewe punguani kweli

Mosab Hassan Yousef πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚​


Muanzilishi wa Hamas

Mosab Hassan Yousef kazaliwa 1978 Hamas imeanzishwa 1987πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo kaanzisha Hamas akiwa na miaka 7πŸ˜‚
baba yake ni mmoja wa waanzilishi acheni kuleta mada za kipuuzi hapa unabisha sasa baba yake sio mwanzilishi huyo dogo ameandika kitabu pia kiko amaazon wapi nimesema mosab kkaanzisha hamas. tukana matusi tote mkiambiwa ukweli mnaaanza kuharisha ovyo we hwezi kujua kla kitu we mwarabu wa hamas au uko buza kwa mpalange kama mimi
 
Mdogo wangu mimi nipo serious maana ukiona wadau kama sisi,,,tutafuteni tuwape fursa..
Wakati ndio huu.....kuna leo na kesho
Umri wangu mimi huenda namzidi Baba yako kwa kukusaidia waulize waanzilishi wa JF RITZ ni nani.
 
Wewe puguani kweli soma mabandiko yangu kabla ya kukurupuka kunijibu, namuongelea mtoto wake wake Mosab Hassan Yousef ambaye ni kibaraka wa Marekani na Israel kwanza alibadili dini akawa Mkiristo pia ni raia wa Marekani unadhani huyu ataongea nini dhidi ya Hamas kama siyo kuponda? Baba yake alikuwepo kwenye waanzilishi wa Hamas, wakuu walikuwa
Abdel Aziz Ali Abdul Majid al-Rantisi aliyepewa jina la utani la "Simba wa Palestina" alikuwa kiongozi wa kisiasa wa Palestina na mwanzilishi mwenza wa Hamas, pamoja na Sheikh Ahmed Yassin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…