US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

Wewe lazima utakuwa shoga unatafuta mabasha kwa nguvu mimi muuza kahawa na kashata kwa siku naingiza 5000 kwangu nyingi sana hizo milioni 60 Unazipewa dubai na jamaa zako lazima
Utoe milioni 20 ufanyowe operesheni ya hajja kubwa unatumika sana, nafurahi sana upo dubai na mabasha zako unapata na muda wa kumsoma Ritz😂😂
Mdogo wangu ninapokuambia utafute hela uache kuhangaikia huu ugomvi usioisha wa waarabu na wayahudi,,,,,ww unabisha sawa.
TAFUTENI HELA WADOGO ZANGU BAADA YA MIAKA KUMI MTAKUA HAMPO HUMU JF NA MNA MAJUKUMU.
Brother akiongea ameona mbali wadogo zangu...
 
Anadhani waliopo huku wote vilaza
Darasa safi sana hili nimelielewa kongole mkuuu
Toka jana nlikua bize na kuisoma historia ya intifadha
Kupitia ile intifadha ya mwanzo israhell wanatakiwa wajue kua kuwaua ama kuwasababishia madhara hamas na wapalestine kwaujumla hakuwezi kuwaganya wasidai haki zao
Bali ndio wanawachochea zaidi kudai haki zako
Fatah wamekua vibaraka wa israhell na shost zake nandio maana wanapigiwa chapuo kuendesha ukanda wa ghaza na us na shost zake
Maana wanajua hamas anawapeplekesha wanavyotakiwa kupelekeshwan!!!!!
Mosab Hassan Yousef pia anajulikana kama The Green Prince, alikuwa mwanamgambo wa zamani wa Palestina aliyehamia Israel mwaka wa 1997, kisha akafanya kazi kama wakala wa siri wa Shin Bet. hadi alipohamia Marekani mwaka 2007. Na kupewa uraia wa Marekani Baba yake ni Sheikh Hassan Yousef, alibadili dini na kuwa mkiristo na anatumiwa sana na Marekani kama msemaji wa Wapalestina sasa huyu kibaraka anawezaje kuwa msemaji wa Palestina
 
Mdogo wangu ninapokuambia utafute hela uache kuhangaikia huu ugomvi usioisha wa waarabu na wayahudi,,,,,ww unabisha sawa.
TAFUTENI HELA WADOGO ZANGU BAADA YA MIAKA KUMI MTAKUA HAMPO HUMU JF NA MNA MAJUKUMU.
Brother akiongea ameona mbali wadogo zangu...
Unalazimisha watu wote tuwe mashoga kama wewe😂 nenda kijjini kwenu kachukue ndugu zake wapeleke kwa mabasha zako mtakuwa matari unasema una milioni 60 benki😂😂😂
Nafurahi sana kama unafuatllia kwa ukaribu mno kusoma post zangu
 
Waislamu huwa na ujinga fulani, wao hata liwe kosa wanatetea sababu tu ni kadini kao kadogo ka mapepo
 
Waislamu huwa na ujinga fulani, wao hata liwe kosa wanatetea sababu tu ni kadini kao kadogo ka mapepo
Muslims are followers of the religion Islam, who believe in and live by the teachings of the prophet Muhammad. There are more than two billion Muslims worldwide,

Wewe endelea na chuki zako dhidi ya watu zaidi ya Bilioni 2
 
Wanaukumbi.

Ikiwa wewe ni mpya kwa upinzani wa Palestina, labda tayari unajua kuhusu Hamas, lakini jiulize PIJ ni nani.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) na Hamas zote ni vikundi viwili vikubwa vya Upinzani nchini Palestina. Wana malengo sawa katika kuikomboa Palestina, lakini wanatofautiana katika vipengele vidogo vidogo.

Infographic hii ambayo nilifanya miaka 2 iliyopita, itakupa wazo la jumla jinsi uongozi unajumuisha.
Hata hivyo, PIJ na Hamas siyo makundi pekee! Pia kuna Kamati za PFLP na Kamati Maarufu za Upinzani ambazo pia zina mbawa zao za kijeshi ambazo unaweza kuwa umezisikia kama vile Vikosi vya Abu Ali Mustafa.

Ni muhimu kutambua kwamba makundi haya yote ni washirika na hufanya kazi pamoja.

Marekani na Israel na wafuasi wao kila siku wanaimba wimbo kuwa wanaifuta Hamas huko ni kijidanganya ikumbukwe kuwa PIJ wana uhusiano wa karibu na Hezbollah, Syria na Iran kuliko Hamas.
=========================
If you’re new to Palestinian resistance, you probably already know about Hamas, but wonder who PIJ is.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) & Hamas are both the 2 biggest Resistance factions in Palestine. They have the same objective in liberating Palestine, but they differ in some minor aspects.

This infographic that I made 2 years ago, will give you a general idea how the leadership consists of.

However, PIJ & Hamas are not the only factions! There’s also PFLP & Popular Resistance Committees who also have their own military wings that you may have heard such as the Abu Ali Mustafa Brigades.

It’s important to note that all of these factions are allies and work together.

View attachment 2828636View attachment 2828637
Wacha tuone
 
Wanaukumbi.

Ikiwa wewe ni mpya kwa upinzani wa Palestina, labda tayari unajua kuhusu Hamas, lakini jiulize PIJ ni nani.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) na Hamas zote ni vikundi viwili vikubwa vya Upinzani nchini Palestina. Wana malengo sawa katika kuikomboa Palestina, lakini wanatofautiana katika vipengele vidogo vidogo.

Infographic hii ambayo nilifanya miaka 2 iliyopita, itakupa wazo la jumla jinsi uongozi unajumuisha.
Hata hivyo, PIJ na Hamas siyo makundi pekee! Pia kuna Kamati za PFLP na Kamati Maarufu za Upinzani ambazo pia zina mbawa zao za kijeshi ambazo unaweza kuwa umezisikia kama vile Vikosi vya Abu Ali Mustafa.

Ni muhimu kutambua kwamba makundi haya yote ni washirika na hufanya kazi pamoja.

Marekani na Israel na wafuasi wao kila siku wanaimba wimbo kuwa wanaifuta Hamas huko ni kijidanganya ikumbukwe kuwa PIJ wana uhusiano wa karibu na Hezbollah, Syria na Iran kuliko Hamas.
=========================
If you’re new to Palestinian resistance, you probably already know about Hamas, but wonder who PIJ is.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) & Hamas are both the 2 biggest Resistance factions in Palestine. They have the same objective in liberating Palestine, but they differ in some minor aspects.

This infographic that I made 2 years ago, will give you a general idea how the leadership consists of.

However, PIJ & Hamas are not the only factions! There’s also PFLP & Popular Resistance Committees who also have their own military wings that you may have heard such as the Abu Ali Mustafa Brigades.

It’s important to note that all of these factions are allies and work together.

View attachment 2828636View attachment 2828637

PLO iliishiaga wapi kk?
 
Kinachowaua Palestina Ni Uislam. Mafundisho yanayoshawishi Vita Ya Kuruani Surah Imran 3. Maafundisho ya kishetani kabisa.
 
Acha ushoga wako hapa LGBTQ mmoja we
Yaani wewe jitu zima na vuzi zako zimekusimama kama steel wire unaandika upumbavu " Taifa teule " ni nani aliwapa hao machoko uteule ?
Muwe mnasoma maandiko na kuyaelewa sio kukurupuka na kukariri vitu msivyovielewa baada ya kumezeshwa na hao machokoraa wenzenu kwenye makanisa ya uchochoroni huko
Nyie matusi ndio mafundisho yenu,siwezi kukutukana maana sisi tunafundishwa kuwapenda hata nyinyi watukanaji ,kama kutukana Kuna kupa amani siwezi kukupinga,ila Israel ni taifa teule mpaka mwisho wa dunia.
 
Bila kutafuta njia za kubadili mindset ya Wapalestina, ambao wanaamini Wayahudi walipora ardhi yao na hivyo wapaswa kuuawa, hata ukiwaua na kukifuta chama cha Hamas, bado watazaliwa wengine! Changamoto iliyopo ni jinsi ya kuua hii deology waliyonayo Wapalestina!
Wazungu wanajua ukweli kuwa kuna dhulum , pale ndo maana hata Ireland imempeleka balaz wa Israel nyumbani , wajinga hap Tanzania ndo wanaamini eti hamasi ni magaidi , kwa kuwa bwana mkubwa kasema basi na wao huimba hivyo hivyo

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kinachowaua Palestina Ni Uislam. Mafundisho yanayoshawishi Vita Ya Kuruani Surah Imran 3. Maafundisho ya kishetani kabisa.
Vita vya Pili vya Dunia
Vita vya Kidunia vya pili vilikuwa vita vya ulimwengu ambavyo vilianzia 1939 hadi 1945. Vita hivyo viliwakutanisha Washirika na nguvu ya Axis katika vita mbaya zaidi katika historia, na vilisababisha vifo vya zaidi ya watu milioni 70. Vita hivyo vinavyojulikana kwa kampeni yake ya mauaji ya halaiki dhidi ya Wayahudi, pia vilisababisha vifo vya zaidi ya raia milioni 50.
na ni baadhi ya mauaji yaliofanywa na Wakirsto mafundisho yapi walikuwa wanatumia mpaka wanauwa watu milioni 50.
 
Wanaukumbi.

Ikiwa wewe ni mpya kwa upinzani wa Palestina, labda tayari unajua kuhusu Hamas, lakini jiulize PIJ ni nani.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) na Hamas zote ni vikundi viwili vikubwa vya Upinzani nchini Palestina. Wana malengo sawa katika kuikomboa Palestina, lakini wanatofautiana katika vipengele vidogo vidogo.

Infographic hii ambayo nilifanya miaka 2 iliyopita, itakupa wazo la jumla jinsi uongozi unajumuisha.
Hata hivyo, PIJ na Hamas siyo makundi pekee! Pia kuna Kamati za PFLP na Kamati Maarufu za Upinzani ambazo pia zina mbawa zao za kijeshi ambazo unaweza kuwa umezisikia kama vile Vikosi vya Abu Ali Mustafa.

Ni muhimu kutambua kwamba makundi haya yote ni washirika na hufanya kazi pamoja.

Marekani na Israel na wafuasi wao kila siku wanaimba wimbo kuwa wanaifuta Hamas huko ni kijidanganya ikumbukwe kuwa PIJ wana uhusiano wa karibu na Hezbollah, Syria na Iran kuliko Hamas.
=========================
If you’re new to Palestinian resistance, you probably already know about Hamas, but wonder who PIJ is.

PIJ (Palestinian Islamic Jihad) & Hamas are both the 2 biggest Resistance factions in Palestine. They have the same objective in liberating Palestine, but they differ in some minor aspects.

This infographic that I made 2 years ago, will give you a general idea how the leadership consists of.

However, PIJ & Hamas are not the only factions! There’s also PFLP & Popular Resistance Committees who also have their own military wings that you may have heard such as the Abu Ali Mustafa Brigades.

It’s important to note that all of these factions are allies and work together.

View attachment 2828636View attachment 2828637
Hawataweza kabisa
 
Jifunze kwanza waarabu na waislamu kupitia vitabu vyao wana mtazamo gani kuwahusu waebrania (Jew's).
Utapata jibu la swali lako
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameomba msamaha kutoka kwa Mungu kwa "dhambi na makosa yaliyotekelezwa na Kanisa na waumini wake … ambao walitekwa na chuki na ghasia" wakati wa mauaji ya kimbari Rwanda.
Alikuwa akiongea baada ya kukutana na Rais Paul Kagame mjini Vatican.
Ombi lake la msahama limetokea baada ya ombi la Rwanda Novemba mwaka jana kwa Vatican kuomba radhi kutokana na mchango wa mapadri wa kanisa Katoliki na baadhi ya viongozi wake wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
 
Vita vya Pili vya Dunia
Vita vya Kidunia vya pili vilikuwa vita vya ulimwengu ambavyo vilianzia 1939 hadi 1945. Vita hivyo viliwakutanisha Washirika na nguvu ya Axis katika vita mbaya zaidi katika historia, na vilisababisha vifo vya zaidi ya watu milioni 70. Vita hivyo vinavyojulikana kwa kampeni yake ya mauaji ya halaiki dhidi ya Wayahudi, pia vilisababisha vifo vya zaidi ya raia milioni 50.
na ni baadhi ya mauaji yaliofanywa na Wakirsto mafundisho yapi walikuwa wanatumia mpaka wanauwa watu milioni 50.
Hao wakristo walikuwa hawapigani kama wakristo bali raia wa nchi husika.

Hamas ni Islamic party hivyo inapigana Kwa kufuata Kuruani. Hasa Surah Imran
 
Hao wakristo walikuwa hawapigani kama wakristo bali raia wa nchi husika.

Hamas ni Islamic party hivyo inapigana Kwa kufuata Kuruani. Hasa Surah Imran
visiting South Korean Catholic bishop has apologized to the people of Vietnam for atrocities committed by his country's soldiers during the US-led Vietnam War.

Bishop Peter Lee Ki-Heon of Uijeongbu and 12 priests were on a friendship visit to Lang Son Cao Bang Diocese in northern Vietnam. They also visited some religious sites in Vietnam
 

Attachments

  • IMG_7176.jpeg
    IMG_7176.jpeg
    65.4 KB · Views: 2
Hao wakristo walikuwa hawapigani kama wakristo bali raia wa nchi husika.

Hamas ni Islamic party hivyo inapigana Kwa kufuata Kuruani. Hasa Surah Imran
Papa Francis ameyasema hayo Jumatatu ya leo huko Vatican alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Katika kikao hicho Papa ameomba msamaha kutokana na 'madhambi na kufeli Kanisa na wafuasi wake' wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda. Amesema mauaji hayo ya kimbari yalichafua sura ya Kanisa Katoliki.

Katika kikao hicho, Rais Kagame ameelezea matumaini yake kuwa hatua hiyo ya papa itachangia kustawisha amani
 
Back
Top Bottom