US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

Abdel Aziz Ali Abdul Majid al-Rantisi aliyepewa jina la utani la "Simba wa Palestina" alikuwa kiongozi wa kisiasa wa Palestina na mwanzilishi mwenza wa Hamas, pamoja na Sheikh Ahmed Yassin.

baba yake Yousef ambaye aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa shughuli za Hamas siyo muanzilishi wa Hamas acha uongo… alikuwa msaidizi tu wa Hamas

Yousef alikuwa kibaraka wa Israel alibadili dini na kuwa Mkristo kutoka Uislamu, alifanya siri lakini hakufichua ukweli huu kwa umma hadi 2008, na kusababisha hofu kwamba wanafamilia wake huko Ramallah wangemtenga Mwaka 2007, aliondoka Ukingo wa Magharibi na kuhamia Marekani; alikuwa ametuma ombi la hifadhi ya kisiasa akapewa uraia wa Marekani.

Mnamo 1987, baada ya kuzuka kwa Intifadha ya Kwanza dhidi ya Israeli, Hamas ilianzishwa na imamu wa Kipalestina na mwanaharakati Ahmed Yassin. Iliibuka kutoka kwa Mujama al-Islamiya (Kituo cha Kiislamu), ambacho kilikuwa kimeanzishwa huko Gaza mwaka wa 1973 kama shirika la kutoa misaada la Kiislamu lililohusishwa na Muslim Brotherhood yenye makao yake Misri. Hamas ilizidi kujihusisha na mzozo wa Israel na Palestina mwishoni mwa miaka ya 1990 ilipinga Barua za Israel-PLO za Kutambuana pamoja na Mkataba wa Oslo, ambao awali ulishuhudia Fatah ikiacha "matumizi ya mapambano na vitendo vingine." ya vurugu na kuitambua Israeli katika kutafuta suluhisho la serikali mbili. Hamas iliendelea kutetea upinzani wa Wapalestina wenye silaha, ilishinda uchaguzi wa wabunge wa Palestina wa 2006, na kupata wengi zaidi 60 katika Baraza la Wabunge la Palestina, na kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza kutoka Fatah mwaka wa 2007. Hii ndiyo Hamas. Wamepigiwa kura hawajajiweka hapo walipo.

Usiipende kuokota data bila kuchuja kwanza kabla ya kuleta JF
Anadhani waliopo huku wote vilaza
Darasa safi sana hili nimelielewa kongole mkuuu
Toka jana nlikua bize na kuisoma historia ya intifadha
Kupitia ile intifadha ya mwanzo israhell wanatakiwa wajue kua kuwaua ama kuwasababishia madhara hamas na wapalestine kwaujumla hakuwezi kuwaganya wasidai haki zao
Bali ndio wanawachochea zaidi kudai haki zako
Fatah wamekua vibaraka wa israhell na shost zake nandio maana wanapigiwa chapuo kuendesha ukanda wa ghaza na us na shost zake
Maana wanajua hamas anawapeplekesha wanavyotakiwa kupelekeshwan!!!!!
 
dont panic hamas haina mwanzilishii mmoja tulia huyo kjana mpaka leo yupo na ametoa hotuba kuhusu unafiki wa Hamas acha story za kijiwenj kwa hiyo huyomtoto anawadanganya Hamas kwamba baba yake ni mmoja wapo wa waanzilishi wa hamas na pia waplestina wote anawadanganya ila wewe nduo naua ukweli maana aluhutubia UN kuhusu unafiki wa Hamas muda sio mrefu check pia mada ya waarabu "wenzako"pitia mada ya MK254ipo ubaoni
Mpaka anapata muda wakuongea UN basi ujue mnafiq kweli
Mbona hawampi Ismail Hani ya hio nafasi ya kuongea hapo UN
 
Sawa ngoja tuone ...Nyie si mnaamini silaha na ndege za kivita za kisasa sisi tunamuamini mwenyezi Mungu tofauti ndio iko hapo
Hahahahaa kale kamungu kalikotuma na jihad vya kibiti. Alivituma kukomboa nini?
 
Mpaka anapata muda wakuongea UN basi ujue mnafiq kweli
Mbona hawampi Ismail Hani ya hio nafasi ya kuongea hapo UN
Kwanza aliomba ukimbizi wa kisiasa Marekani na akitia mguu Palestina wanamuwa.
 
Umri wangu mimi huenda namzidi Baba yako kwa kukusaidia waulize waanzilishi wa JF RITZ ni nani.
Sikatai mkuu ila tafuta hela ndugu yangu,,,,mambo ya ugomvi wa wayahudi na waarabu waachie wenyewe.
Usione aibu brother kutuambia tukupe connection za kupiga hela tz na viunga vyake,,,,sio kika siku ukiamka issue ni uzi za kushabikia ugomvi wa waarabu na wayahudi huku benki hauna hata milioni 60 Tz shiling.
NB: NILIKUA DUBAI NA WASHIKAJI ZANGU WAARABU RAIA WA SAUDIA NDIO WAKANIPA USHAURI HUO,,,NA MIMI NAULETA KWENU MADOGO WA JF
 
Sawa ngoja tuone ...Nyie si mnaamini silaha na ndege za kivita za kisasa sisi tunamuamini mwenyezi Mungu tofauti ndio iko hapo
Ila kihuasilia mungu wa waarabu kazidiwa kete na múngu wa wayahudi.
Walichobakiza waarabu ni maneno ya mdomoni.
Ndio maana kuna TA-ARABU!!!
NADHANI HATA JANJAWEED KUWAUA WABANTU WAGA WANAMTAJA MUNGU HUYO HUYO MKUU
 
WADAU TAFUTENI HELA ACHANI KUSHABIKIA UGOMVI WA WAPUMBAVU WAKATI NYINYI MNA MAISHA YA KUUNGA UNGA NA WENGINE MNATEGEMEA MISHAHARA
KUNA KESHO NA KESHOKUTWA MTATINGWA NA MAJUKUMU AFU HAO NDUGU ZENU KATIKA IMANI WATAWAFANYA VIJAKAZI.
NB:MFANO MZURI NI WAARABU WA JANJAWEED NA WABANTU WA SUDAN KULE DARFUR
 
Sikatai mkuu ila tafuta hela ndugu yangu,,,,mambo ya ugomvi wa wayahudi na waarabu waachie wenyewe.
Usione aibu brother kutuambia tukupe connection za kupiga hela tz na viunga vyake,,,,sio kika siku ukiamka issue ni uzi za kushabikia ugomvi wa waarabu na wayahudi huku benki hauna hata milioni 60 Tz shiling.
NB: NILIKUA DUBAI NA WASHIKAJI ZANGU WAARABU RAIA WA SAUDIA NDIO WAKANIPA USHAURI HUO,,,NA MIMI NAULETA KWENU MADOGO WA JF
Wewe lazima utakuwa shoga unatafuta mabasha kwa nguvu mimi muuza kahawa na kashata kwa siku naingiza 5000 kwangu nyingi sana hizo milioni 60 Unazipewa dubai na jamaa zako lazima
Utoe milioni 20 ufanyowe operesheni ya hajja kubwa unatumika sana, nafurahi sana upo dubai na mabasha zako unapata na muda wa kumsoma Ritz😂😂
 
Ila kihuasilia mungu wa waarabu kazidiwa kete na múngu wa wayahudi.
Walichobakiza waarabu ni maneno ya mdomoni.
Ndio maana kuna TA-ARABU!!!
NADHANI HATA JANJAWEED KUWAUA WABANTU WAGA WANAMTAJA MUNGU HUYO HUYO MKUU
Nilisahu kukuuliza hivi umeishaenda kubatizwa? Maana Papa karuhusu mashoga kubatizwa😂
 
Ila kihuasilia mungu wa waarabu kazidiwa kete na múngu wa wayahudi.
Walichobakiza waarabu ni maneno ya mdomoni.
Ndio maana kuna TA-ARABU!!!
NADHANI HATA JANJAWEED KUWAUA WABANTU WAGA WANAMTAJA MUNGU HUYO HUYO MKUU
Wazayuni wana Mungu sasa??? Au Mungu wao ndio hizo ndege za kivita na mabomu😁😁??
 
Hamas sio kitambo watasahaulika kama Muslim brotherhood ya Misri,subili uone labda sio taifa teule wanashindana nalo.
Acha ushoga wako hapa LGBTQ mmoja we
Yaani wewe jitu zima na vuzi zako zimekusimama kama steel wire unaandika upumbavu " Taifa teule " ni nani aliwapa hao machoko uteule ?
Muwe mnasoma maandiko na kuyaelewa sio kukurupuka na kukariri vitu msivyovielewa baada ya kumezeshwa na hao machokoraa wenzenu kwenye makanisa ya uchochoroni huko
 
Unaweza weka ushahidi hapa , Hamas wameua watoto wapi ,mbuzi wewe ?
 
Unaweza weka ushahidi hapa , Hamas wameua watoto wapi ,mbuzi wewe ?
Eti mkuu nasikia Hamas wakiulizwa wanajeshi wao wangapi wameuawa waga wanajibu""WEKA USHAHIDI""
Wakiulizwa mlibaka mateka wanajibu""WEKA USHAHIDI""
Wakiulizwa mliua wanawake na watoto wa kiyahudi Oct 07 wanajibu""WEKA USHAHIDI""
Hii ni saikolojia ya kiarabu nn mkuu???
NB: NIMEONA UMEMUITA MWAFRIKA MWENZAKO MBUZI KWANINI MKUU???
 
Acha ushoga wako hapa LGBTQ mmoja we
Yaani wewe jitu zima na vuzi zako zimekusimama kama steel wire unaandika upumbavu " Taifa teule " ni nani aliwapa hao machoko uteule ?
Muwe mnasoma maandiko na kuyaelewa sio kukurupuka na kukariri vitu msivyovielewa baada ya kumezeshwa na hao machokoraa wenzenu kwenye makanisa ya uchochoroni huko
Mkuu hayo ni mapokeo ya imani yake na ya Mungu wao Yehova.
Kila mtu ana imani yake na yupo sahii kwa imani yake.
 
Mimi sipendi vita , Israel kinchi kidogo kimepiga hatu kiuchumi.

Palestina hasa hiyo Gaza hizo Jihad zinawasaidia nini kiuchumi?

Maji, umeme, mafuta, chakula wanaletewa toka Israel kwanini wasiikwamue nchi yao iwe kama nchi nyingi za ukanda wa arabuni.
 
Mimi sipendi vita , Israel kinchi kidogo kimepiga hatu kiuchumi.

Palestina hasa hiyo Gaza hizo Jihad zinawasaidia nini kiuchumi?

Maji, umeme, mafuta, chakula wanaletewa toka Israel kwanini wasiikwamue nchi yao iwe kama nchi nyingi za ukanda wa arabuni.
Jifunze kwanza waarabu na waislamu kupitia vitabu vyao wana mtazamo gani kuwahusu waebrania (Jew's).
Utapata jibu la swali lako
 
Back
Top Bottom