US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

US, Israel na wimbo wao kuifuta Hamas ni kujidanganya

Hao wakristo walikuwa hawapigani kama wakristo bali raia wa nchi husika.

Hamas ni Islamic party hivyo inapigana Kwa kufuata Kuruani. Hasa Surah Imran
Takuletee mauaji ambayo Kanisa limeshiriki… kaaa kimya ufahamu lolote kiuhusu kainisa lako wewe endelea kuvaa msalaba tu.
 
Wewe lazima utakuwa shoga unatafuta mabasha kwa nguvu mimi muuza kahawa na kashata kwa siku naingiza 5000 kwangu nyingi sana hizo milioni 60 Unazipewa dubai na jamaa zako lazima
Utoe milioni 20 ufanyowe operesheni ya hajja kubwa unatumika sana, nafurahi sana upo dubai na mabasha zako unapata na muda wa kumsoma Ritz😂😂
Kila mara unapo jibu hoja,unatumia maneno makali na ya kudharilisha..una matatizo gani? Ushoga unatumia kila unapo jibu hoja..lengo lako ni nini? Moderator mnamfuatilia huyu jamaa
?
 
visiting South Korean Catholic bishop has apologized to the people of Vietnam for atrocities committed by his country's soldiers during the US-led Vietnam War.

Bishop Peter Lee Ki-Heon of Uijeongbu and 12 priests were on a friendship visit to Lang Son Cao Bang Diocese in northern Vietnam. They also visited some religious sites in Vietnam
Hao Country Soldiers hawakupigana Kwa sababu ni wakatoliki, Walipigana sababu ni Wakorea. Na Korea si nchi ya Kikatoliki.
 
Papa Francis ameyasema hayo Jumatatu ya leo huko Vatican alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Katika kikao hicho Papa ameomba msamaha kutokana na 'madhambi na kufeli Kanisa na wafuasi wake' wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda. Amesema mauaji hayo ya kimbari yalichafua sura ya Kanisa Katoliki.

Katika kikao hicho, Rais Kagame ameelezea matumaini yake kuwa hatua hiyo ya papa itachangia kustawisha amani
"Kufeli Kwa Kanisa na wafuasi wake" na Kanisa halikuwa na Jeshi. Weka habari Kamili uelewe kinachoombewa msamaha.
 
"Kufeli Kwa Kanisa na wafuasi wake" na Kanisa halikuwa na Jeshi. Weka habari Kamili uelewe kinachoombewa msamaha.
Wewe punguani kweli Pqpa mwenyewe kaomba radhi wewe ufahamu lolote kuhusu ushenzi wa Kanisa endelea kuwa kondooo.

Mwaka 1994 kulizuka vita mbaya ya kikabila huko nchini Rwanda, Vita hivyo vilidumu kwa miezi mitatu tu, lakini maafa yaliyotokea, yalizidi hata vita zilizopiganwa kwa miaka mingi katika mataifa mengine. Ni heri vifo vingekuwa vya kupigwa bunduki tu basi, lakini watu walikuwa wakiuliwa kinyama wakichinjana na wengine kuchomwa moto makanisani, mpaka leo dunia haiwezi kusahau yaliyotokea Rwanda
 
Hao Country Soldiers hawakupigana Kwa sababu ni wakatoliki, Walipigana sababu ni Wakorea. Na Korea si nchi ya Kikatoliki.
Hahaha Kanisa linaomba msamaha wewe mfuasi mvaa msalaba unakataa😂
ohn Paul II yesterday attempted to purify the soul of the Roman Catholic church by making a sweeping apology for 2,000 years of violence, persecution and blunders.
From the altar of St Peter's Basilica in Rome he led Catholicism into unchartered territory by seeking forgiveness for sins committed against Jews, heretics, women, Gypsies and native peoples.
Fighting through trembles and slurrings caused by Parkinson's disease, the Pope electrified ranks of cardinals and bishops by pleading for a future that would not repeat the mistakes. "Never again," he said
 
Kila mara unapo jibu hoja,unatumia maneno makali na ya kudharilisha..una matatizo gani? Ushoga unatumia kila unapo jibu hoja..lengo lako ni nini? Moderator mnamfuatilia huyu jamaa
?
Acha ujinga wewe unaangalia ninavyojibu unajitia ufahamu angalia navyotukanwa nachofanya mimi ni kujibu waambie Moderator pia navyoshambuliwa huenda wewe ni mmoja wao ambao hupendi kuona post zangu, uwa siwezi kuanza kumshambulia mtu bila kunianza mimi nafanya mijadala mingi sana na watu huenda wewe una chuki na mimi.
 
Kila mara unapo jibu hoja,unatumia maneno makali na ya kudharilisha..una matatizo gani? Ushoga unatumia kila unapo jibu hoja..lengo lako ni nini? Moderator mnamfuatilia huyu jamaa
?
Takuwa naku tag matusi nayatukanwa uwambie Mods.
 
Back
Top Bottom