johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeongea neno kubwa!.... hii vita ni hatari sana; itapelekea serikali nyingi kuondolewa madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea neno kubwa!.... hii vita ni hatari sana; itapelekea serikali nyingi kuondolewa madarakani.
Bi mkubwa kitambo! shikamoo"You're either with us or you are against us" - George Bush.
Hapo shetani mkubwa ndipo anaonesha ushetani wake, dhahiri shahiri.
US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Sera ya kutofungamana na upande wowote ni ya kinafik sana mkuu, maana yake ni kwamba kwa sababu unanufaika kote inabidi uwe kimya sasa hii haikubaliki, ni bora kuwa wazi kwa jambo linaloudhi ulikemee tu isijalishe maslahi utakuwa salamamwenye twitter a/c ndiye aliyefungua uzi jf, atafanyaje apate attention bila kuitaja Tanzania? kimsingi ina fahamika TZ haifungamani na upande wowowte ndio sera yetu.
Wakina kiduku na wengine walipiga kura ya wazi kukataa udhalimu, sisi na wengine kama china hatukuchagua upande maana wote rafiki zetu... urusi akishinda tutamwambia hongera na ukraine pole ndio sera yetu hatubagui...
hao wabaguzi msaada wenye masharti wabaki nao kama kibaraka wao aliyefungua uzi...
sera hii ina ruhusu maliziano na kutafuta suluhu... wala sio ya kinafiki ndugu raia wa ukraine... sisi watanzania tunaipendaa na wala hatuna mpango wa kujiunga NATO kama ndg zako UkraineSera ya kutofungamana na upande wowote ni ya kinafik sana mkuu, maana yake ni kwamba kwa sababu unanufaika kote inabidi uwe kimya sasa hii haikubaliki, ni bora kuwa wazi kwa jambo linaloudhi ulikemee tu isijalishe maslahi utakuwa salama
Hakuna chochote zaidi ya kifungo kipya , kwani ukimsaidia mtu lazima kuwe na masharti? kama ni hivyo huo sio msaada ni ukoloni
Ni sera nzuri sana kuwa wote muhimu kwangu, kwanini tulazimishane wakati kila nchi ina mambo yake kwenye hii migogoro?Sera ya kutofungamana na upande wowote ni ya kinafik sana mkuu, maana yake ni kwamba kwa sababu unanufaika kote inabidi uwe kimya sasa hii haikubaliki, ni bora kuwa wazi kwa jambo linaloudhi ulikemee tu isijalishe maslahi utakuwa salama
sera ya kutokufungamana mkuu maana yake ufumbe macho na kujaza pamba masikioni kw anayekufadhili hata akitenda madhambi kiasi ganiNi sera nzuri sana kuwa wote muhimu kwangu, kwanini tulazimishane wakati kila nchi ina mambo yake kwenye hii migogoro?
Hapana maana yake watu wale wanaogombana kwako wote muhimu, huu ulazima wa kuchagua upande hauposera ya kutokufungamana mkuu maana yake ufumbe macho na kujaza pamba masikioni kw anayekufadhili hata akitenda madhambi kiasi gani
Sema njaa mkuu kwa nini uzunguke mbuyu?, njaa ndio inayofanya huo umuhimu unaouita sasaHapana maana yake watu wale wanaogombana kwako wote muhimu, huu ulazima wa kuchagua upande haupo
Tuoneshe wapi ulilaani uvamizi wa US iraqNilijua tu hili jiwe litakuja kwa nchi zetu maskini ambazo zinajifanya ujuaji., uvamizi wa Russia Ukraine ulipaswa kulaaniwa na nchi zote duniani kama tulivyolaani Marekani kuvamia nchi za kiislamu kama Iraq nk., mauaji hayakubaliki, kujifanya unaweka pamba za masikio kwa sababu ya maslahi upande fulani ni unafiki, siku zote inabidi uwe mkweli utakuweka huru, sasa izo 40% wataleta nani? hao Russia wenyewe nao hoi bintaaban
Kwani we tuoneshe ni wapi ulilaani hivo? Haha kwani kila anapolaani hadi we upajue? Vipi warusi wa Kwa Mpalange?Tuoneshe wapi ulilaani uvamizi wa US iraq
Hahaha daah mpalange tena? Aya tuendelee kulaani uvamizi.Kwani we tuoneshe ni wapi ulilaani hivo? Haha kwani kila anapolaani hadi we upajue? Vipi warusi wa Kwa Mpalange?
Ile vita mkuu nadhan nilikuwa primary, nilichukia kishenz lakiniTuoneshe wapi ulilaani uvamizi wa US iraq
Njaa vip wakati ni maamuzi ya nchi husika? watu wameamua kuwa neutral kama nchi shida iko wapi? ugomvi wako sio ugomvi wetu maana hata huku kwetu tuna matatizo yetu tuna maliza wenyeweSema njaa mkuu kwa nini uzunguke mbuyu?, njaa ndio inayofanya huo umuhimu unaouita sasa
Hata kutoa msaada na maamuzi ya nchi husika, nchi husika ndo imeamua hivyo.Njaa vip wakati ni maamuzi ya nchi husika? watu wameamua kuwa neutral kama nchi shida iko wapi? ugomvi wako sio ugomvi wetu maana hata huku kwetu tuna matatizo yetu tuna maliza wenyewe