US yazionya nchi za Afrika kutonunua nafaka kutoka Urusi

US yazionya nchi za Afrika kutonunua nafaka kutoka Urusi

Kwahyo USA ndo wame attach ushahidi wa huo wizi wa ngano? Hivi seriously unahitaji ushahidi wa jinsi waafrika wanavyopigwa kwenye resources zao?
Unabishana na mtoto....uelewa bado mdogo.
Mwache aendelee kusoma akikomaa atajua kwamba alikuwa hajui.
 
Wao kama nani na kwa mamlaka gani waliyonayo.

Wao mbona wakienda kuipiga Iraq,Iran na Palestine sisi hatutoi matamko.
 
Kwa nini waseme hiyo ngano imeibiwa ukraine wakati urusi yenyewe ni wazalishaji na exporter wakubwa wa ngano duniani. Hii figisu itafanywa hadi kwenye mafuta na gesi ya urusi, maana wamepanga kususia kuinunua. Lakini kimsingi urusi anao uwezo wa kutafuta masoko mbadala hususan Afrika na Asia lakini hili jambo wazungu hawatalitaka na watatafuta kufanya fitina ili mradi wamkomeshe. Afrika ifike mahali tusimamie maslahi yetu badala ya kupelekwa pelekwa tu kama ng'ombe.​

Na Raisi wetu humwambii kitu kuhusu Marekani
 
Hawa jamaa wanataka Waafrika tufe kwa njaa kwa sababu ya manufaa yao? Ni wakati Africa kufanya mambo yetu bila kupangiwa wala kushinikizwa na mataifa mengine

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
========

U.S. officials are cautioning African countries against buying grains plundered from Ukraine as some nations draw closer to Russia to slow surging food prices and stave off hunger.

The U.S. sent out a warning in mid-May to 14 countries, primarily in Africa, that Russian cargo ships were selling "stolen Ukrainian grain," The New York Times reported Monday. The report comes as humanitarian agencies warn of dire consequences from food supply lines disrupted by the conflict in Ukraine and days after African leaders met with Russian President Vladimir Putin to discuss exporting needed grains.

Putin met on Friday with Macky Sall, president of Senegal and chairman of the African Union, as well as African Union Commission chairperson Moussa Faki Mahamat, at the Russian leader's residence in the Black Sea resort city of Sochi.

After the meeting, Mahamat said on Twitter that the leaders called for the suspension of Western-imposed sanctions on Russia to allow the export of grains he said were needed to mitigate a growing food and energy crisis.

"Russia is ready to ensure the export of its wheat and fertilizer," Sall said in a Tweet, adding that he was willing to meet with Ukrainian President Volodymyr Zelensky as well.
Yet, kuna wanasiasa wa Afrika wasiotathmini sawa sawa trends (mitindo? mwelekeo?) hapa duniani. Wao ikitajwa Marekani tu wanajiharishia surualini na wanataka kufanya kila amri. Maskini hawajui nchi hiyo inaelekea kukosa taji la kuwa nchi tajiri zaidi na yenye nguvu zaidi duniani, na kuelekea kwenye dimbwi la nchi za Ulimwengu wa tatu! In fact, maeneo kadhaa ya Marekani ni third world.
Nchi ambayo export yake ni silaha na kuchapisha dola. Hata ufundi wa kuunda ndege inanyang'anywa katika miaka si zaidi ya kumi. Pia semi-conductors, Mchina yupo kooni kabisaaa.
Usinifahamu vibaya. Ningependa sana Marekani iwe ndiyo inayoongoza dunia, kuliko Urusi, China na hata India. Marekani ina watu wazuri sana, waelimika, wenye dini (kwa maana tabia zlizo karibu na zile zilizohimizwa na dini). Lakini, hell, sijui viongozi wao wanawatoa wapi. Kila mmoja wao yuko busy kuifukarisha nchi yake hadi kipindi chake kimalizike achukue mwingine!
 
Hawa jamaa wanataka Waafrika tufe kwa njaa kwa sababu ya manufaa yao? Ni wakati Africa kufanya mambo yetu bila kupangiwa wala kushinikizwa na mataifa mengine

[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
========

U.S. officials are cautioning African countries against buying grains plundered from Ukraine as some nations draw closer to Russia to slow surging food prices and stave off hunger.

The U.S. sent out a warning in mid-May to 14 countries, primarily in Africa, that Russian cargo ships were selling "stolen Ukrainian grain," The New York Times reported Monday. The report comes as humanitarian agencies warn of dire consequences from food supply lines disrupted by the conflict in Ukraine and days after African leaders met with Russian President Vladimir Putin to discuss exporting needed grains.

Putin met on Friday with Macky Sall, president of Senegal and chairman of the African Union, as well as African Union Commission chairperson Moussa Faki Mahamat, at the Russian leader's residence in the Black Sea resort city of Sochi.

After the meeting, Mahamat said on Twitter that the leaders called for the suspension of Western-imposed sanctions on Russia to allow the export of grains he said were needed to mitigate a growing food and energy crisis.

"Russia is ready to ensure the export of its wheat and fertilizer," Sall said in a Tweet, adding that he was willing to meet with Ukrainian President Volodymyr Zelensky as well.
Hivi Hawa wapumbavu wanaona jinsi wananchi wa somalia wanavyo pata tabu kifo na njaaa
 
Marekani ni wowowo ya dunia

By the way tuwaache tu ndio kimbilio la viongozi wetu kuombea vijihela... Hiyo vijihela "kwa sauti ya sa 100
 
Ni mali kiasi gani za Russia zimezuiliwa na mataifa ya magharibi kwa lugha "kutaifishwa" huu we huuoni kama ni wizi? Meli ya mafuta ya Irani ilitekwa na USA mafuta yakauzwa Ulaya huu pia sio wizi yaani dhulma yoyote inayofanywa na wamagharibi tunatafuta lugha ya kuipamba na kuona wanasaidia wanyonge? Mkuu tunatofautiana mitazamo. Mi nawaon ni wezi tu kama wengine.
Kutaifisha(Confiscate) ni tofauti na wizi kwani kutaifisha inakuja pale ambapo Taratibu zilizowekwa (kwa makubaliano) hazijafuatwa.e.g. Meli ya mafuta yoyote hairuhusiwi kupita hapa; mara paap!Wewe Iran kinyemela unapitisha waki ikamata watahamua watakavyotaka wakamataji. Lakini wizi ni Uporaji , kuchukua kitu cha mwenzio bila ridhaa yake na kwa kutumia nguvu na pengine kukuua ww mwenye mali.
Tunawasakama sana Wamagharibi ila tunashindwa kujiona ni Sisi wenyewe tunakulana.
Dulma ni dhulma tu iwe imefanywa na West au East; Haikubaliki.
 
Mkuu; mbona naona Kichwa cha Uzi ni kama hakiendani na contents zilizopo kwenye lugha ya Kiingereza? (Samahani lakini) nimeelewa kwamba US amezionya nchi za Africa zisinunue nafaka kutoka Urusi iliyoibwa kutoka Ukraine. Kama ndo hivyo, US yupo sahihi kwa mantiki kwamba sio vema Kununua mali ya wizi. i.e. Watu wa Ukraine wameuawa/wanaendelea kuuawa na mali-Nafaka zao kuporwa kwa nguvu halafu sisi(Africa) tunanunua hiyo nafaka.? Je, Ni sahihi au ni vyema kuunga mkono wizi?
Kimataifa Africa itaonekana kana kwamba inasema "hilo halituhusu" kitu ambacho mbele ya safari litageuka na kuwa "linatuhusu"
NB: Ipo hoja kwamba Africa tutakufa njaa na blaa-blaa nyingi ili kuhalalisha kununua hiyo nafaka ya Wizi. Hoja hiyo haina mashiko(Kwa mtizamo wangu) kwa sababu hiyo vita sio ya kudumu. Kwa hiyo Uvumilivu katika kipindi hiki kigumu ungesaidia na kuonesha mshikamano na jumuiya zingine za kimataifa ukizingatia kwamba Africa sio kisiwa - iko siku tutawaendea hao tukiwa na shida na tunahitaji msaada wao. Asante.
Nakaribisha hoja, kukosolewa n.k. ila naomba isiwe matusi na kejeli tafadhali.
Mkuu nikuulize swali. Fedha Urusi zilizokuwa bank ya marekani amezichukua, je huo tunaiita ni nini? Au mtu kuchukua mali yako kwa nguvu unaiita ni nini?
 
Kutaifisha(Confiscate) ni tofauti na wizi kwani kutaifisha inakuja pale ambapo Taratibu zilizowekwa (kwa makubaliano) hazijafuatwa.e.g. Meli ya mafuta yoyote hairuhusiwi kupita hapa; mara paap!Wewe Iran kinyemela unapitisha waki ikamata watahamua watakavyotaka wakamataji. Lakini wizi ni Uporaji , kuchukua kitu cha mwenzio bila ridhaa yake na kwa kutumia nguvu na pengine kukuua ww mwenye mali.
Tunawasakama sana Wamagharibi ila tunashindwa kujiona ni Sisi wenyewe tunakulana.
Dulma ni dhulma tu iwe imefanywa na West au East; Haikubaliki.
Mkuu tofauti hapo ni tafsiri tu na si kingine?
 
Mkuu nikuulize swali. Fedha Urusi zilizokuwa bank ya marekani amezichukua, je huo tunaiita ni nini? Au mtu kuchukua mali yako kwa nguvu unaiita ni nini?
Huyu hatakuelewa hata kidogo kaamua kuziba masikio
 
Mkuu; mbona naona Kichwa cha Uzi ni kama hakiendani na contents zilizopo kwenye lugha ya Kiingereza? (Samahani lakini) nimeelewa kwamba US amezionya nchi za Africa zisinunue nafaka kutoka Urusi iliyoibwa kutoka Ukraine. Kama ndo hivyo, US yupo sahihi kwa mantiki kwamba sio vema Kununua mali ya wizi. i.e. Watu wa Ukraine wameuawa/wanaendelea kuuawa na mali-Nafaka zao kuporwa kwa nguvu halafu sisi(Africa) tunanunua hiyo nafaka.? Je, Ni sahihi au ni vyema kuunga mkono wizi?
Kimataifa Africa itaonekana kana kwamba inasema "hilo halituhusu" kitu ambacho mbele ya safari litageuka na kuwa "linatuhusu"
NB: Ipo hoja kwamba Africa tutakufa njaa na blaa-blaa nyingi ili kuhalalisha kununua hiyo nafaka ya Wizi. Hoja hiyo haina mashiko(Kwa mtizamo wangu) kwa sababu hiyo vita sio ya kudumu. Kwa hiyo Uvumilivu katika kipindi hiki kigumu ungesaidia na kuonesha mshikamano na jumuiya zingine za kimataifa ukizingatia kwamba Africa sio kisiwa - iko siku tutawaendea hao tukiwa na shida na tunahitaji msaada wao. Asante.
Nakaribisha hoja, kukosolewa n.k. ila naomba isiwe matusi na kejeli tafadhali.
Mkuu unaandika haya ukiwa bar gani? (Samahani lakini)

Wakati Marekani anaivamia Iraq, Afghanistan, na mataifa kadhaa ya kiarabu na kuua maelfu ya raia wasiokua na hatia wanawake na watoto huku ndege zao zikihusika moja kwa moja kubeba mamilioni ya pipa za mafuta ghafi walikua sahihi?

Wameungana na washirka wao kumuondoa Gadafi na kumuua kokatili nani aliwanyooshea kidole?

Marekani anamsapoti Israel kuua mamia ya wapalestine kila wiki halafu sisi tuendelee kutumia mitambo yake ya kufua umeme ya songas pale ubungo kwa kia yeye ni nani?

Kwa haya yote marekani kapata wapi ukiranja wa kutuambia waafrika hiki tufanye na kile tusifanye....kwa kua anatupenda sana?

Hii dunia haiko fare..pengine ile hukumu ya "HAKI" atakayoitoa Mungu kwa walmwengu wote siku ya siku ndiyo itakayo tafsiri kila kinachotendeka sasa hivi na kila mtu atapata ujira wake.......

Ee mola tujaalie tupokee kitabu chetu kwa mkono wa kuloa siku hiyo Aamin!
 
Hawa jamaa wanataka Waafrika tufe kwa njaa kwa sababu ya manufaa yao? Ni wakati Africa kufanya mambo yetu bila kupangiwa wala kushinikizwa na mataifa mengine

[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
========

U.S. officials are cautioning African countries against buying grains plundered from Ukraine as some nations draw closer to Russia to slow surging food prices and stave off hunger.

The U.S. sent out a warning in mid-May to 14 countries, primarily in Africa, that Russian cargo ships were selling "stolen Ukrainian grain," The New York Times reported Monday. The report comes as humanitarian agencies warn of dire consequences from food supply lines disrupted by the conflict in Ukraine and days after African leaders met with Russian President Vladimir Putin to discuss exporting needed grains.

Putin met on Friday with Macky Sall, president of Senegal and chairman of the African Union, as well as African Union Commission chairperson Moussa Faki Mahamat, at the Russian leader's residence in the Black Sea resort city of Sochi.

After the meeting, Mahamat said on Twitter that the leaders called for the suspension of Western-imposed sanctions on Russia to allow the export of grains he said were needed to mitigate a growing food and energy crisis.

"Russia is ready to ensure the export of its wheat and fertilizer," Sall said in a Tweet, adding that he was willing to meet with Ukrainian President Volodymyr Zelensky as well.

Wajinga sana US, wao wameiba hela za Libya, Afghanistan tena wanatangaza eti wametaifisha mali za nchi nyingine hadharani. Wamenyakua mali za wafanyabiashara wa kurusi kisa ni marafiki wa Putin au wanahusiwa kuwa marafiki ila ni haki.

Ujinga wa Marekani hauvumiliki tena duniani.
 
Enzi za ubaguzi wa RANGI kule SA nchi nyingi za Kiafrica (sio zote ) ziliiwekeaga vikwazo South Africa, wao USA na mataifa mengine makubwa ndio kwaanza waliendelea kuwapa hadi teknolojia ya neucler plus kuwekeza zaidi kwenye biashara ya migodi! Why always they want us to be the enemy of their enemies? Why!?
Because we are spoon feed.
 
Hawa jamaa wanataka Waafrika tufe kwa njaa kwa sababu ya manufaa yao? Ni wakati Africa kufanya mambo yetu bila kupangiwa wala kushinikizwa na mataifa mengine

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
========

U.S. officials are cautioning African countries against buying grains plundered from Ukraine as some nations draw closer to Russia to slow surging food prices and stave off hunger.

The U.S. sent out a warning in mid-May to 14 countries, primarily in Africa, that Russian cargo ships were selling "stolen Ukrainian grain," The New York Times reported Monday. The report comes as humanitarian agencies warn of dire consequences from food supply lines disrupted by the conflict in Ukraine and days after African leaders met with Russian President Vladimir Putin to discuss exporting needed grains.

Putin met on Friday with Macky Sall, president of Senegal and chairman of the African Union, as well as African Union Commission chairperson Moussa Faki Mahamat, at the Russian leader's residence in the Black Sea resort city of Sochi.

After the meeting, Mahamat said on Twitter that the leaders called for the suspension of Western-imposed sanctions on Russia to allow the export of grains he said were needed to mitigate a growing food and energy crisis.

"Russia is ready to ensure the export of its wheat and fertilizer," Sall said in a Tweet, adding that he was willing to meet with Ukrainian President Volodymyr Zelensky as well.
Kama Urusi ni wezi basi wanaiba kwa ajili ya Africa, ni wiki moja tu imepita tangu kiongozi mkuu wa (AU)kusafiri Hadi Urusi na kumuomba Rais Purtin alifikirie bara la Africa.
"Za kuambiwa changanya na zako"
 
Watatupa wao au? Waache ujinga wao mara moja!
Wao chakutupa hawana, walichotaka kuona ni Mwenyekiti wa AU Mack Sally, angeenda kwao (Marekani) kuomba hicho alichokwenda kukiomba Urusi, Cha Ajabu wao wenyewe bado wanaendelea kulialia kwa Urusi kwa shida hiyohiyo!
 
Mkuu nikuulize swali. Fedha Urusi zilizokuwa bank ya marekani amezichukua, je huo tunaiita ni nini? Au mtu kuchukua mali yako kwa nguvu unaiita ni nini?
Asikuhadae mtu wala kupindisha maneno. Fedha ya Mrusi iliyoko Benki za Marekani na kwingineko bado ni za Mrusi. Kilichofanyika ni Uzuiaji/Usitishaki wa matumizi ya Akaunti hizo. Labda nitumie mfano hai (Ila naomba msamaha kwa wahusika) Mh. Mbowe a/c zake zilizuiliwa i.e. Hawezi kutoa wala kuweka fedha lakini Fedha iliyokuwepo ni ya kwake na imekuwepo hadi Zuio lilipoondolewa juzi i.e. sasa anaweza kufanya miamala kwa kutumia A/C zake. Na kimataifa ni hivyo hivyo. Baada ya hii vita, na vikwazo vikiondolewa Mrusi (kwa Ufasaha zaidi Watu wa Urusi) wenye A/C kwenye mabenki ya Marekani zilizokumbwa na zuio zitafunguliwa na maisha yataendelea.
Mikataba ya Kilaghai ni wizi tu unaohalalishwa na wakubwa
Ndio nakubali na ni Wakubwa wetu sisi ambao sisi wenyewe ndo tumewapa dhamana. Wametugeuka.
 
Back
Top Bottom