USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Ukisikia mtu mzima kula kulala ndo huyu
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
utoto raha sana!
hivi kweli unalinganisha uchumi wa califonia na Russia? kweli una akili wewe?

btw, Amerika amewahi kupigana na nani vita halisi? lini?
watu wanaosema Russia ni hatari wanaongea kwa ushahidi unaoonekana, Russia vita yamekua ndio maisha yao....they have experience and know how...!

anyway, utakuja kusema hata China ni mbabe kivita!
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Unaweza kukuta kijijini kwenu we ndio tegemeo lao
 
Marekani ina mashirika zaidi ya 10 ya Intellejensia, Wizara yao nishati yenyewe ina Shirika lake la Ujasusi.

Mtu anayedhani shit holes countries zinaweza kupigana na Marekani ni mjinga sana na hana strategic understanding ya mambo ya Dunia.

Hadi sasa only Russia na USA ndio wana Nuclear TRIAD, vita kubwa kuliko zote na ya hatari ni Marekani na Russia. Na hiyo vita atakaye pigwa in coventional war ni Russia.

Sababu kubwa Russia hataki Ukraine wawe NATO ni kuogopa Jeshi kubwa kama la Marekani liwe mpakani mwake
kasome Cuba Missiles Crisis ndio urudi,.....
yani nyie watoto mnaropoka tu humu ndani siku hizi, sijui mna miaka mingapi....
 
Unajichanganya mzee,hapo inaongelewa millitary operation aliyoefanya USA ndani ya Vietnam ilifeli.
Na haikufeli hiyo tu,hata vita ya Jangsari USA akiisaidia Korea Kusini aliingiza jeshi lake kamili na kila aina ya vifaa ili aisapoti Korea kusini dhidi ya Korea kaskazini,ila alikumbana na kibano cha jeshi la China likitumia silaha za kisoviet.
Mbona alirudi na kutaka yaishe na wakakaa mezani!?
Na hata world war 2 kama USA asingepiga nukes pale Hiroshima basi ile vita alikua anapigwa na Japan.
Japan alishaanza kulidhibiti kimapigano jeshi la USA ila zile nukes ziliwanyong'onyesha.
Hujui historia halafu pia hujanielewa
Hizo zote ni proxy wars tu ndo maana China na soviet huko vietnam walikuwepo pia
Japani alianza vizuri mwanzoni sababu USA aliconcentrate kumshinda Hitler ulaya
Unajua kilichotokea kwa japan baada ya German kusurrender?

Yaani hata kabla hajapiga nukes majeshi ya US yalikuwa karibu na coast za japanese mainland aliona anacheleweshwa ndo akawalazimisha kusurrender na nukes
 
Hujui historia halafu pia hujanielewa
Hizo zote ni proxy wars tu ndo maana China na soviet huko vietnam walikuwepo pia
Japani alianza vizuri mwanzoni sababu USA aliconcentrate kumshinda Hitler ulaya
Unajua kilichotokea kwa japan baada ya German kusurrender?

Yaani hata kabla hajapiga nukes majeshi ya US yalikuwa karibu na coast za japanese mainland aliona anacheleweshwa ndo akawalazimisha kusurrender na nukes
Naona unazunguka sana mboyoyo nyingi sana.
Kwahiyo proxy war haiwezi kuonesha nguvu ya taifa husika!?
Kwa akili zako USA angepigana na China directly angeshinda tofauti na alivyopigana nae katika proxywar nyuma ya S.Korea!?
Akili za KIJINGA hizi.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
😂😂😂 Ulishwahi kusikia kitu kinaitwa "tsar bomba" au father of all bombs? Kuna watu wanamiliki teknolojia hiyo.... Kiufupi Russia na marekani wanachukiana kwa ajili ya uwezo wa kiteknolojia, HAKUNA kitu USA anacho afu Russia Hana,ila wanazidiana kwa idadi ya vitu hivyo , hawA watu pia wanategemeana Sana kwenye masuala ya anga za mbali,kila mmoja kwa uwezo wake.
 
Mifano ya marekani kushindwa vita mbona ipo mingi sana mkuu. Vietnam na Cambodia walishindwa , Afghanistan wameshindwa Somalia hapo jirani zetu operation Black hawk down walichinjwa kama njiwa miili ilitapakaa Mogadishu mpaka leo marekani hajawahi kukanyaga Somalia. Mifano ni mingi sijui unazungumzia vita gani
Lengo la USA kwenye vita ulivyovitaja katika nchi moja moja ilikuwa ni nini? Labda ndiyo utaelewa somo!
 
Mm nilipo fungua Uzi nikajua labda utatuelezea na kudadavua kinaga ubaga nguvu aliyo nayo USA kitakwimu mitambo aliyo nayo kama vile ndege za kivita, manoari, aircraCarriers compare to the rest of the world. Kumbe ni stori za kwenye vijiwe vya kahawa ?.
Mfumo wetu wa elimu hauruhusu hayo mambo unayoyataka. Laumu serikali lakini mleta mada utamwonea bure tu!

Ukitaka hayo unayoyataka labda uanzishe mada ya Simba na Yanga; au Kondeboi vs. Kajala...na masingo maza. Hapo tuna kila aina ya data! 😁
 
Kwenye conventional warfare hakuna nchi wa kuikaribia USA ila tatizo ni kwamba vita vikubwa vitakavyopiganwa na mataifa makubwa kwa sasa lazima mmojawapo aturusha nuclear tu na hapo ndipo itakuwa maangamizi kwa wote.
 
kasome Cuba Missiles Crisis ndio urudi,.....
yani nyie watoto mnaropoka tu humu ndani siku hizi, sijui mna miaka mingapi....
Kwani ina maajabu gani hiyo cuba missiles crisis? Hivi unajuwa kwamba baada ya ile crisis ikaja kugundulika kwamba USA alishaweka kitambo makombora poland yakielekea moscow? Na moja ya makubaliano ilikuwa naye ayaondoe hayo makombora
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi

USA uwezo huo hana na ndio maana hakuna vita yoyote aliyewahi kusimama peke yake
 
Hizo ni media za magharibi.. ila ukweli ni kwamba Marekani sio mwenye nguvu kibiashara na kijeshi. Operation zake nying za kivita zimefeli sana... halafu kumbuka kuna Mangolia walitawala duniani lakini wakapoteana, UK nao walikuwa wana nguvu duniani na wakapotea. Hata USA pia anaweza atapoteza ushawishi wake duniani.
 
Naona unazunguka sana mboyoyo nyingi sana.
Kwahiyo proxy war haiwezi kuonesha nguvu ya taifa husika!?
Kwa akili zako USA angepigana na China directly angeshinda tofauti na alivyopigana nae katika proxywar nyuma ya S.Korea!?
Akili za KIJINGA hizi.
Na ndo tabia yako kutukana ila kichwani unajua vitu vichache Sana

Unajua proxy wars ngapi alipigana Hittler lakini hakuna iliyoreflect uwezo wake mpaka alipoingia vitani ? Na ndo maana Britain alideclare war haraka dhidi ya German ilipoivamia Poland baada ya wiki mbili wakarealise wameingia cha kike ni jamaa ana miguvu hatari
 
Na ndo tabia yako kutukana ila kichwani unajua vitu vichache Sana

Unajua proxy wars ngapi alipigana Hittler lakini hakuna iliyoreflect uwezo wake mpaka alipoingia vitani ? Na ndo maana Britain alideclare war haraka dhidi ya German ilipoivamia Poland baada ya wiki mbili wakarealise wameingia cha kike ni jamaa ana miguvu hatari
Nina fahamu mengi ila hapa naongea na mzungukaji tu ambaye ni much know.
-USA kule Somalia walishindwa na walipoteza askari wengi sana na haikuwa Proxy war.
-USA imejaribu kuvamia Iran moja ya majaribio ni 2013,2018 na wakashindwa NAVY SEAL wao wameishia kukamatwa tu.
-USA imeshindwa kukomesha mashambulizi hapo Red sea baab al mandib wakiwa na Manowari zao wenyewe za kivita ila Houthi wanawakula vichwa.
We zunguka unapozunguka ila USA hawezi pigana bila collabo.
 
Back
Top Bottom