USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Lakini mbona wewe ndo unaonekana una mahaba na USA, tupe mfano mmoja tu wa USA kupigana vita pekeake na kushinda,. Kule Marekani Kuna waafrika kama wewe hivi unajua maisha Yao, mwangalie masikini wa urusi harafu mfananishe na masikini wa marekani .
 
Lakini mbona wewe ndo unaonekana una mahaba na USA, tupe mfano mmoja tu wa USA kupigana vita pekeake na kushinda,. Kule Marekani Kuna waafrika kama wewe hivi unajua maisha Yao, mwangalie masikini wa urusi harafu mfananishe na masikini wa marekani .
Masikini wa marekani anapewa boflo na serikali yake na pia ana fursa nyingi zaidi za kutoka kimaisha kuliko masikini wa Russia.
 
Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.

Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.

Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.

Tuje upande wa US vs Russia hapa ni mbingu na ardhi!

Hitler tu na jeshi lake ambalo halikuwa na branches wala nn liliimidi vita miaka 6?

Mwenye akili ajiulize je? Vp US wenye military bases all over the world?

Siitakuwa balaa plus uchumi plus well intergrated intelligence agencies.
Upo sahihi.

Baada ya vita vya pili vya dunia ni kama vile hakujawahi kuwa na vita tena mana utaona leo Ukraine anapambana na Russia Ila siku hy hy utaona timu ya taifa la Ukraine wanacheza mechi ya kirafiki na France hapo hapo Ukraine.
 
Upo sahihi.

Baada ya vita vya pili vya dunia ni kama vile hakujawahi kuwa na vita tena mana utaona leo Ukraine anapambana na Russia Ila siku hy hy utaona timu ya taifa la Ukraine wanacheza mechi ya kirafiki na France hapo hapo Ukraine.
Mkuu bora ww unaelewa! Ukraine life linasonga kama kawa kuna vita kweli hapo?
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Nonsense
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Nonsense
 
Hua nashangaa sana hizi vita, Ukraine anajua kabisa mbaya wake yupo Ikulu lkn hatumi bomu kwenda Ikulu yeye anapiga maeneo tofauti the same as Russia.
Vita vyote vya uvamizi huwa vinaisha kwa kukaa chini na kuafikiana kati ya mvamizi na anayevamiwa kwa hiyo haisaidii sana ukiwaua hao viongozi ambao mtatakiwa mkae nao chini baadaye kuafikiana.
 
Unajichanganya mzee,hapo inaongelewa millitary operation aliyoefanya USA ndani ya Vietnam ilifeli.
Na haikufeli hiyo tu,hata vita ya Jangsari USA akiisaidia Korea Kusini aliingiza jeshi lake kamili na kila aina ya vifaa ili aisapoti Korea kusini dhidi ya Korea kaskazini,ila alikumbana na kibano cha jeshi la China likitumia silaha za kisoviet.
Mbona alirudi na kutaka yaishe na wakakaa mezani!?
Na hata world war 2 kama USA asingepiga nukes pale Hiroshima basi ile vita alikua anapigwa na Japan.
Japan alishaanza kulidhibiti kimapigano jeshi la USA ila zile nukes ziliwanyong'onyesha.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Na Ufaransa Amesha mpima Putin ubavu wake AKAONA size yake muda wowote Putin ajichangaje ndio atajua kumbe yeye ni tango pori
 
Mara saa hiyo hiyo tena unasikia Russia inakiuka haki za binadamu! Mara kuna sehemu hazitakiwi kushambuliwa kaaaaa.
Geneva conventions,
Sio kwa sabubu tu uko vitani basi unafanya tu unyang'au wa kila aina.
 
Vita ya USA na Vietnam ilikuwa vita kamili kabisa....hata vita ya Sasa ya Urusi na Ukraine ni vita kamili.
Acha ujinga haikuwa vita kamili! Ilikuwa vita ya kiitikadi kati ubepari na ukommunist! Vile vile bitavya USA na Afghanistan ilikuwa vita ya kiitikadi dhidi ya ugaidi! Hata vita ya USA na Iraq ilikuwa ya kiitikadi juu ya democracy na utawala wa sheria. Full scale war (vita kamili) ni pale ambapo huchagui raia au mwanajeshi! Mfano wa vita vya hizi nchi USA alikuwa anapigana huku wananchi wake akiwapa chakula na matunzo na kutengeneza mpango wa kuwahudumia wasife! Full scale war, Marekani hana mshindani. Kuhusu silaha za nyuklia na uwezo wa kiuchumi wa kuitumia bado hakuna wa kumsogelea Mmarekani! Kwa takwimu USA ana nuclear warhead zaidi ya million 100 mpaka UN ikapiga kelele kuhusu wingi wa stocks za nukes. Nchi nyingine sana sana ikijitahidi itakuwa nazo chache katika makumi tu! Ukizingatia ukubwa na uzito wa nukes moja kuitengeneza akuna anayemsogelea USA. Mfano nukes za Russia na China zenye ukubwa sawa na za USA ni chache sana! Vinchi nyingine vinavyojigamba viba nukes ukubwa na uzito wake ni kama tani 3 hadi 6 wakati nukes za USA zinaenda 30 hadi 45kgs! Chezea wewe
 
Acha ujinga haikuwa vita kamili! Ilikuwa vita ya kiitikadi kati ubepari na ukommunist! Vile vile bitavya USA na Afghanistan ilikuwa vita ya kiitikadi dhidi ya ugaidi! Hata vita ya USA na Iraq ilikuwa ya kiitikadi juu ya democracy na utawala wa sheria. Full scale war (vita kamili) ni pale ambapo huchagui raia au mwanajeshi! Mfano wa vita vya hizi nchi USA alikuwa anapigana huku wananchi wake akiwapa chakula na matunzo na kutengeneza mpango wa kuwahudumia wasife! Full scale war, Marekani hana mshindani. Kuhusu silaha za nyuklia na uwezo wa kiuchumi wa kuitumia bado hakuna wa kumsogelea Mmarekani! Kwa takwimu USA ana nuclear warhead zaidi ya million 100 mpaka UN ikapiga kelele kuhusu wingi wa stocks za nukes. Nchi nyingine sana sana ikijitahidi itakuwa nazo chache katika makumi tu! Ukizingatia ukubwa na uzito wa nukes moja kuitengeneza akuna anayemsogelea USA. Mfano nukes za Russia na China zenye ukubwa sawa na za USA ni chache sana! Vinchi nyingine vinavyojigamba viba nukes ukubwa na uzito wake ni kama tani 3 hadi 6 wakati nukes za USA zinaenda 30 hadi 45kgs! Chezea wewe
Unaanza kutudanganya mzee!?
Punguza porojo bwana,hata maana ya full scale war umekosea kuieleza.
Hizo vita za tia maji tia maji/simple millitary operations USA afeli halafu ashinde full out scale war!?
Hakuna kitu kama hicho.
USA nampa North Korea tu achilia mbali Russia na China.
 
Back
Top Bottom