USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Mwandishi wa Newsweek Magazine la Marekani aitwaye Fareed Zakaria aliwahi kusema kwamba Marekani ana uwezo wa kupigana na nchi zote za Ulaya zikija pamoja na Marekani ikashinda. Pia akaongeza kwamba Marekani can fight in five different fronts and win!
 
Hebu tuache porojo.. ni vita gani ambayo amewahi kupigana peke yake akaishinda.

Vita ya Vietnam alipigwa hadi akajiondoa, Afghanistani aliwakuta taliban na kawaacha yani sawa ameshindwa, pale Iraq alikuwa na collabo.

Sasa unaweza kusemaje akisimama na dunia nzima atashinda au movie zinakuchanganya mzee?
Unauliza maswali ya miaka 250 halafu unajijibu kwa majibu ya miaka 50.
Empires/Superpowers zote kubwa duniani huwa zinatawala kwa kushirikiana na vassal states na kupitia alliances. Mataifa madogo ndio huwa yanapigana vita peke yake. Wamarekani hawapendi kabisa watu wao wafe vitani hata kama watashinda hivyo vita.
 
Unauliza maswali ya miaka 250 halafu unajijibu kwa majibu ya miaka 50.
Empires/Superpowers zote kubwa duniani huwa zinatawala kwa kushirikiana na vassal states na kupitia alliances. Mataifa madogo ndio huwa yanapigana vita peke yake. Wamarekani hawapendi kabisa watu wao wafe vitani hata kama watashinda hivyo vita.
Kwenye masuala ya kijeshi makosa ya zamani huwa yanatumika kama reference hadi leo. Ndio Black Hawk down iliwafundisha wa Marekani na majeshi yote duniani kuwa mashambulizi ya juu ya helcopter mara zote yanabidi yasaidiwe na wanajeshi walioko chini hasa kwenye rescue mission.
Na ndio wanakufa hivyo, wamekufa Vietnam, wamekufa Iraq na wamekufa Afghanistan na kwa kujua hilo ndio maana hajajiingiza less pale Syria maana anajua kama taliban tu walimsumbua Mrusi atawafanyaje
 
Mm nilipo fungua Uzi nikajua labda utatuelezea na kudadavua kinaga ubaga nguvu aliyo nayo USA kitakwimu mitambo aliyo nayo kama vile ndege za kivita, manoari, aircraCarriers compare to the rest of the world. Kumbe ni stori za kwenye vijiwe vya kahawa ?.
Bajeti ya ulinzi ya Marekani ni dola bilion 820, hizi sio stori za vijiwe vya kahawa, ni real business.
 
Kwanza hakuna vita ya vietnam na USA ila nachojua kuna vita kati ya south vietnam vs North vietnam huku USA na China Kama belligerent states tu. Kwanza nisijekuwa najichosha bure ulishawahi kufuatilia chanzo chake? Na iliishaje ishaje
Ona takwimu, yani zaidi ya watu wake milion 3 walihusika katika vita hiyo halafu useme kwamba US hakupigana kwenye hivyo vita.
1717747193401.png
 
Mifano ya marekani kushindwa vita mbona ipo mingi sana mkuu. Vietnam na Cambodia walishindwa , Afghanistan wameshindwa Somalia hapo jirani zetu operation Black hawk down walichinjwa kama njiwa miili ilitapakaa Mogadishu mpaka leo marekani hajawahi kukanyaga Somalia. Mifano ni mingi sijui unazungumzia vita gani
Vita vya Vietnam hawakushindwa, waliamua kuachana na vita kwa sababu za kisiasa, halafu Marekani ya miaka ya 70 ni tofauti sana na hii ya leo.
Marekani haikushindwa Afghanistan, waliamua kuondoka baada ya kuikalia hiyo nchi kwa miaka 20 huku wakiona hakuna hamasa ya WaAfghanistan wenyewe wa kawaida kujipambania na kuondokana na Taliban.
Somali ilikuwa special military operation ya masaa machache, haikuwa vita. Kwenye SMO ya kumnyakua hata gaidi mdogo kwenye nchi dhaifu ni suala la ujasusi na intelejensia zaidi kuliko nguvu za kijeshi, na kosa dogo linaweza kuharibu mission nzima.
 
Nina fahamu mengi ila hapa naongea na mzungukaji tu ambaye ni much know.
-USA kule Somalia walishindwa na walipoteza askari wengi sana na haikuwa Proxy war.
-USA imejaribu kuvamia Iran moja ya majaribio ni 2013,2018 na wakashindwa NAVY SEAL wao wameishia kukamatwa tu.
-USA imeshindwa kukomesha mashambulizi hapo Red sea baab al mandib wakiwa na Manowari zao wenyewe za kivita ila Houthi wanawakula vichwa.
We zunguka unapozunguka ila USA hawezi pigana bila collabo.
Tufanye hivi umeshinda 😆🙌
Basi sawa Russia ndo taifa pekee lenye operations NYINGI zaidi za kijeshi duniani na zote succesfully halafu ni kidume anapigana peke yake bila allies wala misaada
 
Bila shaka mtoa mada ni mpenzi wa movie kama ''without remorse'' nk....zile movie hua zinaonyesha nguvu ya marekani kijeshi lakini sio uhalisia....
hata Russia ni vile tu muvi zinashangaza.....
kwenye mada yako marekani akiamua kupigana na kila nchi bas wale majirani tu kina cuba,mekiko watammaliza...huku wnangu urusi wakiuwa na missile za masafa marefu
(of coz hyo vita haiwez kutokea)
tunasema haiwez kutokea sababu wenzetu(wazungu) wanatumia akili sana kuchambua hatari ya jambo so vita kama unayoizungumzia mtoa mada ni vita yenye hasara kubwa kuliko faida baada ya vita
 
Ona takwimu, yani zaidi ya watu wake milion 3 walihusika katika vita hiyo halafu useme kwamba US hakupigana kwenye hivyo vita.
View attachment 3010835
Umeelewa nilichosema? Au unadandia tren kwa mbele? Nimesema officialy hii ilikuwa ni north vietnam vs south vietnam, Russia, China na USA ni washirika ila uhusika wa Usa ndo ulivuta watu kufuatilia vita hiyo unajua kwa nini? ni nchi inayoogopwa

Kuhusu kushindwa au kusitisha vita hivyo ni jambo lingine maana kuna mengi nyuma ya pazia.
Ndiyo maana wanasiasa wa marekani wengi iliwagharimu vibaya pale walipotaka kujitoa mpaka pale umma ulipoanza kupiga kelele.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Utoto raha Sana
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Kuna watu hapa walifikia hatua ya kusema Iran anaweza kumpiga USA, mimi nawashangaaga sana sijuwi wanawazaga nini
Kuna mwamba mwingine akatwambia China ana Teknolojia kubwa kuliko USA, shida watu wanaongozwa kwa hisia wanashindwa kuona ukweli..
 
Umeelewa nilichosema? Au unadandia tren kwa mbele? Nimesema officialy hii ilikuwa ni north vietnam vs south vietnam, Russia, China na USA ni washirika ila uhusika wa Usa ndo ulivuta watu kufuatilia vita hiyo unajua kwa nini? ni nchi inayoogopwa

Kuhusu kushindwa au kusitisha vita hivyo ni jambo lingine maana kuna mengi nyuma ya pazia.
Ndiyo maana wanasiasa wa marekani wengi iliwagharimu vibaya pale walipotaka kujitoa mpaka pale umma ulipoanza kupiga kelele.
Sasa ndipo hapo mjue, kama South ilisaidiwa na nchi tatu na bado US akashindwa na hizo nchi tatu zilizomsaidia North hadi akatoa majeshi yake, ndipo sasa aweze pigana na dunia nzima ashinde.
Mind you wakati huo alikuwa ana teknolojia kubwa ambazo nchi nyingine hawakuwa nazo kwa wakati huo kitu ambacho ni tofauti kwa sasa.
Mfano wakati wa vita vya Iraq watu walikuwa wanashangaa drones ambazo zinakuwa operated kwenye military base remotely, now hata turkey anayazalisha tu na kuyauza.
 
Huyu anaweza akasema kwamba mfano jeshi la Tanzania linaweza kupambana na raia wote na wakashinda kisa wana silaha, kumbe haoni huu wingi unaweza ukakushinda hata kma hawana silaha
 
Sasa ndipo hapo mjue, kama South ilisaidiwa na nchi tatu na bado US akashindwa na hizo nchi tatu zilizomsaidia North hadi akatoa majeshi yake, ndipo sasa aweze pigana na dunia nzima ashinde.
Mind you wakati huo alikuwa ana teknolojia kubwa ambazo nchi nyingine hawakuwa nazo kwa wakati huo kitu ambacho ni tofauti kwa sasa.
Mfano wakati wa vita vya Iraq watu walikuwa wanashangaa drones ambazo zinakuwa operated kwenye military base remotely, now hata turkey anayazalisha tu na kuyauza.
US hakushindwa vita katika uwanja wa vita bali aliamua kuachana na hivyo vita baada ya upinzani mkali wa hivyo vita nyumbani kutoka kwa raia ambao walikuwa hawaoni maslahi yoyote kwao kuongezeka.
 
Sasa ndipo hapo mjue, kama South ilisaidiwa na nchi tatu na bado US akashindwa na hizo nchi tatu zilizomsaidia North hadi akatoa majeshi yake, ndipo sasa aweze pigana na dunia nzima ashinde.
Mind you wakati huo alikuwa ana teknolojia kubwa ambazo nchi nyingine hawakuwa nazo kwa wakati huo kitu ambacho ni tofauti kwa sasa.
Mfano wakati wa vita vya Iraq watu walikuwa wanashangaa drones ambazo zinakuwa operated kwenye military base remotely, now hata turkey anayazalisha tu na kuyauza.
Kwa mfano angetumia nukes? Hapo ungesemaje angeshindwa tena? Kwa hiyo si kweli kwamba alitumia uwezo wake wote.
 
Back
Top Bottom