USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.

Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.

Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.

Tuje upande wa US vs Russia hapa ni mbingu na ardhi!

Hitler tu na jeshi lake ambalo halikuwa na branches wala nn liliimidi vita miaka 6?

Mwenye akili ajiulize je? Vp US wenye military bases all over the world?

Siitakuwa balaa plus uchumi plus well intergrated intelligence agencies.
Kwa hiyo unafikiri kuwa na military bases all over the world ndo kushinda vita???Watu wanakata tu hiyo supply chain..wanakuwa kama visiwa....Uliza kilichowapata Wajerumani- walikuwa na vikosi mpaka Africa kaskazini pale, Greece n.k baada ya vita kuibuka vyote hivyo ni kuwa blocked tu....
 
Vita ya USA na Vietnam ilikuwa vita kamili kabisa....hata vita ya Sasa ya Urusi na Ukraine ni vita kamili.
Kwanza hakuna vita ya vietnam na USA ila nachojua kuna vita kati ya south vietnam vs North vietnam huku USA na China Kama belligerent states tu. Kwanza nisijekuwa najichosha bure ulishawahi kufuatilia chanzo chake? Na iliishaje ishaje
 
Kwanza hakuna vita ya vietnam na USA ila nachojua kuna vita kati ya south vietnam vs North vietnam huku USA na China Kama belligerent states tu. Kwanza nisijekuwa najichosha bure ulishawahi kufuatilia chanzo chake? Na iliishaje ishaje
Lakini kumbuka US alipeleka troops pale akaweka kambi yani alishiriki hiyo vita moja kwa moja na kwa kuipiga mabomu North Vietnam. Yani ile vita ilikuwa yake alishiriki moja kwa moja na bado ikamshinda akaondoka. Hadi Senator John McCain alikamatwa na kushikiliwa mateka akiwa kama mwanajeshi katika vita hii.
US alikuwa direct involved kwenye hiyo vita tena ni tofauti na Ukraine kusema labada anatoa msaada wa silaha na mafunzo, bali yeye alikuwa on the ground. Ndiyo maana hata movies zao za propaganda zinazohusu vita ya Vietnam wanaonyesha kabisa ni kama wao walikuwa wanapigana moja kwa moja.
 
Umenikumbusha mabishano ya utotoni; Ronaldo (R9) peke yake akicheza na taifa stars anashinda 😅

Anyway, kila mtu duniani ndoto yake ni kufika nchi ya maziwa na asali- USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲. Marais wa Ulaya wenyewe wanacheza green card lottery.
Jisemee mwenyewe. Sio kila mtu. Mimi sina hizo ndoto hata kutembelea tu.
 
Labda ungesema Russia...kidogoo ningekuelewa maana wale watu wanaeneo kubwa na ni gumu sana kulivamia pia wa Russia wanadam ya vita ww ulizia watu walio jaribu kuivamia Russia...Mjerumani mwenyewe alichemka unakuta watu hamsini tu wanakusubiri unapambana nao na ni wabishi hasa na baridi linakupiga lazima uombe pooo.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Imebidi niangalie joined when.

Nikagundua bado uko na story za vijiweni.
 
Lakini kumbuka US alipeleka troops pale akaweka kambi yani alishiriki hiyo vita moja kwa moja na kwa kuipiga mabomu North Vietnam. Yani ile vita ilikuwa yake alishiriki moja kwa moja na bado ikamshinda akaondoka. Hadi Senator John McCain alikamatwa na kushikiliwa mateka akiwa kama mwanajeshi katika vita hii.
US alikuwa direct involved kwenye hiyo vita tena ni tofauti na Ukraine kusema labada anatoa msaada wa silaha na mafunzo, bali yeye alikuwa on the ground. Ndiyo maana hata movies zao za propaganda zinazohusu vita ya Vietnam wanaonyesha kabisa ni kama wao walikuwa wanapigana moja kwa moja.
Kwa hiyo unadhani ingekuwa full scale conflict yaani hadi ma nuke yatumike vietnam ingechukuwa siku ngapi kufika washington na kuiteka?🤣🤣

Ile vita alichokosea USA hakujua kuwa anapigana na wrong enemy na anampigania pia mtu asiye sahihi

Yaani ni sawa na hapa Tz wanaharakati wanaipigania rasilimali zetu ziisiibiwe ila sisi tunaopiganiwa hatuna interest
 
Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.
Akili Ndogo kwako usiyependa kujisomea mambo kiundani zaidi.
Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.
You are less informed.
U.S.A alishindwa battle against Vietnam. U.S.A alitumia kila uwezo wake, isipokuwa nuclear tu, lakini alitoka Bila Bila.
Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.
Marekani ndiye mvunjifu wa haki za binadamu ulimwengu mzima, alafu yeye hataki wengine wavunje hizo zinazoitwa haki za binadamu.
 
Kwa hiyo unadhani ingekuwa full scale conflict yaani hadi ma nuke yatumike vietnam ingechukuwa siku ngapi kufika washington na kuiteka?🤣🤣

Ile vita alichokosea USA hakujua kuwa anapigana na wrong enemy na anampigania pia mtu asiye sahihi

Yaani ni sawa na hapa Tz wanaharakati wanaipigania rasilimali zetu ziisiibiwe ila sisi tunaopiganiwa hatuna interest
Sasa wakiruhusu nuke zitumike hata india si anaweza kuiteketeza dunia nzma tu.
Ile US alikuwa pale ana kambi na askari. Askari wake wengi wamekufa pale hadi maandamano yakatokea kwao japo report zinaonyesha kuwa yaliratibiwa ili aweze kuondoa jesho lake kwa kisingizo maana aliona ile vita hawezi kuishinda na ndicho kilichotokea north na south zikaungana
 
Sasa wakiruhusu nuke zitumike hata india si anaweza kuiteketeza dunia nzma tu.
Ile US alikuwa pale ana kambi na askari. Askari wake wengi wamekufa pale hadi maandamano yakatokea kwao japo report zinaonyesha kuwa yaliratibiwa ili aweze kuondoa jesho lake kwa kisingizo maana aliona ile vita hawezi kuishinda na ndicho kilichotokea north na south zikaungana
Naongelea kipindi kile wangeingia vitani kati ya Usa na vietnam halafu kila mtu atumie uwezo wake wote wa kivita ingechukuwa muda gani kwa vietnam kuiteka washington?

Unajua mnavyoongeleaga USA kushindwa vietnam yaani ni Kama vile vietnam aliiteka america na anaikalia kimabavu
 
Naongelea kipindi kile wangeingia vitani kati ya Usa na vietnam halafu kila mtu atumie uwezo wake wote wa kivita ingechukuwa muda gani kwa vietnam kuiteka washington?

Unajua mnavyoongeleaga USA kushindwa vietnam yaani ni Kama vile vietnam aliiteka america na anaikalia kimabavu
Unajichanganya mzee,hapo inaongelewa millitary operation aliyoefanya USA ndani ya Vietnam ilifeli.
Na haikufeli hiyo tu,hata vita ya Jangsari USA akiisaidia Korea Kusini aliingiza jeshi lake kamili na kila aina ya vifaa ili aisapoti Korea kusini dhidi ya Korea kaskazini,ila alikumbana na kibano cha jeshi la China likitumia silaha za kisoviet.
Mbona alirudi na kutaka yaishe na wakakaa mezani!?
Na hata world war 2 kama USA asingepiga nukes pale Hiroshima basi ile vita alikua anapigwa na Japan.
Japan alishaanza kulidhibiti kimapigano jeshi la USA ila zile nukes ziliwanyong'onyesha.
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Akili za upinde
 
Back
Top Bottom