Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,091
- 3,695
Ni mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu MaonihuruHizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Ni mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tua anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintifahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
Maonyo ya Putin kuhusu taifa lolote litakalojiingiza kwenye vita hizo, kwamba litajutia uamuzi wake huo, onyo hilo Putin alilitoa hali ya kuwa ni mtoto asiyekomaa kiakili?Ni kuwa sababu kuu hao NATO walishaingia zamani huko Ukraine na ndiyo ikasababisha mrusi kuingia kijeshi kwani Zelinsky alikataa kuwaondoa
Maonyo ya Putin kuhusu taifa lolote litakalojiingiza kwenye vita hizo, kwamba litajutia uamuzi wake huo, onyo hilo Putin alilitoa hali ya kuwa ni mtoto asiyekomaa kiakili?
Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO
Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?
Urusi kwa miaka 2 inmeteka eneo la ukubwa wa kilometa za mraba 760; Ukrain imeteka eneo la Urusi la ukubwa wa kilometa za mraba 1,125. Ndani ya wiki 2. Hivi ni nani aliyefanikiwa zaidi?
Ukraine imeshambulia na kuangamiza submarines na meli za kivita zaidi ya 10 kutumia drones, imeangamiza ndege za kivita za Warusi, maghala ya silaha ya Urusi, store za mafuta za Urusi na madaraja ya Urusi kwa kutumia drones kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinfanisha na wa Urusi.
Kwa ujumla kwenye matumizi ya drones, Ukraine imepata mafanikio makubwa kuliko Russia.
Hao askari wa USA ambao wanajifunza kutoka Ukraine kwente vita vya kitumia drones, siyo kwamba wanaenda Ukraine au Urusi bali wanareview systems zao kwa kuzingatia mafanikio ya Ukraine kwenye vita yake dhidi ya Russia.
Shida sio kumudu, unamudu huku nchi inamegwa,,,,,mwamba mipango yake inaendelea kama anavyotakaNi mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
Una akili kweli? JitafakariHizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Ni mjinga pekee atakaye amini anayepigwa hapo ni Ukraine pekee na sio NATONi mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
mkuu mbona umeandka kimahaba sn unakumbuka wkt urusi inavamia ukraine putin alisema atakayemsaidia ukraine atabondwa kisawasawa sa saivi unandka pumba hp eti knachomzuia urusi kupga nato n hz pumba zako wkt sbb ya urusi kuwapga nato alishasema ktambo na hajawai thubutu kuwapga.Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Dah ni Mjinga TU ndio anaweza kuamini kua Ukraine peke yake amemudu kupigana na Urusi Kwa miaka miwili.Ni mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, hivi ni kweli Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
Sijaandika kimahaba na wala sijaandika pumba,ila wewe kichwa chako ndio kimejaa pumba,huelewi chochote kuhusu Sheria za vita.mkuu mbona umeandka kimahaba sn unakumbuka wkt urusi inavamia ukraine putin alisema atakayemsaidia ukraine atabondwa kisawasawa sa saivi unandka pumba hp eti knachomzuia urusi kupga nato n hz pumba zako wkt sbb ya urusi kuwapga nato alishasema ktambo na hajawai thubutu kuwapga.
mkuu mbona umeandka kimahaba sn unakumbuka wkt urusi inavamia ukraine putin alisema atakayemsaidia ukraine atabondwa kisawasawa sa saivi unandka pumba hp eti knachomzuia urusi kupga nato n hz pumba zako wkt sbb ya urusi kuwapga nato alishasema ktambo na hajawai thubutu kuwapga.
Unanipiga Mkwara au,πππUna akili kweli? Jitafakari