USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Je marafiki wa Urusi wasipoingia vitani kiaina itakuwaje?
 
Huyu Zelenski ni Marekani aliyepandikizwa pale Ukraine kama angekuwa ni Myuklaine angelionea huruma nchi yake na watu wake maana Ukraine haifaidiki chochote na hi vita ila Marekani ndio anafaidika Kwa sababu ndio njia pekee Kwake ya kuifanyia Urusi isiwe super power
Amepandikizwa kama alivyopandikizwa Netanyau Israel Ili achafue amani mashariki ya kati

Ni Mawazo yangu tu
Sasa si ndiyo hivyo, ndio maana urusi anataka kumtoa ili nae aweke mtu wake raisi.

Kwa hiyo Putin akomae tu, hadi nae aweke mtu wake.
 
kijiji kimoja cha Tanzania ni kidogo kuliko wilaya kata moja ya Rwanda ?
Elewa hizo nchi mbili halilingani ukubwa , Jimbo moja la Urusi linaweza kuwa sawa na nusu ya Ukraine so ukisikia vijiji wanamaanisha ni eneo kubwa haswa sawa na miji yetu kama Lindi mjini au Moshi mjini au Bukoba mjini

iwapo Urusi ina vijiji 13000 na Tanzania ina vijiji 1280 hv , sasa linganisha ukubwa wa nchi na idadi ya vijiji na upate picha kamili

Bila kusahau Tanzania inaingia mara 18 kwa Urusi
dooh shule muhimu na kukurupuka na kuropoka naomba isiwakute watoto wangu maana hii comment yako ni ishara ya kwamba turudi shule...ukraine kakalia vijiji kama 10 na ndani russia na russia amekalia mikoa kama 3 ndani ya ukraine hapo hizo mraba zako umezitoa wapi?
i
 
nilijua tu USA 🇺🇸 angeingia utani Russia akiwa amechoka sana?!!
 
Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?

Urusi kwa miaka 2 imeteka eneo la Ukraine kenye ukubwa wa kilometa za mraba 760; Ukrain imeteka eneo la Urusi la ukubwa wa kilometa za mraba 1,125 ndani ya wiki 2. Hivi ni nani aliyefanikiwa zaidi?

Ukraine imeshambulia na kuangamiza submarines na meli za kivita zaidi ya 10 kutumia drones, imeangamiza ndege za kivita za Warusi, maghala ya silaha ya Urusi, store za mafuta za Urusi na madaraja ya Urusi kwa kutumia drones, kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinganisha na wa Urusi.

Kwa ujumla kwenye matumizi ya drones, Ukraine imepata mafanikio makubwa kuliko Russia.

Hao askari wa USA ambao wanajifunza kutoka Ukraine kwenye vita vya kutumia drones, siyo kwamba wanaenda Ukraine au Urusi bali wanareview systems zao kwa kuzingatia mafanikio ya Ukraine kwenye vita yake dhidi ya Russia.
kwa kutuonaje vile ...
 
kijiji kimoja cha Tanzania ni kidogo kuliko wilaya kata moja ya Rwanda ?
Elewa hizo nchi mbili halilingani ukubwa , Jimbo moja la Urusi linaweza kuwa sawa na nusu ya Ukraine so ukisikia vijiji wanamaanisha ni eneo kubwa haswa sawa na miji yetu kama Lindi mjini au Moshi mjini au Bukoba mjini

iwapo Urusi ina vijiji 13000 na Tanzania ina vijiji 1280 hv , sasa linganisha ukubwa wa nchi na idadi ya vijiji na upate picha kamili

Bila kusahau Tanzania inaingia mara 18 kwa Urusi

i
Ukraine kafanya uvamizi ila hakuna alipopateka.
Sehemu uliyoteka ni ile unaidhibiti tayari,ila Ukraine hajapata udhibiti wa Kursk bado.
 
We unadhani hajachoka?? Kipande chake cha ardhi kutekwa na nchi ndogo na dhaifu ya Ukraine.
Hakijatekwa kimevamiwa.
Na hiko kikosi cha Ukraine bado kipo palepale walipovamia na mashambulizi yanaendelea.
Sehemu uliyoiteka unakua na udhibiti nayo,ila Ukraine hana udhibiti wowote wa hilo eneo hadi sasa.
Anahangaika tu akijaribu kutaka kupalinda.
 
Marekani huwa hajifanyi mjuaji. Alipoenda Afghanistan alijikuta ana silaha nzitonzito pekee wakati Taleban hawana hata anti tank missiles na terrain ya Afghanistan ni milima na miinuko. Na wakati huo tishio la vikosi vya Marekani likawa ni IEDs ambazo zimesababisha 60% ya vifo na majeruhi kwa kipindi chote.

Kampuni ya South Africa ndio ilitoa suluhisho na kuuza mine-resistance ambush protected vehicles (MRAPs). Na South Africa walijifunza kwa maumivu tangu vita ya Angola.

Hivyo kwenye hii dunia ukitaka kukaa juu, jifunze kwa kila yeyote. Hata Urusi ilienda kujifunza drones kwa Israel na ikafanya licence production ya kwanza ila ilikuwa ni surveillance. Then Urusi baadae ikaenda Iran kuchukua Shaheed ambazo ni suicide.

Ukijifanya hutaki kujifunza utabaki nyuma.
Wewe utakuwa mjeda , unajua mambo mengi ya kijeshi.
 
Mzuka umepanda.

Sio mbaya kujifunza kwa aliye Fanikiwa.

USA 🇺🇸 wamepeleka kikosi hiko ili kupata uzoefu wa kupambana na drone na Electorinical war fare.
Zama za kupigana vita Ofisini zimesha wadia
The U.S. Army has formed a new unit to learn from Ukraine's experience with drones and electronic warfare. The Pentagon plans to integrate lessons from Ukraine's use of these technologies into its own military, recognizing their significant impact on modern warfare.
Enter Her father
 
Hakijatekwa kimevamiwa.
Na hiko kikosi cha Ukraine bado kipo palepale walipovamia na mashambulizi yanaendelea.
Sehemu uliyoiteka unakua na udhibiti nayo,ila Ukraine hana udhibiti wowote wa hilo eneo hadi sasa.
Anahangaika tu akijaribu kutaka kupalinda.
Wameteka km1000+ za mraba week ya tatu sasa wewe huoni kama tatizo kwa ardhi ya urusi kuguswa?? Aka super power but actually a paper tiger
 
Wameteka km1000+ za mraba week ya tatu sasa wewe huoni kama tatizo kwa ardhi ya urusi kuguswa?? Aka super power but actually a paper tiger
Km mraba 1000 ni ndogo sana huwezi fananisha na kilometa mraba 162000 alizochukua Russia toka kwa Ukraine ambazo ni sawa na 27% ya eneo la nchi ya Ukraine,ni sawa useme Russia kateka robo ya nchi ya Ukraine.
Pia huwezi sema wameiteka in general maana hawadhibiti kitu chochote pale,na bado mashambulizi ya kupakomboa yanaendelea.
 
Back
Top Bottom