USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?

Urusi kwa miaka 2 imeteka eneo la Ukraine kenye ukubwa wa kilometa za mraba 760; Ukrain imeteka eneo la Urusi la ukubwa wa kilometa za mraba 1,125 ndani ya wiki 2. Hivi ni nani aliyefanikiwa zaidi?

Ukraine imeshambulia na kuangamiza submarines na meli za kivita zaidi ya 10 kutumia drones, imeangamiza ndege za kivita za Warusi, maghala ya silaha ya Urusi, store za mafuta za Urusi na madaraja ya Urusi kwa kutumia drones, kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinganisha na wa Urusi.

Kwa ujumla kwenye matumizi ya drones, Ukraine imepata mafanikio makubwa kuliko Russia.

Hao askari wa USA ambao wanajifunza kutoka Ukraine kwenye vita vya kutumia drones, siyo kwamba wanaenda Ukraine au Urusi bali wanareview systems zao kwa kuzingatia mafanikio ya Ukraine kwenye vita yake dhidi ya Russia.
Mkuu Bams hivi wewe Kwa akili Yako unaamini Ukraine ana uwezo wa kukabiliana na jeshi la Urusi?
Kwa hiyo wewe huamini kabisa kua NATO wako nyuma ya Ukraine?
Mimi naona wewe ndio unaishi Dunia nyingine kabisa kama huoni jinsi wataalamu ,makamnada na askari wa NATO wanaofia vitani huko Ukraine baada ya kuzikwa kwenye mashimo na makombora ya Urusi.
Huoni silaha za NATO zina vyotetekezwa na jeshi la Urusi au hua husikii zelensky anapoomba waongeze misaada ya silaha?
Au huoni vikwazo ana yowekewa Urusi ili kumdhoofisha?
Nakubali bila ubishi kabisa kua Ukraine wanapiga meli na silaha z Urusi,je ni kweli hujui kua wanaotoa code ni wataalamu wa NATO esp USA ,UK na France etc?
Kwa kifupi ni kwamba NATO wanaogopa TU kutangaza article 5 kwa sababu hiyo ndio itakua vita rasmi baina ya Urusi na NATO.
Hapo ndipo hata Urusi ataweza kushambulia silaha ama Kambi zozote za NATO mahala popote Duniani.
Kama huamini NATO wanaipa misaada Ukraine je ni Kwa Nini NATO anaomba ruhusa ya kuzitumia kupinga ndani kabisa ya ardhi ya Urusi?
Urusi kakamata ardhi kubwa na hatakaa airudishe mazima,lak I haki kajisehemu alikovamia Ukraine wala hata kaa Bali ama ataindoka ama ataondolewa kwa nguvu.
Kimsingi Urusi ameteka maeneo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi wakati sio hivyo kwa Ukraine huko Kursk.
 
Dah ni Mjinga TU ndio anaweza kuamini kua Ukraine peke yake amemudu kupigana na Urusi Kwa miaka miwili.
Hii wala Haihitaji ushahidi mkubwa,kwa sababu tunaona na kuisikia Kila siku NATO wanachangishana silaha,fedha na vikwazo kuisaidia Ukraine.
Tuanaona vikao vya NATO Kila siku,Sasa Cha kujiuliza anaepigwa ni Ukraine NATO wanakaa kujadilia nini?
anaepigwa ni Ukraine EU USA na west wanaiwekea vikwazo Urusi kwa Nini?
Mtu akiweza kujua hayo wala hawezi kushangaa kwa Nini Ukraine ame survive muda wote huo.
Kwa mara ya kwanza tokea Dunia imeumbwa hakuna n hi iliyowahi kupewa misaada mikubwa ya kijeshi na kiintelijesnsia kiintelijesnsia kama Ukraine.
Faida kubwa anayoipata Ukraine katika medani za vita ni kushare mipaka na nchi za NATO,hii inaipa urahisi NATO kutililisha silaha kirahisi sana.
Hata hivyo mpaka hapa Urusi inastahili kupewa heshima yake.
Angekua USA ndio anapigana na Ukraine na kwa misaada anayopewa Ukraine,USA ama angeshapiga bomu la nuke ama angeshaikimbia vita hii.
Mfano ni vita kati ya USA na Watalaban wa Afghanistan.
Unapokuwa unaizungumzia USA uwe na adabu kidogo kijana

Wewe hapa ukiulizwa juu ya uwezo wa majeshi katika dunia tuliyopo, utaitaja USA

Ukiulizwa bajeti kubwa zaidi inayotengwa na nchi kote duniani juu ya majeshi ya nchi zao, bado utaitaja USA

Ukiulizwa Taifa linaloongoza kwa uchumi Duniani, bado utaitaja USA

Hicho kiherere cha kusema USA si lolote ni nini?

Hata ukiulizwa juu ya taifa linaloongoza kugawa misaada mpaka kwenye yako Kenya, bado utaitaja USA

Kuwa na adabu basi kijana
 
Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Taarifa haisemi kusaidia
 
Unapokuwa unaizungumzia USA uwe na adabu kidogo kijana

Wewe hapa ukiulizwa juu ya uwezo wa majeshi katika dunia tuliyopo, utaitaja USA

Ukiulizwa bajeti kubwa zaidi inayotengwa na nchi kote duniani juu ya majeshi ya nchi zao, bado utaitaja USA

Ukiulizwa Taifa linaloongoza kwa uchumi Duniani, bado utaitaja USA

Hicho kiherere cha kusema USA si lolote ni nini?

Hata ukiulizwa juu ya taifa linaloongoza kugawa misaada mpaka kwenye yako Kenya, bado utaitaja USA

Kuwa na adabu basi kijana
Hapa tunazungumzia vita hatuzungumzii uchumi wala bajeti wala utoaji wa misaada.
Nimetoa maoni yangu kulingana na mada iliyopo mezani.
Katika vita ukiulizwa ni nchi Gani imewahi kuipiga nchi nyingine kwa bomu la nyukilia hapa duniani,nadhani utasema USA.
Je ni Kwa Nini ilipiga utasema ilizidiwa.
Ukliulizwa ni nchi Gani ilikimbia vita kati ya watalaban na USA utasema USA,ukiulizwa kwa Nini ilikimbia utasema kwa sababu ilizidiwa.
Ukiulizwa kati ya USA na Vietnam ni nchi IPi ilishindwa vita utasema Vietnam.
Sasa ukiulizwa kati ya watalaban,Vietnam na USA nani ana bajeti kubwa nadhani utasema USA,na ukiulizwa kama Ina bajeti kubwa mbona imepigwa na nchi hizo nadhani utaona aibu kujibu,na mwisho kabisa utalia.
 
Sijaandika kimahaba na wala sijaandika pumba,ila wewe kichwa chako ndio kimejaa pumba,huelewi chochote kuhusu Sheria za vita.
Iko hivi ngoja nikueleweshe kwa sababu hujui kitu chochote.

Urusi Hadi Sasa Haijapata sababu za kuishambulia nchi yoyote ya NATO Kwa sababu hata NATO na wao wanaingiza wanajeshi wao kwa kujificha katika kichaka Cha marcenaries.
NATO wanatakiwa watoe tangazo la vita la Article 5 ya NATO ambayo inasema mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa wote wamevamiwa .
Na hawawezi kutoa tangazo hilo kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO.
Na wakitangaza hata kama Ukraine sio mwanachama basi hapo ndipo Urusi nae Sasa atakua amepata sababu ya kuzishambulia nchi za nato.
Na pia hata marafiki wa Urusi nao watapata sababu halisi ya kuingia vitani rasmi kuisaidia Urusi.
Kwa hiyo ukiangalia utaona ni NATO ndio wanaogopa.
Nae Urusi wala Hadi Sasa hajatangaza vita na Ukraine Bali ametangaza special Military operation TU.SMO.
Kumbuka kuna tofauti kati ya SMO na Full scale war.
Kwa hiyo Urusi Leo hawezi kuipiga London,Paris au Washington,ila NATO wakitangaza rasmi kutumia Article 5 ujue Urusi Sasa ana kua na Hali ya kupiga kambi zote za NATO mahala popote duniani,na uwezo huo anao.

Soma hapa ili ujielimishe.

Article 5 provides that if a NATO Ally is the victim of an armed attack, each and every other member of the Alliance will consider this act of violence as an armed attack against all members and will take the actions it deems necessary to assist the Ally attacked.4 Jul 2023
Wala wewe hakuna unacho fahamu unaongea kishabiki tu. Bure kabisa.
 
kwan si mlisema wameshaenda , waende mara ngap bwashee ?
Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
 
Mkuu Bams hivi wewe Kwa akili Yako unaamini Ukraine ana uwezo wa kukabiliana na jeshi la Urusi?
Kwa hiyo wewe huamini kabisa kua NATO wako nyuma ya Ukraine?
Mimi naona wewe ndio unaishi Dunia nyingine kabisa kama huoni jinsi wataalamu ,makamnada na askari wa NATO wanaofia vitani huko Ukraine baada ya kuzikwa kwenye mashimo na makombora ya Urusi.
Huoni silaha za NATO zina vyotetekezwa na jeshi la Urusi au hua husikii zelensky anapoomba waongeze misaada ya silaha?
Au huoni vikwazo ana yowekewa Urusi ili kumdhoofisha?
Nakubali bila ubishi kabisa kua Ukraine wanapiga meli na silaha z Urusi,je ni kweli hujui kua wanaotoa code ni wataalamu wa NATO esp USA ,UK na France etc?
Kwa kifupi ni kwamba NATO wanaogopa TU kutangaza article 5 kwa sababu hiyo ndio itakua vita rasmi baina ya Urusi na NATO.
Hapo ndipo hata Urusi ataweza kushambulia silaha ama Kambi zozote za NATO mahala popote Duniani.
Kama huamini NATO wanaipa misaada Ukraine je ni Kwa Nini NATO anaomba ruhusa ya kuzitumia kupinga ndani kabisa ya ardhi ya Urusi?
Urusi kakamata ardhi kubwa na hatakaa airudishe mazima,lak I haki kajisehemu alikovamia Ukraine wala hata kaa Bali ama ataindoka ama ataondolewa kwa nguvu.
Kimsingi Urusi ameteka maeneo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi wakati sio hivyo kwa Ukraine huko Kursk.
Kama ni swala la msaada kila moja anasaidiwa kwani mara ngapi tumeona Russia anavyopewa misaada ya silaha kutoka nchi zingine kama Iran, China na Korea Kz.

Laiti kama nchi za magharibi zingeruhusu silaha zao zitumike kupiga ndani ya Russia basi vita vingeishaisha kitambo sana.
 
Urusi kaipiga Ukraine , huku eneo moj la Urusi limetekwa
Ni mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru

Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,

Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, hivi ni kweli Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?

Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
 
u
Mkuu Bams hivi wewe Kwa akili Yako unaamini Ukraine ana uwezo wa kukabiliana na jeshi la Urusi?
Kwa hiyo wewe huamini kabisa kua NATO wako nyuma ya Ukraine?
Mimi naona wewe ndio unaishi Dunia nyingine kabisa kama huoni jinsi wataalamu ,makamnada na askari wa NATO wanaofia vitani huko Ukraine baada ya kuzikwa kwenye mashimo na makombora ya Urusi.
Huoni silaha za NATO zina vyotetekezwa na jeshi la Urusi au hua husikii zelensky anapoomba waongeze misaada ya silaha?
Au huoni vikwazo ana yowekewa Urusi ili kumdhoofisha?
Nakubali bila ubishi kabisa kua Ukraine wanapiga meli na silaha z Urusi,je ni kweli hujui kua wanaotoa code ni wataalamu wa NATO esp USA ,UK na France etc?
Kwa kifupi ni kwamba NATO wanaogopa TU kutangaza article 5 kwa sababu hiyo ndio itakua vita rasmi baina ya Urusi na NATO.
Hapo ndipo hata Urusi ataweza kushambulia silaha ama Kambi zozote za NATO mahala popote Duniani.
Kama huamini NATO wanaipa misaada Ukraine je ni Kwa Nini NATO anaomba ruhusa ya kuzitumia kupinga ndani kabisa ya ardhi ya Urusi?
Urusi kakamata ardhi kubwa na hatakaa airudishe mazima,lak I haki kajisehemu alikovamia Ukraine wala hata kaa Bali ama ataindoka ama ataondolewa kwa nguvu.
Kimsingi Urusi ameteka maeneo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi wakati sio hivyo kwa Ukraine huko Kursk.
unaandika kama vile upo front vitan , muwe mnasoma mnayoandika mkihojiwa tupen ushaahidi mnabakia kung'amua macho
 
Hapa tunazungumzia vita hatuzungumzii uchumi wala bajeti wala utoaji wa misaada.
Nimetoa maoni yangu kulingana na mada iliyopo mezani.
Katika vita ukiulizwa ni nchi Gani imewahi kuipiga nchi nyingine kwa bomu la nyukilia hapa duniani,nadhani utasema USA.
Je ni Kwa Nini ilipiga utasema ilizidiwa.
Ukliulizwa ni nchi Gani ilikimbia vita kati ya watalaban na USA utasema USA,ukiulizwa kwa Nini ilikimbia utasema kwa sababu ilizidiwa.
Ukiulizwa kati ya USA na Vietnam ni nchi IPi ilishindwa vita utasema Vietnam.
Sasa ukiulizwa kati ya watalaban,Vietnam na USA nani ana bajeti kubwa nadhani utasema USA,na ukiulizwa kama Ina bajeti kubwa mbona imepigwa na nchi hizo nadhani utaona aibu kujibu,na mwisho kabisa utalia.
kama USA ni mtupu kiasi hicho , je China , Urusi na NK wanasubir nin ?
 
silaha zinateketezwa ila vita haiishi , kwan Ukraine wanapigania mishale siku hz
Mkuu Bams hivi wewe Kwa akili Yako unaamini Ukraine ana uwezo wa kukabiliana na jeshi la Urusi?
Kwa hiyo wewe huamini kabisa kua NATO wako nyuma ya Ukraine?
Mimi naona wewe ndio unaishi Dunia nyingine kabisa kama huoni jinsi wataalamu ,makamnada na askari wa NATO wanaofia vitani huko Ukraine baada ya kuzikwa kwenye mashimo na makombora ya Urusi.
Huoni silaha za NATO zina vyotetekezwa na jeshi la Urusi au hua husikii zelensky anapoomba waongeze misaada ya silaha?
Au huoni vikwazo ana yowekewa Urusi ili kumdhoofisha?
Nakubali bila ubishi kabisa kua Ukraine wanapiga meli na silaha z Urusi,je ni kweli hujui kua wanaotoa code ni wataalamu wa NATO esp USA ,UK na France etc?
Kwa kifupi ni kwamba NATO wanaogopa TU kutangaza article 5 kwa sababu hiyo ndio itakua vita rasmi baina ya Urusi na NATO.
Hapo ndipo hata Urusi ataweza kushambulia silaha ama Kambi zozote za NATO mahala popote Duniani.
Kama huamini NATO wanaipa misaada Ukraine je ni Kwa Nini NATO anaomba ruhusa ya kuzitumia kupinga ndani kabisa ya ardhi ya Urusi?
Urusi kakamata ardhi kubwa na hatakaa airudishe mazima,lak I haki kajisehemu alikovamia Ukraine wala hata kaa Bali ama ataindoka ama ataondolewa kwa nguvu.
Kimsingi Urusi ameteka maeneo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi wakati sio hivyo kwa Ukraine huko Kursk.
 
Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?

Urusi kwa miaka 2 imeteka eneo la Ukraine kenye ukubwa wa kilometa za mraba 760; Ukrain imeteka eneo la Urusi la ukubwa wa kilometa za mraba 1,125 ndani ya wiki 2. Hivi ni nani aliyefanikiwa zaidi?

Ukraine imeshambulia na kuangamiza submarines na meli za kivita zaidi ya 10 kutumia drones, imeangamiza ndege za kivita za Warusi, maghala ya silaha ya Urusi, store za mafuta za Urusi na madaraja ya Urusi kwa kutumia drones, kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinganisha na wa Urusi.

Kwa ujumla kwenye matumizi ya drones, Ukraine imepata mafanikio makubwa kuliko Russia.

Hao askari wa USA ambao wanajifunza kutoka Ukraine kwenye vita vya kutumia drones, siyo kwamba wanaenda Ukraine au Urusi bali wanareview systems zao kwa kuzingatia mafanikio ya Ukraine kwenye vita yake dhidi ya Russia.
dooh shule muhimu na kukurupuka na kuropoka naomba isiwakute watoto wangu maana hii comment yako ni ishara ya kwamba turudi shule...ukraine kakalia vijiji kama 10 na ndani russia na russia amekalia mikoa kama 3 ndani ya ukraine hapo hizo mraba zako umezitoa wapi?
 
Hivi wewe unaishi Ulimwengu wa wapi?

Urusi kwa miaka 2 imeteka eneo la Ukraine kenye ukubwa wa kilometa za mraba 760; Ukrain imeteka eneo la Urusi la ukubwa wa kilometa za mraba 1,125 ndani ya wiki 2. Hivi ni nani aliyefanikiwa zaidi?

Ukraine imeshambulia na kuangamiza submarines na meli za kivita zaidi ya 10 kutumia drones, imeangamiza ndege za kivita za Warusi, maghala ya silaha ya Urusi, store za mafuta za Urusi na madaraja ya Urusi kwa kutumia drones, kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinganisha na wa Urusi.

Kwa ujumla kwenye matumizi ya drones, Ukraine imepata mafanikio makubwa kuliko Russia.

Hao askari wa USA ambao wanajifunza kutoka Ukraine kwenye vita vya kutumia drones, siyo kwamba wanaenda Ukraine au Urusi bali wanareview systems zao kwa kuzingatia mafanikio ya Ukraine kwenye vita yake dhidi ya Russia.
Huu uongo unamuhadithia nani kijana??
Au unatuchukulia sisi watoto!?
Hesabu zimepigwa zaidi ya 25% ya nchi ya Urusi imemegwa.
Wewe unataja kilometa mraba 700!?
Are you serious??
Donbas,Donetsk,Kharkiv,Mariupol hivi hizi zote ndio kilometa mraba 700 peke yake??
Huongei na watoto hapa sawa??
 
Dah ni Mjinga TU ndio anaweza kuamini kua Ukraine peke yake amemudu kupigana na Urusi Kwa miaka miwili.
Hii wala Haihitaji ushahidi mkubwa,kwa sababu tunaona na kuisikia Kila siku NATO wanachangishana silaha,fedha na vikwazo kuisaidia Ukraine.
Tuanaona vikao vya NATO Kila siku,Sasa Cha kujiuliza anaepigwa ni Ukraine NATO wanakaa kujadilia nini?
anaepigwa ni Ukraine EU USA na west wanaiwekea vikwazo Urusi kwa Nini?
Mtu akiweza kujua hayo wala hawezi kushangaa kwa Nini Ukraine ame survive muda wote huo.
Kwa mara ya kwanza tokea Dunia imeumbwa hakuna n hi iliyowahi kupewa misaada mikubwa ya kijeshi na kiintelijesnsia kiintelijesnsia kama Ukraine.
Faida kubwa anayoipata Ukraine katika medani za vita ni kushare mipaka na nchi za NATO,hii inaipa urahisi NATO kutililisha silaha kirahisi sana.
Hata hivyo mpaka hapa Urusi inastahili kupewa heshima yake.
Angekua USA ndio anapigana na Ukraine na kwa misaada anayopewa Ukraine,USA ama angeshapiga bomu la nuke ama angeshaikimbia vita hii.
Mfano ni vita kati ya USA na Watalaban wa Afghanistan.
EMbu soma hapo kilometa mraba alizoteka Russia toka Ukraine na uache kudanganya watu.
Screenshot_2024-08-26-18-47-36-66_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Mkuu Bams hivi wewe Kwa akili Yako unaamini Ukraine ana uwezo wa kukabiliana na jeshi la Urusi?
Kwa hiyo wewe huamini kabisa kua NATO wako nyuma ya Ukraine?
Mimi naona wewe ndio unaishi Dunia nyingine kabisa kama huoni jinsi wataalamu ,makamnada na askari wa NATO wanaofia vitani huko Ukraine baada ya kuzikwa kwenye mashimo na makombora ya Urusi.
Huoni silaha za NATO zina vyotetekezwa na jeshi la Urusi au hua husikii zelensky anapoomba waongeze misaada ya silaha?
Au huoni vikwazo ana yowekewa Urusi ili kumdhoofisha?
Nakubali bila ubishi kabisa kua Ukraine wanapiga meli na silaha z Urusi,je ni kweli hujui kua wanaotoa code ni wataalamu wa NATO esp USA ,UK na France etc?
Kwa kifupi ni kwamba NATO wanaogopa TU kutangaza article 5 kwa sababu hiyo ndio itakua vita rasmi baina ya Urusi na NATO.
Hapo ndipo hata Urusi ataweza kushambulia silaha ama Kambi zozote za NATO mahala popote Duniani.
Kama huamini NATO wanaipa misaada Ukraine je ni Kwa Nini NATO anaomba ruhusa ya kuzitumia kupinga ndani kabisa ya ardhi ya Urusi?
Urusi kakamata ardhi kubwa na hatakaa airudishe mazima,lak I haki kajisehemu alikovamia Ukraine wala hata kaa Bali ama ataindoka ama ataondolewa kwa nguvu.
Kimsingi Urusi ameteka maeneo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi wakati sio hivyo kwa Ukraine huko Kursk.
Kote huko tumuache,anatudanganyaje Russia ameteka kilometa mraba 700 za Ukraine??
Huyu anatudanganyaje hivi??
Kwahiyo ukiichukua Kharkiv,Donetsk,Donbas,Mariupol ndio sawa na kilometa mraba 700??
Tena anaongea bila aibu.
 
dooh shule muhimu na kukurupuka na kuropoka naomba isiwakute watoto wangu maana hii comment yako ni ishara ya kwamba turudi shule...ukraine kakalia vijiji kama 10 na ndani russia na russia amekalia mikoa kama 3 ndani ya ukraine hapo hizo mraba zako umezitoa wapi?
Yani hata mimi nimemshangaa.
😂😂😂😂😂Ripoti zinasema 27% ya nchi ya Ukraine imemegwa kuanzia uvamizi wa 2022,sasa tujiulize 27% ya Ukraine ni sawa na kilometa mraba 700!?
 
Huyu Zelenski ni Marekani aliyepandikizwa pale Ukraine kama angekuwa ni Myuklaine angelionea huruma nchi yake na watu wake maana Ukraine haifaidiki chochote na hi vita ila Marekani ndio anafaidika Kwa sababu ndio njia pekee Kwake ya kuifanyia Urusi isiwe super power
Amepandikizwa kama alivyopandikizwa Netanyau Israel Ili achafue amani mashariki ya kati

Ni Mawazo yangu tu
 
Back
Top Bottom