USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

Urusi hahitaji kuteka maeneo zaidi.
 
Kwanza sio kweli kuwa Russia imeteka eneo la Ukraine kwa ukubwa unaoutaja sio kweli unless leta chanzo cha taarifa yako
 
Haaaah...! Kweli?
 
Kwanini tuandikie mate angali wino upo??

View attachment 3080708
Before 2022, Russia occupied 42,000 km2 (16,000 sq mi) of Ukrainian territory (Crimea, and parts of Donetsk and Luhansk), and occupied an additional 119,000 km2 (46,000 sq mi) after its full-scale invasion by March 2022, a total of 161,000 km2 (62,000 sq mi) or almost 27% of Ukraine's territory.[7] By 11 November 2022, the Institute for the Study of War calculated that Ukrainian forces had liberated an area of 74,443 km2 (28,743 sq mi) from Russian occupation,[8] leaving Russia with control of about 18% of Ukraine's territory.[9] During the entire 2023, the Russian forces only captured 518 km2 (200 sq mi) of Ukrainian territory, despite huge losses on the battlefield
 
Unaniletea habari za kuunga unga??
Unataka kuniambia Kharkiv,Mariupol,Donetsk,Luhansk na Donbas ni sawa na kilometa mraba 550+??
Bro yani maeneo yote hayo ni sawa ana kilometa mraba 500??
Embu kuwa serious.

 
Hahahaah sasa hivi umepunguza toka 160km hadi 90km ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜† alaf kharkiv haijatekwa na hizi majimbo ma4 hayakuwahi kutekwa yote ukiitoa Crimea kuwa makini na vyanzo vya taarifa
 
Hahahaah sasa hivi umepunguza toka 160km hadi 90km ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜† alaf kharkiv haijatekwa na hizi majimbo ma4 hayakuwahi kutekwa yote ukiitoa Crimea kuwa makini na vyanzo vya taarifa
Inamaana Aljazeera wanaongopa!??
Aljazeera English news waliopokea best broadcasters wanaongopa!??
Kharkiv imetekwa hutaki rudia habari hiyo hapo.
 
Hahahaah sasa hivi umepunguza toka 160km hadi 90km ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜† alaf kharkiv haijatekwa na hizi majimbo ma4 hayakuwahi kutekwa yote ukiitoa Crimea kuwa makini na vyanzo vya taarifa
Inamaana Aljazeera wanaongopa!??
Aljazeera English news waliopokea best broadcasters wanaongopa!??
Kharkiv imetekwa hutaki rudia habari hiyo hapo.
Ni 90k kilometres sio 90 kilometres.
 
Hatari sana.
Hesabu imekuwa ngumu kiasi hiki kweli?
 
Inamaana Aljazeera wanaongopa!??
Aljazeera English news waliopokea best broadcasters wanaongopa!??
Kharkiv imetekwa hutaki rudia habari hiyo hapo.
Ni 90k kilometres sio 90 kilometres.
 
Inamaana Aljazeera wanaongopa!??
Aljazeera English news waliopokea best broadcasters wanaongopa!??
Kharkiv imetekwa hutaki rudia habari hiyo hapo.
Ni 90k kilometres sio 90 kilometres.
Al jazeera chombo cha propaganda ndio maana iko kuinanga Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ kila kukicha
 
Al jazeera chombo cha propaganda ndio maana iko kuinanga Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ kila kukicha
Aljazeera unayosema chombo cha Propaganda ndio chombo cha habari pekee ambacho hakikuwahi kushitakiwa kwa news fabrication.
Aljazeera hiyo hiyo ndio chombo cha habari chenye tuzo nyingi kutoka New York times.
Itakua New York times wajinga kumpa Aljazeera zawadi ilhali ni chombo cha propaganda.
 

Umeongea kwa akili ambayo wachache watakuelewa. Wengi hawawezi kukuelewa. Yaani ingetokea Mike Tyson enzi zake anapambana na Mandonga. Na mpaka sasa wapo round ya 8 ingawa Mike Tyson anaongoza kwa Points.
 
Hahahaha leta hizo tuzo ni wapi na lini walipewa? Na nani aliwapa tuzo hahaha
 
Hahahaha leta hizo tuzo ni wapi na lini walipewa? Na nani aliwapa tuzo hahaha
Hiyo ni taarifa ya mwaka jana 2023 wakiwa wameshinda mara ya 7 mfululizo.
Na mwaka huu pia wameshinda mara ya nane mfululizo.
Soma hapo juu kutoka chanzo chao wenyewe New York times.
Maana ningeleta chanzo cha waarabu ungesema Propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ