Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hakukuwa na official troops ukraine. Kitu cha kwanza unatakiwa ujue hakuna jeshi lolote la nchi kutoka NATO linaloenda kwenye vita yotote bila jeshi la anga na la maji kutoka kwao.Jeshi la waingereza walikuwepo zamani kabla ya vita , na Zelenski alipotangaza nia ya kujiunga Nato ndipo Mrusi akakasirika akaivamia
Na sio tuzo hiyo tu,wameshinda na prestigious awards.Hahahaha leta hizo tuzo ni wapi na lini walipewa? Na nani aliwapa tuzo hahaha
Hamna lolote tuzo za kihuniNa sio tuzo hiyo tu,wameshinda na prestigious awards.
Pia wana waandishi wao wa habari walioshinda tuzo pia.
Na hizo tuzo ni globe awards sio tuzo za ukanda nope ni za kimataifa ulimwenguni kote.
Putin anapigana kadri mnavyoongeza sauti naye anaongeza, Russia anaweza Fanya maangamizi ndan ya Ukraine na watu wasiamini, anapigana naye kirafiki sn kulingana na power yake, Russia mbabe wa vita, ndo mana NATO ikaundwaNi mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, hivi ni kweli Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin
Trab n Trat hii hapa umesemaje vile?kwa sababu kwa upande wa misiles, uwezo wa Urusi ni mdogo ukilinganisha na wa Urusi.
Hao wanaingia kupitia mlango wa nyuma, wakitaka warushe bomu toka US, UK au nchi yyt ya NATO litue Russia utaona Tsar Bomba ipo wapMaonyo ya Putin kuhusu taifa lolote litakalojiingiza kwenye vita hizo, kwamba litajutia uamuzi wake huo, onyo hilo Putin alilitoa hali ya kuwa ni mtoto asiyekomaa kiakili?
Kama USA ndio amekuwa wa kwanza kuvuka vikwazo vya Putin, binafsi nataka na yeye Putin ampige USA kwake
Unareport ukitokea Mikese au Kidunda?Hizi ndio dalili za wazi kua Ukraine imezidiwa,
Hapa hakuna Cha kujifunza wala nini,hapa wanaenda kusaidia baada ya kuona Kila njia wliyotumia kumshinda Urusi imeshindikana.
Hii vita Sasa imechukua sura mpya.
Muda sio mrefu marafiki wa Urusi nao watakuja na hoja zao za kuingia vitani kiaina.
Hakuna mafanikio yoyote aliyoyapata Ukraine Soo far kwani Urusi anateka maeneo Kila kukicha.
Ukweli NATO wanaingia vitani kiuwoga sana,wanashindwa tu kutangaza tangazo la vita kua Sasa rasmi NATO wanaingia vitani na Urusi,na hicho ndio kinachomzuia Urusi kuanza rasmi kushambulia ndani ya nchi za NATO.
Kwahiyo siku hizi USA kaka wanatoa tuzo za kihuni!??H
Hamna lolote tuzo za kihuni
Anaripoti akitokea Kingolwira.Unareport ukitokea Mikese au Kidunda?
Tuzo haijatolewa na USA kwani mfano Nobel inatolewa na Norway au taasisi?!! Ambazo ziko prone to manipulation?Kwahiyo siku hizi USA kaka wanatoa tuzo za kihuni!??
πππππππWe kweli mbishani,yani hautaki kukubali kama umekosea.
New York times ni chombo cha habari cha nchi gani!???Tuzo haijatolewa na USA kwani mfano Nobel inatolewa na Norway au taasisi?!! Ambazo ziko prone to manipulation?
Ni chombo binafsi cha habari sio cha serikali ya marekaniNew York times ni chombo cha habari cha nchi gani!???
Mmiliki wa New york times ni nani kaka!??
Sawa chombo binafsi ila kimesajiliwa taifa gani na mmiliki ni taifa gani??Ni chombo binafsi cha habari sio cha serikali ya marekani
Unayemjibu ni mojawapo ya viazi mbatata Vya jamiiforumsHuu uongo unamuhadithia nani kijana??
Au unatuchukulia sisi watoto!?
Hesabu zimepigwa zaidi ya 25% ya nchi ya Urusi imemegwa.
Wewe unataja kilometa mraba 700!?
Are you serious??
Donbas,Donetsk,Kharkiv,Mariupol hivi hizi zote ndio kilometa mraba 700 peke yake??
Huongei na watoto hapa sawa??
Nimekupata. Kuundwa kwa NATO ni kumuogopa Russia. Hata baada ya Warsaw pact kufa bado wakawa wanamuogopa Russia ndo maana NATO imeendelea kuwepoPutin anapigana kadri mnavyoongeza sauti naye anaongeza, Russia anaweza Fanya maangamizi ndan ya Ukraine na watu wasiamini, anapigana naye kirafiki sn kulingana na power yake, Russia mbabe wa vita, ndo mana NATO ikaundwa
We endelea kufumba macho na kuziba masikio kwamba URUSI anapigana na Ukraine pekeeNi mjinga pekee atayekupinga kwenye hoja yako mkuu Maonihuru
Lakini pia, ni mjinga tu anayeshangaa kupigwa kwa Ukraine na taifa kubwa kama Russia,
Kinachoweza kustaajabisha tu ni kuwa, hivi ni kweli Ukraine ameendelea kumudu vipigo vya jeshi maarufu na la kuogopesha la Russia? Tena miaka miwili mpaka sasa?
Kichwani kunabaki na sintofahamu ya uwezo halisi wa jeshi la Putin