USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Waarabu na mujahidini mpunguzwe
 
Acha inyeshe
Na ndiyo inanyeesha hivyo, asilolielewa Mmarekani ni kuwa dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.

Watu wameshaamua ukimwaga mboga wanamwaga ugali.

Ni kama Hamas alivywageuka Israel.

Mimi siamini kabisa ujasusi na ulinzi wa Israel na Wamarekani wasielewe kuwa tarehe 7/10 kuna nini kinafanyika. Ikiwa hata Egypt walijuwa na wakawapa alert, kuwa jamani eeh, kuna mambo yanaendelea huko. Wakawaambia msiwe na wasiwaasi tunafahamu na kila kitu kipo undercontrol.

Ndiyo maana nyau mpaka sasa anataka awamalize alioingia nao makubaliano ya nini kifanyike wao wakafanya vingine na wakaona huu ndiyo upenyo.

Lile tukio Israel, USA Egypt na Qatar walikuwa wanalijuwa kabla, lakini lilitakiwa liwe dogo na lisiuwe mtu, kwa bahati mbaya sana, jeshi na waziri wa ulinzi waliambiwa ingine kabisa. Ndiyo maana picha haziendi huko, ule mpango ulisukwa na Mossad na ndiyo wao wameshughulikia diplomasia feki.

Wasaudi pia wanafahamu, lakini wao walidanganywa, hawajuwi kuwa lengo kuu ni wao, walipostuka too late. Sasa hivi unajuwa MBS yupo mavi debe.

Anaombea Mrusi amalize leo vita. Mchina yupo hapo mashariki ya kati kwa sasa kwa kuipa ulinzi Saud9 Arabia, si vingine.


Ykisikia kuwa Wasaudi wanaanzisha uhusiano na kiduku usishangae kabisa. Wanahaha saa hizi.
 
Waarabu na mujahidini mpunguzwe
haipo hivyo wewe poyoyo.

Hawana shida ya Mwarabu wala Mujahidina, wao shida yao wahodhi njia zote kuu za uchumi, na Biden anataka kabla hajaondoka amuoneshe MBS kuwa yeye ndiyo Boss.

Kumbuka, ukiona mwenzako ananyolewa tia zako maji. Magharibi hawana dini hawana rafiki, wale ni New World Order.
 
Saudi arabia mjanja hiyo Vita hawezi kuiingilia wala kuiongelea vibaya.. anajua wababe wanamuwinda akiingilia tu mgogoro wa Palestina.. ukoo wa Al saudi unatolewa madarakani.

Na akijifanya jeuri anabondwa na Makka na Madina zinabomolewa na wanaomuuzia Silaha. Ili waislamu dunia nzima wakasirike.. wazungu wapate sababu ya kuzibonda nchi zote za kiislamu zenye mafuta. Ili wakachote mafuta
 
Saudi arabia mjanja hiyo Vita hawezi kuiingilia wala kuiongelea vibaya.. anajua wababe wanamuwinda akiingilia tu mgogoro wa Palestina.. ukoo wa Al saudi unatolewa madarakani.

Na akijifanya jeuri anabondwa na Makka na Madina zinabomolewa na wanaomuuzia Silaha. Ili waislamu dunia nzima wakasirike.. wazungu wapate sababu ya kuzibonda nchi zote za kiislamu zenye mafuta. Ili wakachote mafuta
Duuuh [emoji1787]
 
haipo hivyo wewe poyoyo.

Hawana shida ya Mwarabu wala Mujahidina, wao shida yao wahodhi njia zote kuu za uchumi, na Biden anataka kabla hajaondoka amuoneshe MBS kuwa yeye ndiyo Boss.

Kumbuka, ukiona mwenzako ananyolewa tia zako maji. Magharibi hawana dini hawana rafiki, wale ni New World Order.

Waarabu na utajili wote. Kwa nini hawana umoja wa kupigana na wazungu ?

Waarabu kwa nini wanashindwa kubuni silaha zao za vita ili waweze kupambana na uonezi wa wazungu ? Maana hata israel amepelekwa tu na wazungu kwa ubabe kwenye ardhi ya waarabu
 
Saudi arabia mjanja hiyo Vita hawezi kuiingilia wala kuiongelea vibaya.. anajua wababe wanamuwinda akiingilia tu mgogoro wa Palestina.. ukoo wa Al saudi unatolewa madarakani.

Na akijifanya jeuri anabondwa na Makka na Madina zinabomolewa na wanaomuuzia Silaha. Ili waislamu dunia nzima wakasirike.. wazungu wapate sababu ya kuzibonda nchi zote za kiislamu zenye mafuta. Ili wakachote mafuta
Unakula nini mpaka uote Hizi theory? Au ni mihogo na michembe ndo inakufanya uote haya uku unajamba?
 
Waambie magaidi wa Houthi waache kushambulia meli na kuvuruga biashara ya usafirishaji wa meli bahari nyekundu. Haikubaliki kwa sababu zozote zile kufanya hayo mambo yao ya hovyo.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.


Leo umeongea kama msomi mwenye uelewa wa mambo ya dunia kwa mapana..

Nilishasemaga huku tunachukulia haya machafuko kimihemuko ya kidini, kisiasa na kirangi ya ngozi.. yaan tumejiweka pale ambapo hasa hawa wakubwa wanataka tuwepo..

Ukiona UK nawashirika wake wanaruhusu vita na wanailea ujue iko kwenye mipango yao.. urusi alikosea sana kuingia vitan na ukraine.. putin karudia kosa walilofanya wazee wake walipoingia mtego wa west mwishoe ussr ikavunjika..

Siku zote u super power wa marekani unategemea dunian kuwe hakuna stability hasa kule kwenye malighafi zinazorun dunia

Angalia vita ya dunia marekan anatengenza silaha anauza pande zote.. kilichomfanya aingie vitabya dunia ni baada ya japan kuivamia
Kolon lake la china na taiwan na kuja kulipua pearl Of harbour vinginevyo marekan vitabya dunia ya pili asingeshiriki kama ilivyokuwa ya kwanza.. ndo maana baada ya vita wenzie uchumi Zero yeye umepaa

Wiki chache nyuma tumeona iran watu wamelipua ndan kwenyw miji yAke .. eti ISIS katangaza kuhusika na mashambulizi..

Wakat huo huo ISIS hao na al qaida wote wafadhili wao wako saudia na emirate..

Marekan angekuwa hana maslah na machafuko haya asingeruhusu israel ianzishe vita fasta angetafuta suluhu..

Machafuko haya mbali ya kumpa direct upper hand pia yanampa indirect advantage maama yake inamfanya urusi awe dilema sababu
Nyumban ana vita huku washirika wake wa mashariki ya kati syria na iran hali tete ndo maana unaona ss hv wanaenda kimachale wanajua washachemsha kuleta ubabe wa kizaman kwa ukraine alitegemea west wajibu kwa vita kumbe wenzake wanataka vita iendelee

Saaa hv marekan anaombea Iran direct aingie kwa yemen au palestina Tu basi tuone maazimio ya UN kama yale ya iraq

Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.. iran asikubali kupewa jina baya
 
haipo hivyo wewe poyoyo.

Hawana shida ya Mwarabu wala Mujahidina, wao shida yao wahodhi njia zote kuu za uchumi, na Biden anataka kabla hajaondoka amuoneshe MBS kuwa yeye ndiyo Boss.

Kumbuka, ukiona mwenzako ananyolewa tia zako maji. Magharibi hawana dini hawana rafiki, wale ni New World Order.
Porojo na conspiracies tu, poor you.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Hazirudi enzi za world order.
Miaka hii ubeberu unajibiwa kivingine.
Hata huko mashariki ya kati mambo yakiendelea hivi kukubali kufanywa ng'ombe wa maziwa vijana wataanngusha falme moja moja.
Ile inayofanya Saudia kukaribisha mashoga na wacheza muziki kutasababisha machafuko mengi ndani ya nchi na hatimae mapinduzi.
Akipinduliwa mfalme mmoja tu basi wote kwisha na hakuna kwenda kwa US vijana watakuja Afrika kwa akina Ibrahim Traore.
 
Back
Top Bottom