USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

Waarabu na utajili wote. Kwa nini hawana umoja wa kupigana na wazungu ?

Waarabu kwa nini wanashindwa kubuni silaha zao za vita ili waweze kupambana na uonezi wa wazungu ? Maana hata israel amepelekwa tu na wazungu kwa ubabe kwenye ardhi ya waarabu
Hizo akili za kuunda hizo silaha wanazo? Hao wanachoweza ni biashara
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Nakumbuka Tarehe 07/10/2023 uliandika uzi mzuri sana baada ya ndugu zako katika Imaan kufanya yale waliyoyafanya.Sisi tunasema wacha magaidi yasakwe na kuuwawa kuanzia Gaza ,Cape delgado hadi Kibiti.
 
Nakumbuka Tarehe 07/10/2023 uliandika uzi mzuri sana baada ya ndugu zako katika Imaan kufanya yale waliyoyafanya.Sisi tunasema wacha magaidi yasakwe na kuuwawa kuanzia Gaza ,Cape delgado hadi Kibiti.
Nadhani umejazwa ujinga na mazayuni ukakujaa. Ghaza hakuna vita ya kidini, mazayuni walioianzisha Israel hawakuwa na dini.

Tatizo la Ghaza ni kubwa kuliko lilivyokuwa la Afrika Kusini, wapigania uhuru na haki dunia nzima wanalielewa hilo. Nakushangaa wewe unaelifanya la kidini.

Hakika, kila Muislam nduguye ni Muislam pia ukumbuke, Uislam ni kimbilio la wanyonge na wapenda haki.

Wewe unaewatetea mazayuni sifahamu sababu zako za kuwatetea, au na wewe ni new world order? Maana mazayuni wametangaza wazi kuwa woa ni new world order. Unafahamu maana yake?
 
Waislam kwa propaganda za kizushi hajambo. like father like children ( Mungu wenu ALLAH (Shetani) ndiye baba wa propaganda za Uongo. Haya sasa mfano ati inasema Russia akiwa kept busy na Ukraine 🙃🙃😄😄 Yaani wewe Leo hii haujui kuwa Russia ndiyo aliyeanzisha hiyo vita!!??
Houthis wameonywa mara ngapi, lakini wakakaza shingo.
Hezbollah wanaendelea kufanya uchokozi; ikifika wakaanza kupigwa mtakimbilia kwa Cyril Ramaposa wenu akashitaki ICJ
Halafu subirini tu Trump ndiyo huyo anarudi kiboko yenu. Ndugu zenu Muslim Brotherhood waliojificha US watatimuliwa mmoja baada ya mwingine
Naona unajitahidi sana vita ya kupigania haki na uhuru wa Palestina unaifanya ya kidini.

South Africa nao wanatetea Uislam? Nawafahamu watu kama wewe ndiyo katika wale wajinga ndiyo waliwao au wabarikiwa, mpo na wabarikiwa wenzenu, no matter what.

Kama shida yako ni Uislam basi elewa kuwa sasa hivi duniani kuna Waislam billion 2.

Wamalize kama unaweza, kama huwezi wasikilize, wanakutakia mema.
 
Sisi ni bendera fuata upepo.
Angalia namna wachambuzi wetu walivyo uchwara wakichagua upande kwenye vita vinanvyoendelea
Nawashangaa sana Waafrika tusiojielewa, wanafikiri kabisa kuwa sisi yupo salama, hawaelewi kuwa kinaitwa "rush to Africa". Kila mmoja anataka pande la Africa alimege yeye.

Kinachoendelea sasa hivi huko Mashariki ya kati ni muendelezo tu wa yaliyoanzia Libya frika, na Iraq Arabian Gulf.

Wamarekani waitangazie dunia mara ngapi? "You are either with us or you're against us."

Si wengi wanaoelewa kuwa hayo ndiyo ya New World Order.
 
Saudi arabia mjanja hiyo Vita hawezi kuiingilia wala kuiongelea vibaya.. anajua wababe wanamuwinda akiingilia tu mgogoro wa Palestina.. ukoo wa Al saudi unatolewa madarakani.

Na akijifanya jeuri anabondwa na Makka na Madina zinabomolewa na wanaomuuzia Silaha. Ili waislamu dunia nzima wakasirike.. wazungu wapate sababu ya kuzibonda nchi zote za kiislamu zenye mafuta. Ili wakachote mafuta

Hawana shida na Makkah na Madina, wao shida yao ni MBS asijidai kuhamisha zizi, bado kuna maziwa mengi ya kukamuliwa.

MBS alianza ujeuri za wazi kwa Biden, alimkatalia kila alitakalo na akaanza kuelekea mashariki kwa kasi.

Hilo ni kosa kubwa kwenye falsafa yao ya "you are either with us or you're against us".
 
USA and UK vita kwao ni kawaida na huwezi kusikia wameshitakiwa kokote kule , HIROSHIMA VIETNAM, IRAQ , AFGHANISTAN, LIBYA ,YEMEN, wao wanapiga mabomu tu
 
Huu mchezo ungekuwa mtamu kama Russia , China, UAE wangekuwa na kauli moja.

Actually kuna muda naona Marekani ipo overrated sanaa. Nikawaza kuna mission wanaziuza hawaendi wao ,hata kama ikiwa ni kuokoa watu wao.

Anyway viongozi wa Africa wengi ni wachumia tumbo.
UAE hawei kufurukuka kwa Muingerea na Mmarekani, alishatiwa mfukoni miaka mingi sana. Yupo tayari kupiga ndugu zake wa yemeni ili abakishwe madarakani kwa ulinzi wa USA na UK.

Hayo ni kwa nchi zote za GCC, hapo ambae hayupo nao ni Yemen na Syria tu, na hao wanafanyiwa kila njia wasifirikute.

Yemen kwa mafuta waliyonayo ardhini kwao, siyo nchi ya kuwa masikini hata kidogo.
 
Listen to this brave south african foreign minister
God bless mandela children
thank you Namibia
when you fund terrorism in Africa to kill christians but we christians pray good for you , and see who worship true god
 
Waislam kwa propaganda za kizushi hajambo. like father like children ( Mungu wenu ALLAH (Shetani) ndiye baba wa propaganda za Uongo. Haya sasa mfano ati inasema Russia akiwa kept busy na Ukraine [emoji854][emoji854][emoji1][emoji1] Yaani wewe Leo hii haujui kuwa Russia ndiyo aliyeanzisha hiyo vita!!??
Houthis wameonywa mara ngapi, lakini wakakaza shingo.
Hezbollah wanaendelea kufanya uchokozi; ikifika wakaanza kupigwa mtakimbilia kwa Cyril Ramaposa wenu akashitaki ICJ
Halafu subirini tu Trump ndiyo huyo anarudi kiboko yenu. Ndugu zenu Muslim Brotherhood waliojificha US watatimuliwa mmoja baada ya mwingine
waislam wanamwabudu shetan hata wao wanaelewa hilo , angalia akili za waislam zinawaza ujinga muda wote
 
Nadhani umejazwa ujinga na mazayuni ukakujaa. Ghaza hakuna vita ya kidini, mazayuni walioianzisha Israel hawakuwa na dini.

Tatizo la Ghaza ni kubwa kuliko lilivyokuwa la Afrika Kusini, wapigania uhuru na haki dunia nzima wanalielewa hilo. Nakushangaa wewe unaelifanya la kidini.

Hakika, kila Muislam nduguye ni Muislam pia ukumbuke, Uislam ni kimbilio la wanyonge na wapenda haki.

Wewe unaewatetea mazayuni sifahamu sababu zako za kuwatetea, au na wewe ni new world order? Maana mazayuni wametangaza wazi kuwa woa ni new world order. Unafahamu maana yake?
ujinga uliandika mwenyewe ushaanza wasingizia wazayuni , hv unahis watu wote humu wajinga kama wewe?
 
Naona unajitahidi sana vita ya kupigania haki na uhuru wa Palestina unaifanya ya kidini.

South Africa nao wanatetea Uislam? Nawafahamu watu kama wewe ndiyo katika wale wajinga ndiyo waliwao au wabarikiwa, mpo na wabarikiwa wenzenu, no matter what.

Kama shida yako ni Uislam basi elewa kuwa sasa hivi duniani kuna Waislam billion 2.

Wamalize kama unaweza, kama huwezi wasikilize, wanakutakia mema.
SA anatumiwa na Iran , huez elewa bibi kizee ila mwisho wa siku sunni hawawez shinda vita hii , shia ndo watakuja kuwa washindi na bado itakuja vita nyingine hapo Gaza ya kupambana dhidi ya shia
 
Nawashangaa sana Waafrika tusiojielewa, wanafikiri kabisa kuwa sisi yupo salama, hawaelewi kuwa kinaitwa "rush to Africa". Kila mmoja anataka pande la Africa alimege yeye.

Kinachoendelea sasa hivi huko Mashariki ya kati ni muendelezo tu wa yaliyoanzia Libya frika, na Iraq Arabian Gulf.

Wamarekani waitangazie dunia mara ngapi? "You are either with us or you're against us."

Si wengi wanaoelewa kuwa hayo ndiyo ya New World Order.
ndio maana mnafadhiri vikundi vyenu ili viue watu hovyo kusimamisha sharia ?
 
USA and UK vita kwao ni kawaida na huwezi kusikia wameshitakiwa kokote kule , HIROSHIMA VIETNAM, IRAQ , AFGHANISTAN, LIBYA ,YEMEN, wao wanapiga mabomu tu
hupigana kwa sababu maaalumu kama zile mlizotumia kumtetea Urusi
 
waislam wanamwabudu shetan hata wao wanaelewa hilo , angalia akili za waislam zinawaza ujinga muda wote
Naona unajitahidi mjadala kutoka vita kwenda kwenye malumbano ya kidini.

Umeona ya juzi a jana huko Ghaa? Jionee:

 
Hizo akili za kuunda hizo silaha wanazo? Hao wanachoweza ni biashara
Waarabu siyo watu wa vita ni watu wastarehe.

Wanatengeneza pesa, wanakuja Tanzania wanaoa wanyamwezi, wanakula bata.

Unafahamu kuwa Wayemeni wana mafuta chini ya ardhi yao kuliko unavyofikiria. Jiulize kwanini hawawayachimbi kwa wongi mpaka sasa?
 
Hazirudi enzi za world order.
Miaka hii ubeberu unajibiwa kivingine.
Hata huko mashariki ya kati mambo yakiendelea hivi kukubali kufanywa ng'ombe wa maziwa vijana wataanngusha falme moja moja.
Ile inayofanya Saudia kukaribisha mashoga na wacheza muziki kutasababisha machafuko mengi ndani ya nchi na hatimae mapinduzi.
Akipinduliwa mfalme mmoja tu basi wote kwisha na hakuna kwenda kwa US vijana watakuja Afrika kwa akina Ibrahim Traore.
Sisi hatuwataki waarabu, hatuko tayari kuwa tena wapagazi wao kama ilivyokuwa kwenye zama za biashara haramu ya utumwa ambapo waliwahasi watu kama ng'ombe 🐮
 
Back
Top Bottom