USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

Kitu ambacho Bibi Faiza Fox ajakijua ni ..
"HII VITA SIO YA KIDINI, NA YEMENI HAPIGWI KWA AJILI YA UISILAMU WAKE"
sasa ukiona mtu anaiangalia hii vita kwa jicho la kudini ujue hapo kuna Shida.

Tatizo lingine kwa sisi watanzania ni hizi elimu za madrasa nadhani ni wakati sasa wa serikali kuangalia upya kama kwa nyakati hizi haya mambo bado yanafaa kuendelea au la!
Pole kijana
 
Waislam kwa propaganda za kizushi hajambo. like father like children ( Mungu wenu ALLAH (Shetani) ndiye baba wa propaganda za Uongo. Haya sasa mfano ati inasema Russia akiwa kept busy na Ukraine 🙃🙃😄😄 Yaani wewe Leo hii haujui kuwa Russia ndiyo aliyeanzisha hiyo vita!!??
Houthis wameonywa mara ngapi, lakini wakakaza shingo.
Hezbollah wanaendelea kufanya uchokozi; ikifika wakaanza kupigwa mtakimbilia kwa Cyril Ramaposa wenu akashitaki ICJ
Halafu subirini tu Trump ndiyo huyo anarudi kiboko yenu. Ndugu zenu Muslim Brotherhood waliojificha US watatimuliwa mmoja baada ya mwingine
Trumpet hakuwahi kua rahisi toka azaliwe eeenh

Hana jipya yeye na wenzake wote sawa sawa tuuu
 
Saudi arabia mjanja hiyo Vita hawezi kuiingilia wala kuiongelea vibaya.. anajua wababe wanamuwinda akiingilia tu mgogoro wa Palestina.. ukoo wa Al saudi unatolewa madarakani.

Na akijifanya jeuri anabondwa na Makka na Madina zinabomolewa na wanaomuuzia Silaha. Ili waislamu dunia nzima wakasirike.. wazungu wapate sababu ya kuzibonda nchi zote za kiislamu zenye mafuta. Ili wakachote mafuta
Kuna mambo mengi hujui alafu unapotosha houth ni kikundi cha washia wanaosupportiwa na irani na saudi alijaribu kuwatoa houth kwa mtutu wa bunduki akashindwa

Marekani kushambulia houthi ni habari nzuri kwa saudi arabia na gulf countries ambazo ni wa sunn na walishajaribu kumtoa houth wakashindwa
 
waislam wanamwabudu shetan hata wao wanaelewa hilo , angalia akili za waislam zinawaza ujinga muda wote
Ukimuona muislam mjinga basi ujue wewe umemzidi ujinga usiekua muislam hata kama utakua tajiri una pesa nk

Fuatilia utagundua
 
Kuna mambo mengi hujui alafu unapotosha houth ni kikundi cha washia wanaosupportiwa na irani na saudi alijaribu kuwatoa houth kwa mtutu wa bunduki akashindwa

Marekani kushambulia houthi ni habari nzuri kwa saudi arabia na gulf countries ambazo ni wa sunn na walishajaribu kumtoa houth wakashindwa
Hajui halaf anajifanya anajuuua tena anajuua
Ndio maana nlipomsoma nikaishia tu kumcheka maana hana analolijua
 
haipo hivyo wewe poyoyo.

Hawana shida ya Mwarabu wala Mujahidina, wao shida yao wahodhi njia zote kuu za uchumi, na Biden anataka kabla hajaondoka amuoneshe MBS kuwa yeye ndiyo Boss.

Kumbuka, ukiona mwenzako ananyolewa tia zako maji. Magharibi hawana dini hawana rafiki, wale ni New World Order.
Huna unalolikua wewe, hapo kwa Saudia unachekesha..
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Bado hamjasema. Kuna mtu anatafutwa hapo. Mabeberu wamewatega waarabu kupitia Hamas nao wamejaa. Hii Dunia inaendeshwa kwa akili sio mihemko na maneno. Watoto wa mjini walijua tu hawa vilaza ngoja tuwapimie ili tuwapunguze. Mzungu hana cha kupoteza wala hajali mama kwahiyo kukaa hapa mishipa imekutoka eti wayemen wamelipua meli cjui marekan kapata kichapo unachotakiwa kutupa hapa utuambie wamarekan wameshindwa vita. Kupigwa kawaida ndio vita hiyo wenzio washajipanga. Sasa kwa mfano Hamas wamevamia Israel wameua na kuteka. Lakini hata kwa mfano Israel ikiwaachia wafungwa wote wa Hamas lakin huku washaua elfu 25 na kuuchakaza mjini nini umefaidi sasa kama sio undezi. Kelele mingi bure kabisa. Mwarabu bila kichapo humtawali ndio maana kwao ni tawala za kifalme au kidikteta mwanzo mwisho.
 
Ungewashauri magaidi wa kizayuni waache kuua watoto na kina mama kwanza
Wakifanya hivyo meli hazitashambuliwa
Hao Hamas hawakuua watoto na wanawake huko Israel? Nadhani ungewashauri hao mujahideen waache kutumia wanawake na watoto kama ngao.
 
Hao Hamas hawakuua watoto na wanawake huko Israel? Nadhani ungewashauri hao mujahideen waache kutumia wanawake na watoto kama ngao.
Mbona hamueleweki enyi wazayuni wa jf na kule israhell

Kwani hamas kule mapangoni walihama lini? 😂
 
Back
Top Bottom