USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

Unajuwa Watanzania wangapi wanafanya kazi kwa Bakhresa, Oilcom, Azania -, GSM na kwa Waarabu wengine kibao waliopo Tanzania?

Hao niliokutajia wote Wayemeni na wengine wapo ardhi hii kabla ya babu zako kuhamia Tanganyika.

Wa mbili havai moja.
Okay, lakini walitokea wapi au asili yao ni wapi.
 
Hahah😀 nikwambie kitu Dada? Mungu wa Biblia YAHWEH anawaambia waabudu wake
Hahaha 😃 Dada wewe uko Dunia Gani!! Kama hiyo vita haina baraka ya kitabu chenu Cha Kishetani, tusingeona Waislam kote Duniani mkiimba wimbo na bendera zile zile za kijahidina. Hiyo Palestina ni kisingizio tu. Hamas is an arm of the Muslim brotherhood; Capetown wako na ofisini na S.African Government officials wanafaidika kwa kupata hongo ya fedha Toka Qatar.
Eti Waislam wamefika 2billion, so what? Nikwambie kitu Dada FaizaFoxy? Mungu wa Kweli YAHWEH anawaambia waabudu wake ktk 2 Chrinicals 20:15
" ‘Do not be afraid or be terrified because of this large crowd, for the battle is not yours but God’s"
Yahweh atakavyoivunja Ngome ya Kishetani ya Allah (ambaye ni Shetani Mwenyewe) ni kuanzia ndani. Pay attention yanayoendelea Saudia na Iran. Iran wananchi wake wamewakataa Mamullah na Dini yao ya KISHIA, wakati Saudi Arabia Mwana wa Mfalme anàrndelea na Mabadiliko ambayo yatauvunjanunja UISLAM. Utayakumbuka haya maneno


View: https://youtu.be/bDoF0ucdtmY?si=82cTpXyjSbTiVmd3

Kitu usochokielewa ni kuwa Waislam tumeshikamana kwa kamba ya Allah.

Waislam ni kama kiwiliwili kimoja kidole kikumia mwili mzima unapata home.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa q kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
 
Kama wanataka wang'olewe kama walivyo watang'olewa tu
Leo siku ya 102 kikundi kidogo cha vijna wa mitaani kimeyasimmisha dede mataifa yote yanayojidai vidume kumbe ni wabarikiwa.

 
Na ndiyo inanyeesha hivyo, asilolielewa Mmarekani ni kuwa dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.

Watu wameshaamua ukimwaga mboga wanamwaga ugali.

Ni kama Hamas alivywageuka Israel.

Mimi siamini kabisa ujasusi na ulinzi wa Israel na Wamarekani wasielewe kuwa tarehe 7/10 kuna nini kinafanyika. Ikiwa hata Egypt walijuwa na wakawapa alert, kuwa jamani eeh, kuna mambo yanaendelea huko. Wakawaambia msiwe na wasiwaasi tunafahamu na kila kitu kipo undercontrol.

Ndiyo maana nyau mpaka sasa anataka awamalize alioingia nao makubaliano ya nini kifanyike wao wakafanya vingine na wakaona huu ndiyo upenyo.

Lile tukio Israel, USA Egypt na Qatar walikuwa wanalijuwa kabla, lakini lilitakiwa liwe dogo na lisiuwe mtu, kwa bahati mbaya sana, jeshi na waziri wa ulinzi waliambiwa ingine kabisa. Ndiyo maana picha haziendi huko, ule mpango ulisukwa na Mossad na ndiyo wao wameshughulikia diplomasia feki.

Wasaudi pia wanafahamu, lakini wao walidanganywa, hawajuwi kuwa lengo kuu ni wao, walipostuka too late. Sasa hivi unajuwa MBS yupo mavi debe.

Anaombea Mrusi amalize leo vita. Mchina yupo hapo mashariki ya kati kwa sasa kwa kuipa ulinzi Saud9 Arabia, si vingine.


Ykisikia kuwa Wasaudi wanaanzisha uhusiano na kiduku usishangae kabisa. Wanahaha saa hizi.
Hamas walivyowageuka Israel?walikuwa na urafiki lini?mbona watu wa mudy mnapenda uongo?
 
Wamekukosea nini, mbona una wengi sana Tanzania?

Tena??? Mbona hili hatukujadiliana? Anyway . Wazayuni watapigika kinyama. Wanaendelea kuchakazwa kwa sasa wanapukutika kama mbelewele. Gaza hawalali hawakai... Israel kunaanza kubakiwa na magofu tu shenzi type makafir hawa.
Nawakumbusha tu hatutaki mje tena na nyuzi za kulia lia
 
Nawakumbusha tu hatutaki mje tena na nyuzi za kulia lia
Kitu mbacho hukielewi ni kuwa Hamas wameshinda hii vita zamani sana.

Si mnasema ni kikundi cha Kigaidi? Sasa kikundi cha kigaidi malengo yake ni nini?

nahisi hilo swali liko juu ya uwezo wako kulielewa.
 
Kitu mbacho hukielei ni kuw Hamas wameshinda hii vita zamani sana.

Si mnasema ni kikundi cha Kigaidi? Sasa kikundi cha kigaidi malengo yake ni nini?

nahisi hilo swali liko juu ya uwezo wako kulielewa.
Gaza inafuka moshi ni magofu misikiti imegeuka makabuli we endelea na ngonjela zako nenda kaongeze nguvu
 
Ogopa sana watu wanaotengeneza ndege inapaa hewani bila dereva

Watu wanatengeneza kidonge.. unakimeza mdomoni ila kinaenda kuponesha mguu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ….. Akili kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry. Mashariki ya kati wana weakness moja kubwa sana nayo ni dini (imani). Adui yako akishajua weakness yako basi jua umeisha . Kuwagombanisha middle east ni kazi rahisi mno una provoke tu mambo ya imani basi wanamalizana wenyewe kwa wenyewe na hawatopatana.
 
Waarabu na utajili wote. Kwa nini hawana umoja wa kupigana na wazungu ?

Waarabu kwa nini wanashindwa kubuni silaha zao za vita ili waweze kupambana na uonezi wa wazungu ? Maana hata israel amepelekwa tu na wazungu kwa ubabe kwenye ardhi ya waarabu
Kwani wazungu wanaumoja gani ulowaona nao
Wazungu wana umoja???
 
Waambie magaidi wa Houthi waache kushambulia meli na kuvuruga biashara ya usafirishaji wa meli bahari nyekundu. Haikubaliki kwa sababu zozote zile kufanya hayo mambo yao ya hovyo.
Si tumekubaliana kwamba Americant na Uingereza wameanzisha mashambulizi dhidi yao

Kwahio wao watawalazimisha kufungua hizo njia
 
Leo umeongea kama msomi mwenye uelewa wa mambo ya dunia kwa mapana..

Nilishasemaga huku tunachukulia haya machafuko kimihemuko ya kidini, kisiasa na kirangi ya ngozi.. yaan tumejiweka pale ambapo hasa hawa wakubwa wanataka tuwepo..

Ukiona UK nawashirika wake wanaruhusu vita na wanailea ujue iko kwenye mipango yao.. urusi alikosea sana kuingia vitan na ukraine.. putin karudia kosa walilofanya wazee wake walipoingia mtego wa west mwishoe ussr ikavunjika..

Siku zote u super power wa marekani unategemea dunian kuwe hakuna stability hasa kule kwenye malighafi zinazorun dunia

Angalia vita ya dunia marekan anatengenza silaha anauza pande zote.. kilichomfanya aingie vitabya dunia ni baada ya japan kuivamia
Kolon lake la china na taiwan na kuja kulipua pearl Of harbour vinginevyo marekan vitabya dunia ya pili asingeshiriki kama ilivyokuwa ya kwanza.. ndo maana baada ya vita wenzie uchumi Zero yeye umepaa

Wiki chache nyuma tumeona iran watu wamelipua ndan kwenyw miji yAke .. eti ISIS katangaza kuhusika na mashambulizi..

Wakat huo huo ISIS hao na al qaida wote wafadhili wao wako saudia na emirate..

Marekan angekuwa hana maslah na machafuko haya asingeruhusu israel ianzishe vita fasta angetafuta suluhu..

Machafuko haya mbali ya kumpa direct upper hand pia yanampa indirect advantage maama yake inamfanya urusi awe dilema sababu
Nyumban ana vita huku washirika wake wa mashariki ya kati syria na iran hali tete ndo maana unaona ss hv wanaenda kimachale wanajua washachemsha kuleta ubabe wa kizaman kwa ukraine alitegemea west wajibu kwa vita kumbe wenzake wanataka vita iendelee

Saaa hv marekan anaombea Iran direct aingie kwa yemen au palestina Tu basi tuone maazimio ya UN kama yale ya iraq

Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.. iran asikubali kupewa jina baya
Mambo yamebadilika sana mzee PUT IN kaigeuza vita kwake kua fursa

Yaani kama mnadhani kua eti PUT IN hii vita inamfanya asiweze kufanya jambo lolote nje ya ukraine hem nato wafanye kama wanakosea wakaivamie belarus uone

Vita hata kwa marekani inategemea anapigana nanani marekani na shoga zake walitegemea kwamba Russia ataikurupukia ukraine aivamie yote aibebe na ndio maana jamaa walipopeleka jeshi pale kiev wakaona yes kumbe mwamba hana hata muda na kiev
Hujiulizi kwanini vita ya ukraine inapiganwa pale pale tokea ianze mpaka leo

Russia anatumia rasilimali kidogo kudeal na vita na vikwazo kwa pamoja

Hushangai west kwa ujumla wao wanakutana na ukata wa kumpa silaha ukraine ila Russia anazo mpaka anazo tena

Americant vita imemzidi hajui asaidie ukraine ama asaidie israhell

Acha tuone
 
Back
Top Bottom