USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

haipo hivyo wewe poyoyo.

Hawana shida ya Mwarabu wala Mujahidina, wao shida yao wahodhi njia zote kuu za uchumi, na Biden anataka kabla hajaondoka amuoneshe MBS kuwa yeye ndiyo Boss.

Kumbuka, ukiona mwenzako ananyolewa tia zako maji. Magharibi hawana dini hawana rafiki, wale ni New World Order.
Bora hao mara elfu kuliko wavaa kanzu
 
Pro Hamas mlikuwa mnasema Israel na USA wanapitia kipindi kigumu...mbn mapema mmeanza mayowe tena
 
Porojo na conspiracies tu, poor you.
That was my take, yuou may o you may not agree with me. Each and eveyrone has his/her own perception. What is yours? = Nil.

Hamas wameshasema wao wapo kwao na watzichapa mpaka wamalizwe wote, mtaweza?
Tazama mashoga unaowashabikia wanachezea kichapo Ghaza:


 
Waambie magaidi wa Houthi waache kushambulia meli na kuvuruga biashara ya usafirishaji wa meli bahari nyekundu. Haikubaliki kwa sababu zozote zile kufanya hayo mambo yao ya hovyo.
Gmagaid wamaouwa watoto na wanawake ana wanaopiga Mahospitali huwaoni?

Houthi hawasitishi kichapo.

Mmarekani na mashiga wenzake washajulikana ni majigamboi tu, vita hawaiwezi.

Taliban alishafunguwa njia, saa hizi ni ku[pita tu. Jionee:

 
Kuna uwezekano mkubwa kabisa majeshi ya ardhini ya Australia na Nepal na labda Pakistan yakaingia kimya kimya kupitia Saudi Arabia kuja kulianzisha na Mahouthi.

Pakistan ndiyo mpaka sasa wanasuasua. islam wao unawaumiza moyo.

Majedhi ya Australia watu 12,000 wameshajikusanya na wapo Ufilipino wanangoja kuambiwa waje tu.

Majeshi ya Gurka ya Nepal wao wapo tayari muda wowote, wapo chini ya Uingereza.

Kuna wengine pia kutokea Srilanka. Wapo tayari.

Hayo majeshi yote yatakuwa chini ya command ya US na UK na gharama zitalipwa na Saudi Arabia na mashoga zao wa GCC.

Kimbembe.
 
Bora hao mara elfu kuliko wavaa kanzu
Are sure because the whole of swahili coast and i beleive including kabaka the king of buganda all wearing kanzu not only waarabu
waarabu we call it either thhob or dishdasha
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Ungewashauri mujahideen wenzako wa Yemeni waache kushambulia meli kwanza. Wakifanya hivyo, hiyo hofu yako itakwisha.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Acha magaidi wapokee kichapo. Hizi story unazoleta zinareflect hofu yako juu ya kuchapwa kwao.
 
Kitu ambacho Bibi Faiza Fox ajakijua ni ..
"HII VITA SIO YA KIDINI, NA YEMENI HAPIGWI KWA AJILI YA UISILAMU WAKE"
sasa ukiona mtu anaiangalia hii vita kwa jicho la kudini ujue hapo kuna Shida.

Tatizo lingine kwa sisi watanzania ni hizi elimu za madrasa nadhani ni wakati sasa wa serikali kuangalia upya kama kwa nyakati hizi haya mambo bado yanafaa kuendelea au la!
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Bandiko lako limejaaa tafakuri za ndani sana. Ni game play ya watu wa magharibi. Suluhu ya hii ni nini? Kuna haja Africa kuchukua upande,labda Russia, China au UAE?
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Si ndio nzuri ili tuwashinde mayahudi vizuri. Kwanza tunaanzia kulekule Marekani kutoka kwenye sleeper cells.
 
Na ndiyo inayeesha hivyo, asilolielewa Mmarekani ni kuwa dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.

Watu wameshaamua ukimwaga mboga wanamwaga ugali.

Ni kama Hamas alivywageuka Israel.

Mimi siamini kabisa ujasusi na ulinzi wa Israel na Wamarekani wasielewe kuwa tarehe 7/10 kuna nini kinafanyika. Ikiwa hata Egypt walijuwa na wakawapa alert, kuwa jamani eeh, kuna mambo yanaendelea huko. Wakawaambia msiwe na wasiwaasi tunafahamu na kila kitu kipo undercontrol.

Ndiyo maana nyau mpaka sasa anataka awamalize alioingia nao makubaliano ya nini kifanyike wao wakafanya vingine na wakaona huu ndiyo upenyo.

Lile tukio Israel, USA Egypt na Qatar walikuwa wanalijuwa kabla, lakini lilitakiwa liwe dogo na lisiuwe mtu, kwa bahati mbaya sana, jeshi na waziri wa ulinzi waliambiwa ingine kabisa. Ndiyo maana picha haziendi huko, ule mpango ulisukwa na Mossad na ndiyo wao wameshughulikia diplomasia feki.

Wasaudi pia wanafahamu, lakini wao walidanganywa, hawajuwi kuwa lengo kuu ni wao, walipostuka too late. Sasa hivi unajuwa MBS yupo mavi debe.

Anaombea Mrusi amalize leo vita. Mchina yupo hapo mashariki ya kati kwa sasa kwa kuipa ulinzi Saud9 Arabia, si vingine.


Ykisikia kuwa Wasaudi wanaanzisha uhusiano na kiduku usishangae kabisa. Wanahaha saa hizi.
Huu mchezo ungekuwa mtamu kama Russia , China, UAE wangekuwa na kauli moja.

Actually kuna muda naona Marekani ipo overrated sanaa. Nikawaza kuna mission wanaziuza hawaendi wao ,hata kama ikiwa ni kuokoa watu wao.

Anyway viongozi wa Africa wengi ni wachumia tumbo.
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
mnapoanza mashambuliz mnaona ni kawaida mnapojibiwa mnalialia kuwa anaejib anasambaza vita
 
Na ndiyo inayeesha hivyo, asilolielewa Mmarekani ni kuwa dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.

Watu wameshaamua ukimwaga mboga wanamwaga ugali.

Ni kama Hamas alivywageuka Israel.

Mimi siamini kabisa ujasusi na ulinzi wa Israel na Wamarekani wasielewe kuwa tarehe 7/10 kuna nini kinafanyika. Ikiwa hata Egypt walijuwa na wakawapa alert, kuwa jamani eeh, kuna mambo yanaendelea huko. Wakawaambia msiwe na wasiwaasi tunafahamu na kila kitu kipo undercontrol.

Ndiyo maana nyau mpaka sasa anataka awamalize alioingia nao makubaliano ya nini kifanyike wao wakafanya vingine na wakaona huu ndiyo upenyo.

Lile tukio Israel, USA Egypt na Qatar walikuwa wanalijuwa kabla, lakini lilitakiwa liwe dogo na lisiuwe mtu, kwa bahati mbaya sana, jeshi na waziri wa ulinzi waliambiwa ingine kabisa. Ndiyo maana picha haziendi huko, ule mpango ulisukwa na Mossad na ndiyo wao wameshughulikia diplomasia feki.

Wasaudi pia wanafahamu, lakini wao walidanganywa, hawajuwi kuwa lengo kuu ni wao, walipostuka too late. Sasa hivi unajuwa MBS yupo mavi debe.

Anaombea Mrusi amalize leo vita. Mchina yupo hapo mashariki ya kati kwa sasa kwa kuipa ulinzi Saud9 Arabia, si vingine.


Ykisikia kuwa Wasaudi wanaanzisha uhusiano na kiduku usishangae kabisa. Wanahaha saa hizi.
raia wa siku hz hawapend vita ila raia wa enz hizo walikuwa wapenda vita sana
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Sisi ni bendera fuata upepo.
Angalia namna wachambuzi wetu walivyo uchwara wakichagua upande kwenye vita vinanvyoendelea
 
Machafuko ya Mashariki ya kati hivi sasa ni mchezo uliopangwa na nchi za Magharibi, hususan USA UK na NATO yote wakishirikiana na vibaraka wao. Ikumbukwe, Israel ni base tu ya Mmarekani.

Haitakiwi kabisa mashariki ya kati machafuko yaishe kwa sasa.

Wakitoka Mashariki ya Kati wanaunganisha Afrika Magharibi ya kati na hatimae kwetu huku.

Bila kufanya hivyo kibabe, uchumi wa Magharibi utaanguka vibaya sana.

Vyanzo vikuu vya uchumi sasa hivi vinahodhiwa Mashariki ya Kati na Afrika. Nchi za magharibi hazitokubali kabisa nchi źa mashariki, hususan Russia na China kuhodhi na kuwa na kauli kwa mali asili zote hizo.

Kwa sasa ni lazima Saudi Arabia iingizwe kwenye machafuko ikitaka isitake. Sababu ni nyingi mno, zikiwemo za kiuchumi na siasa za Kijiografia (geo politics).

Ikumbukwe, Saudi Arabia na nchi za Kiarabu za Gulf (GCC) ni ng'ombe wa maziwa wa Mmarekani, sasa ng'ombe kaonekana analizowea zizi la jirani kwa kasi kubwa sana, ni lazima adhibitiwe.

Kama hiyo haitoshi, Biden ni lazima amtie adabu MBS kwa jeuri anazomfanyia mara kwa mara. Kwa ushahidi kabisa.

Mrusi nae anawekwa bize na Ukraine ili azma yao kwanza itimie huku, huku kwa sasa kuna faida zaidi kuliko Ukraine.

Sisi huku ni lazima tuzicheze karata zetu vizuri, tusijiingize kwenye mtego wa panya.
Waislam kwa propaganda za kizushi hajambo. like father like children ( Mungu wenu ALLAH (Shetani) ndiye baba wa propaganda za Uongo. Haya sasa mfano ati inasema Russia akiwa kept busy na Ukraine 🙃🙃😄😄 Yaani wewe Leo hii haujui kuwa Russia ndiyo aliyeanzisha hiyo vita!!??
Waambie magaidi wa Houthi waache kushambulia meli na kuvuruga biashara ya usafirishaji wa meli bahari nyekundu. Haikubaliki kwa sababu zozote zile kufanya hayo mambo yao ya hovyo.
Houthis wameonywa mara ngapi, lakini wakakaza shingo.
Hezbollah wanaendelea kufanya uchokozi; ikifika wakaanza kupigwa mtakimbilia kwa Cyril Ramaposa wenu akashitaki ICJ
Halafu subirini tu Trump ndiyo huyo anarudi kiboko yenu. Ndugu zenu Muslim Brotherhood waliojificha US watatimuliwa mmoja baada ya mwingine
 
Back
Top Bottom