USA, UK wanataka vita itapakae kwa makusudi kabisa

Pole kijana
 
Trumpet hakuwahi kua rahisi toka azaliwe eeenh

Hana jipya yeye na wenzake wote sawa sawa tuuu
 
Kuna mambo mengi hujui alafu unapotosha houth ni kikundi cha washia wanaosupportiwa na irani na saudi alijaribu kuwatoa houth kwa mtutu wa bunduki akashindwa

Marekani kushambulia houthi ni habari nzuri kwa saudi arabia na gulf countries ambazo ni wa sunn na walishajaribu kumtoa houth wakashindwa
 
waislam wanamwabudu shetan hata wao wanaelewa hilo , angalia akili za waislam zinawaza ujinga muda wote
Ukimuona muislam mjinga basi ujue wewe umemzidi ujinga usiekua muislam hata kama utakua tajiri una pesa nk

Fuatilia utagundua
 
Hajui halaf anajifanya anajuuua tena anajuua
Ndio maana nlipomsoma nikaishia tu kumcheka maana hana analolijua
 
Huna unalolikua wewe, hapo kwa Saudia unachekesha..
 
Bado hamjasema. Kuna mtu anatafutwa hapo. Mabeberu wamewatega waarabu kupitia Hamas nao wamejaa. Hii Dunia inaendeshwa kwa akili sio mihemko na maneno. Watoto wa mjini walijua tu hawa vilaza ngoja tuwapimie ili tuwapunguze. Mzungu hana cha kupoteza wala hajali mama kwahiyo kukaa hapa mishipa imekutoka eti wayemen wamelipua meli cjui marekan kapata kichapo unachotakiwa kutupa hapa utuambie wamarekan wameshindwa vita. Kupigwa kawaida ndio vita hiyo wenzio washajipanga. Sasa kwa mfano Hamas wamevamia Israel wameua na kuteka. Lakini hata kwa mfano Israel ikiwaachia wafungwa wote wa Hamas lakin huku washaua elfu 25 na kuuchakaza mjini nini umefaidi sasa kama sio undezi. Kelele mingi bure kabisa. Mwarabu bila kichapo humtawali ndio maana kwao ni tawala za kifalme au kidikteta mwanzo mwisho.
 
Ungewashauri magaidi wa kizayuni waache kuua watoto na kina mama kwanza
Wakifanya hivyo meli hazitashambuliwa
Hao Hamas hawakuua watoto na wanawake huko Israel? Nadhani ungewashauri hao mujahideen waache kutumia wanawake na watoto kama ngao.
 
Hao Hamas hawakuua watoto na wanawake huko Israel? Nadhani ungewashauri hao mujahideen waache kutumia wanawake na watoto kama ngao.
Mbona hamueleweki enyi wazayuni wa jf na kule israhell

Kwani hamas kule mapangoni walihama lini? 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…